Naomba nikufulie kyupi yakoWanaume kama nyie mnapatikanaga wapi? Yaani hadi kyupi yake umefua😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nikufulie kyupi yakoWanaume kama nyie mnapatikanaga wapi? Yaani hadi kyupi yake umefua😅😅
Duh kwa hiyo hapo kidume lazima uwe unaingiza kama mil 10 hiviKama hujawahi kuishi na mke anayecheza mchezo wa laki 7 kwa mwezi na bado anabadilisha mawigi na kucha kila weekend na shopping kila baada ya week 2 bila kukutegemea wewe hapo bado hujasema. Mbaya zaidi uwe unaishi nae na huna mchongo unaweza kufa kwa stress.
Mwanamke wa kibongo akimudu kushika million 2 yake tu kila mwezi ndoa lazma iwe inamtetemo wa hatari. Hapo ni roho mtakatifu awe ndani yake kuepusha kiburi na dharau kali juu ya mume.
Kiaje ysWanaume wengine sawa tu na witches, Ngoja uone Ukuu wa Mungu atakavyomuinua. Tunaogopa kufa tu hayo mengine ni mbwembwe tu
Kwa hiyo mwana mpotevu amejirudisha?Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Hela apate ila sio ya kukuzidi mzee, walau wewe uzalishe mara 2 yake! Nature hyo alhaji MzabyAisee kumbe hawa kenge wakipata hela sio wa maana kabisa.
Sawa mkuu nimekuelewaHela apate ila sio ya kukuzidi mzee, walau wewe uzalishe mara 2 yake! Nature hyo alhaji Mzaby
Mchepuko hafuliwi kyupi we mtu. Nenda huko ukaoeNaomba nikufulie kyupi yako
Mie natka nikugulie tena bureee kabisaaaMchepuko hafuliwi kyupi we mtu. Nenda huko ukaoe
Kabisa hata ikirudi itakuwa haina tena marupu rupu kama ilivyokuwa awali, kwanza hata budget yake itakuwa ni ndogo sana maana imegundulika pesa inayotumika ni kama 30% ya fungu zima linalotoka na zilikuwa zinaanzia kupigwa panga huko huko marekani..Turampet kawashika watu pabaya ata ikija kurudi haitakuwa uSAID ILE ile itakuwa yenye ka ubahili
Ukuu wa Mungu hauwezi kumuinua mwanamke aliyekiuka maagizo ya Huyo Mungu mwenyewe...Wanaume wengine sawa tu na witches, Ngoja uone Ukuu wa Mungu atakavyomuinua. Tunaogopa kufa tu hayo mengine ni mbwembwe tu
Uchakavu wa mtu inategemea lishe yake, na mastress anayokuwa nayo ila akijitunza vizuri hata akipata mimba baada ya miezi6 kujifungua hachakai ng'oAtakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Ahhaaa unamtetea mwenzio sio? au na wewe ndio walewale wanaobagaza wenza wao kwa sababu ya vipato vyao, wacha hayo mambo mdadaUchakavu wa mtu inategemea lishe yake, na mastress anayokuwa nayo ila akijitunza vizuri hata akipata mimba baada ya miezi6 kujifungua hachakai ng'o
Unatakiwa uwe mtu wa mishe mishe haswa,Duh kwa hiyo hapo kidume lazima uwe unaingiza kama mil 10 hivi
Kabisaaa.Unatakiwa uwe mtu wa mishe mishe haswa,
Sio feki hii mkuu,Mama anarudi kazini, jamaa yetu anarudi tena kwenye taabu yake ya kulingishiwa uke! Na hivi mama amesoma meseji zake humu ndani cha moto atakiona!
View attachment 3229438
Feki hiyoDk za jiooonii Trump anasawazisha hapa😄😄