Kwa hiyo ulikuwa wazinusa chupi kabla ya kuzifuaNimefua sn chupi zake na sidiria, yote nikiamini na showlove kwa my wife wng
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ulikuwa wazinusa chupi kabla ya kuzifuaNimefua sn chupi zake na sidiria, yote nikiamini na showlove kwa my wife wng
Sawa bwana kiongozi wa WafulaniNgoja tuone lkn angalau kwa sasa nipo stable hata kama atarudia kama zamani na mimi sio kinyonge nipo imara angalau this time kwahiyo vitaumana.
Wataajiriwa wengine na USAID wanaweza kuja kivingineSasa baada ya miaka minne hali itarudi kuwa vile vile
😂😂😂😂😂😂😂Sikupingi Mkuu, apo ni mwendo wa kulazwa sebuleni au kwa watoto kwa kosa lolote imradi kisirani, unaweza kukohoa tu akasema unamharibia bed rest yake kesho ana seminar Bagamoyo ya wiki 1... ni muhaho wa hatari! Afadhali my wangu anapokea laki 6 yake. Mwanzo wa mwaka alipata offer mkoani ya maslahi sana nikaona ohooo naenda kuchapiwa nilipiga biti akisepa tu naongeza wife akaamua kusizi.
Mtoa mada ana akili fupi sana.Atatafuta ajira sehem nyingine wembe ni ule ule
Kabisa mkuu.unashauri nn mkuu tusipe?Waendelee kupambana tu, hela ya mwanamke ni chungu.
ok mpe mimba sasaPicha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Wazi mkuu😁Mwanamke akiwa na kipato,hufanya juhudi kuvunja mahusiano, mwanaume akiwa na kipata, hujitahidi kushare na familia yake.
Hahahahah kashapata kitengo ni mwendo wa kujibu mashambulizi😂Yes atuambie kama bado anaendelea kufua au amepata kazi na yeye kaanza kiburi
Hahahahaha mwendo wa Teke kiuno Teke shingo.Ngoja tuone lkn angalau kwa sasa nipo stable hata kama atarudia kama zamani na mimi sio kinyonge nipo imara angalau this time kwahiyo vitaumana.
Ili kosea kuowaPicha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Kua uyaoneMasikini kijana wa koume wa mama fulani alieko huko kijijiini anajisifia nimezaa mtoto wangu wa kiume yuko huko mjini na kaoa anaishi na mke wake.
Ilihal kijana mwenyewe kaolewa anatetemeshwa na mwanamke toka enzi za Magu hadi Trump 2.
Mnawatoaga wapi hawa wanawake wanaopelekea moto hivi?
Hakuna kifungo kibaya kama mwanaume kuishi Duniani nje ya asili yake (nature) ya kuongozwa na mke badala ya kumuongoza mke
SahihiUPENDO na HESHIMA vinatakiwa viwepo tu bila kujali hali au mazingira kwa sababu ni lishe muhimu sana ya nafsi ya Mwanadamu!.
Kenge hawa wakishapata mihela wao wanataka kutuondoa kabisa kwenye maisha yao.Mwanamke akiwa na kipato,hufanya juhudi kuvunja mahusiano, mwanaume akiwa na kipata, hujitahidi kushare na familia yake.
SIo wa kuwaonea huruma hawa nyani, japo sitampiga chini ila show ataielewa tu.Kenge hawa wakishapata mihela wao wanataka kutuondoa kabisa kwenye maisha yao.
Hawa ni kwenda nao taliban style tuu
Aisee kumbe hawa kenge wakipata hela sio wa maana kabisa.Sikupingi Mkuu, apo ni mwendo wa kulazwa sebuleni au kwa watoto kwa kosa lolote imradi kisirani, unaweza kukohoa tu akasema unamharibia bed rest yake kesho ana seminar Bagamoyo ya wiki 1... ni muhaho wa hatari! Afadhali my wangu anapokea laki 6 yake. Mwanzo wa mwaka alipata offer mkoani ya maslahi sana nikaona ohooo naenda kuchapiwa nilipiga biti akisepa tu naongeza wife akaamua kusizi.