othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
- Thread starter
-
- #241
Manjagata wacha hbr za kuokoteza na za uongo hii taarifa unayo wewe tu, acha hayo mambo ndugu na hata ikiwa kweli tangazo linasema ni baadhi sio zote kwahiyo bado nipo sehemu sahihiMama anarudi kazini, jamaa yetu anarudi tena kwenye taabu yake ya kulingishiwa uke! Na hivi mama amesoma meseji zake humu ndani cha moto atakiona!
View attachment 3229438
Wanaume kama nyie mnapatikanaga wapi? Yaani hadi kyupi yake umefua😅😅
Chuma mpya vp na yenyewe baadae ikawa kama hii niliyokuwa nayo sasa?Apo sasa ndo inatakiwa uvute chuma mpya kijana vp au ni mtoro mtoro kwny vikao
Kwahiyo mke akikunyima unyumba ndio ndoa imevunjia me nilikuwa sijuiWewe jamaa!
Ulimuomba mungu msamaha Kwa kuanzisha uhusiano na mtu asie sahihi!!?
Huna ndoa mkuu!ilivunjika kipindi unanyimwa unyumba !nakuibia siri!Mwanamke akikunyima unyumba tu Ndoa imevunjika hapo hapo!haihitaji talaka ya mahakama!
HUYO SIO MKEO ,ULICHUKUA MKE WA MTU!OA TENA IKIBIDI!HUYO SIO MKEO!USIJIPE MATUMAINI YEYOTE COZ MAISHA NI MILIMA NA MABONDE!ATAKUJA TENA KUKUTESA KWA MARA NYINGINE KWA SASA AMEKUA SLEEPING GIANT!!
Baba mlezi wp fimbo natembeza mwenyewe na anaenjoy muhogo kisawasawa,Jiandae kumsindikiza kliniki. Hata ukiwa baba mlezi sio mbaya
HahahaaaKwa hiyo ulikuwa wazinusa chupi kabla ya kuzifua
Kwani ww upoje?Mngekuwa km mm wanawake mngewafaidi na kuwatesa Sana🤣🤣
😂😂😂Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Ni kweli ndugu, kwani my wife wako hajakwambia kama Jumatatu wanarudi kazini? Kuna mate wangu alikuwa huko USAID wameambiwa wote watarudi kazini!Sio feki hii mkuu,
UongooooTuko wengi
Ulioa mwanamke "Jinamizi la Talaka." huyo mwanamke lazima tu atakuwa ni Mchagga, Mpare, Mnyakyusa. Ulikosea sana kukaa naye miaka yote hii.Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Wanakwenda kupokea barua zao za kusitishwa kazi.Ni kweli ndugu, kwani my wife wako hajakwambia kama Jumatatu wanarudi kazini? Kuna mate wangu alikuwa huko USAID wameambiwa wote watarudi kazini!
Ina maana kubwa sana mkuu!kama ni mzima wa afya na akakunyima consistently ni rasmi hakutaki,haitaki na kapata mbadala wako na hatokuheshim Tena plus dharau zitakua zinajirudia rudia Kila mara kwenye maisha yenu!Bora ukaoa faster au uwe na mchepuko was kudumu!!Kwahiyo mke akikunyima unyumba ndio ndoa imevunjia me nilikuwa sijui