Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Mama anarudi kazini, jamaa yetu anarudi tena kwenye taabu yake ya kulingishiwa uke! Na hivi mama amesoma meseji zake humu ndani cha moto atakiona!
View attachment 3229438
Manjagata wacha hbr za kuokoteza na za uongo hii taarifa unayo wewe tu, acha hayo mambo ndugu na hata ikiwa kweli tangazo linasema ni baadhi sio zote kwahiyo bado nipo sehemu sahihi
 
Kuna kadada kalijuwa lishe project kalikuwa na nyodo balaa eti siku kanitext eti kamenumic wakati kakijaga ofisini kanatuonaga kama punda
 
Kwahiyo mke akikunyima unyumba ndio ndoa imevunjia me nilikuwa sijui
 
😂😂😂
 
Ulioa mwanamke "Jinamizi la Talaka." huyo mwanamke lazima tu atakuwa ni Mchagga, Mpare, Mnyakyusa. Ulikosea sana kukaa naye miaka yote hii.
 
Ni kweli ndugu, kwani my wife wako hajakwambia kama Jumatatu wanarudi kazini? Kuna mate wangu alikuwa huko USAID wameambiwa wote watarudi kazini!
Wanakwenda kupokea barua zao za kusitishwa kazi.
 
Kwahiyo mke akikunyima unyumba ndio ndoa imevunjia me nilikuwa sijui
Ina maana kubwa sana mkuu!kama ni mzima wa afya na akakunyima consistently ni rasmi hakutaki,haitaki na kapata mbadala wako na hatokuheshim Tena plus dharau zitakua zinajirudia rudia Kila mara kwenye maisha yenu!Bora ukaoa faster au uwe na mchepuko was kudumu!!
 
Baada ya kukitembeza vya kutosha karudisha makombo anajua huyu boya yupo tu, akipata sehemu tena haijarishi miaka mingapi wembe ni ule ule . Ukiwa mdhaifu kwa mwanamke utaendelea kuambulia vumbi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…