NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Dunia inahitaji watu kama ninyi kwa ustawi wa ubinaadamu na utu.Huruma ya nini?
Hizo silaha natamani zitumike maana hayo siyo maandazi wala mchele kuwa wanayaweka akiba yatumike wakati wa njaa
Hizo ni silaha na ni muda sahihi tuyaone yakiwa yanapishana angani kwenda washington mengine, yakielekea Moscow kuchafua jiji muda huo bara europe kukiwa pamechafuka viunga vya Paris,London, Berlin k
Hiyo mbinu ni "dhaifu mno"inasaidia tu kupeleka usumbufu kwa nchi husika lakini haifanikishi lengo.Wanaukumbi.
Machi 7 (Reuters) - Rais wa Marekani, Donald Trump alisema Ijumaa "anazingatia sana" kuweka vikwazo vikali, vikiwemo vile vya benki, na ushuru kwa Urusi hadi makubaliano ya kusitisha mapigano na amani yafikiwe na Ukraine.
Trump pia amesitisha usaidizi wa kijeshi na ushirikiano wa kijasusi na Ukraine kuishinikiza Kyiv kukubali makubaliano ya kusitisha mapigano baada ya mkutano wa Ofisi ya Oval ulioripuka na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki moja iliyopita.
===============
March 7 (Reuters) - U.S. President Donald Trump said on Friday he is "strongly considering" imposing sweeping sanctions, including ones on banking, and tariffs on Russia until a ceasefire and peace agreement is reached with Ukraine.
Trump has also paused military aid and intelligence sharing with Ukraine to pressure Kyiv to accept a ceasefire deal after an explosive Oval Office meeting with Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy a week ago.
U.S. President Donald Trump said on Friday he is "strongly considering" imposing sweeping sanctions, including ones on banking, and tariffs on Russia until a ce… Source: Reuters search.app
Hiyo ndio nguvu yake kubwa kabisa na tegemezi,Trump hana nguvu iliyobora zaidi ya vikwazo na Ushuru.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haiwezi kumsaidia
Trump kijakaz wa urusi seems anajuwa kila kitu ndio maana mwamba anafanya anayo fanyaWanaukumbi.
Machi 7 (Reuters) - Rais wa Marekani, Donald Trump alisema Ijumaa "anazingatia sana" kuweka vikwazo vikali, vikiwemo vile vya benki, na ushuru kwa Urusi hadi makubaliano ya kusitisha mapigano na amani yafikiwe na Ukraine.
Trump pia amesitisha usaidizi wa kijeshi na ushirikiano wa kijasusi na Ukraine kuishinikiza Kyiv kukubali makubaliano ya kusitisha mapigano baada ya mkutano wa Ofisi ya Oval ulioripuka na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki moja iliyopita.
===============
March 7 (Reuters) - U.S. President Donald Trump said on Friday he is "strongly considering" imposing sweeping sanctions, including ones on banking, and tariffs on Russia until a ceasefire and peace agreement is reached with Ukraine.
Trump has also paused military aid and intelligence sharing with Ukraine to pressure Kyiv to accept a ceasefire deal after an explosive Oval Office meeting with Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy a week ago.
U.S. President Donald Trump said on Friday he is "strongly considering" imposing sweeping sanctions, including ones on banking, and tariffs on Russia until a ce… Source: Reuters search.app