Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Sio kasitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
 
Picha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.

Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.

Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,


Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.

Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi

Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.

Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,

Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.

kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.

God bless America, God bless donald trump.
Anakuchora huyo akipata tena ajira ya maaana dhararu zinarudi kwa Sasa na wewe onesha msimamo kama mwanaume ACHA kujiweka chini tayari ameshaonesha makucha huyo
 
Sio kashitisha tu bali anaangalia mianya yote ya ubadhirifu
Sasa kama alikuwa kwenye wale wa vyeti feki kaenda na maji mazima
Atafute ajira tu
Vipi wewe ulipata kazi baada ya Covid au alikuwa anakulisha maana story ni ndefu
Mungu hamtupi mja wake angalau sasa narudi na mkate nyumbani, njia ya kuelekea msalani haioti majani
 
Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Epige na yass aka 0717 mix atakuheshim milele.

Ukipiga mtanange hakikisha dole gumba ninasalimia yas mix
 
Anakuchora huyo akipata tena ajira ya maaana dhararu zinarudi kwa Sasa na wewe onesha msimamo kama mwanaume ACHA kujiweka chini tayari ameshaonesha makucha huyo
Sijiweki chini mkuu sasa hv heshima imerudi na majukumu yake kama mwanamke anayatekeleza vyema
 
Hapana shehe,namanisha tabia ya mtu kubadilika ni ngumu sana maana yake kama ulikuwa unafua akirudi tena job itakuwa mara mbili yake.
Nilimanisha hivo kaka
Sijui kama atarudi kulekule lkn najua kuna kitu atajifunza
 
Kwahiyo unashauri nn?
Muheshimu Zaidi ya alivyokuwa na KAZI mfanye kama mpya usiishi kwa kukumbuka makosa yake ongeza care binadamu Wana Tabia ya aibu pale wanapofanyiwa mema kwa watu waliowafanyia mabaya Sasa wewe kuwa tofauti na matarajio yake Fanya kama hajawai kukukosea lolote mfanye wa Thamani pia na wewe ongeza juhud mwanamke asikuzidi kipato daima
 
Muheshimu Zaidi ya alivyokuwa na KAZI mfanye kama mpya usiishi kwa kukumbuka makosa yake ongeza care binadamu Wana Tabia ya aibu pale wanapofanyiwa mema kwa watu waliowafanyia mabaya Sasa wewe kuwa tofauti na matarajio yake Fanya kama hajawai kukukosea lolote mfanye wa Thamani pia na wewe ongeza juhud mwanamke asikuzidi kipato daima
You have a point comrade.
 
Msichukulie poa hii issue, zaidi ya trillion 1.5 za USAID zilikuwa zinaingia kwenye Economy ya Tanzania kila mwaka, biashara nyingi sana zitafungwa na maelfu ya watu watapoteza kazi
 
Back
Top Bottom