Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Kama ni kweli unachosema huoni kuwa hiyo ni red flag unayotakiwa kuzingatia kwa sababu huyo hakutahamini wewe? Huoni kuwa ni busara ndoa ivunjike mapema kuliko kuja kuvunjika mmeshaishi kwa muda mrefu?
 
Kama ni kweli unachosema huoni kuwa hiyo ni red flag unayotakiwa kuzingatia kwa sababu huyo hakutahamini wewe? Huoni kuwa ni busara ndoa ivunjike mapema kuliko kuja kuvunjika mmeshaishi kwa muda mrefu?
No kuivunja ndoa kwa sasa siwezi bado nampa nafasi nyingine pengine atabadilika kwani wanawake ni wale wale tu mkuu, naweza muacha huyu nikaparamia gumegume jingine it 's like i run from one catostrophe to the next disaster,

Kama mungu alinipa uvumilivu kipindi chote hicho wacha nivumilie na wkt huu yy anapoenda kuwa jobless
 
MAGA , Tirampu Hureeeeee!!
 
Hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…