Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,623
- 2,892
nayeye tumshitaki kwa mello hatoke!Kwahiyo now days story zako ni exclusive?......Kwamba huziweki tena in public bali ni kwa watu wachache?........Kwahiyo ndugu yetu huyu aliyetuletea mada ndio sababu ya wewe kufura povu?.........Hukutaka member wengine wasome hiyo habari?........Kama ulitaka, wangesomaje?
Nawasamehe bure tu.. Hawa watu wanakwaza sana aisee..
Wao na wenzao wote wanaowatetea nawasamehe bure!! Ila uhuni haujawahi kumsaidia mtu, ukiendekeza uhuni utapata rewards za kihuni..
Uzuri mimi ni mtu imara sana! Wahuni wachache kama huyu na wenzake hawawezi kuniyumbisha..
Ndihbalemaaaaa (tutawashinda)
Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lake
Waambie waweke source kuwa ni weweHebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!
Endelea kujipa moyo tuHahahahahahaha.! Tazama sasa..
Nimekurushia chambo and you have taken the bait, and now you are showing your true colours.. Ndio maana nakwambia wewe ni hater, na nimelijua hilo kitambo tu..
Hili ni sahihi sheria zizingatiweNa Urusi ana Dead Hand, ambayo ilikuwa enzi za USSR ingawa wachunguzi wanasema bado iko active, kwamba hata watu wote wakifa makombola yanaweza jifyatua yenyewe kwa kuhisi tu mtikisiko,
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!
At the end of the day, what does one hope to achieve by this?
Pole kwa kukwazika. Hope it has taught you something new to make you move ahead stronger and better.
Acha kabisaaa wanakopi tujamaa amapata wapinzani wengi.naona madogo wengine wanakuja kwa kazi ktk uchambuzi wa mada kama hizi.yericko nyerere ashakuwa zilipendwa.
Kaka Elungata,
In Intellectual Property Law we don't protect the idea itself.
But the Expression of idea and Intellectual Novelty.
Mkuu The bold anachokifanya hapa ni haki yake kabisa kisheria.
THE COPYRIGHTS AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT OF 2006 inayasema haya yote.
Hizi ni tofauti ndogo na wala tusilumbane mkuu wangu,
Japo Mkuu The Bold naye amelichukulia hili swala kwa uzito sana kiasi kwamba anahisi kila mtu ni adui.
Mdogo wangu kichakaa man njoo uombe msamaha kwa The Bold haya mambo yaishe na tuanze Juma na Mungu.
Mbona siwaelewi.........Mkuu kichakaa man post yake hapa lakini Mkuu The bold anasema atawatumbua wale wanaochukua post zake kwenye kundi lao..........Maana yake ni nini?kwani ni wewe tu ambaye una uwezo na haki ya kuweka simulizi humu..........? kumbuka vitu kama hivi vipo tu si kila kitu unakijua wewe tu Pekee........!!!! wenzako wakisimulia jambo ambalo wewe unalijua unasema wemekopi kwako............acha hizo wewe.....acha kulewa sifa............Nitaacha sas kusoma post zako kama upo vivyo..........Tuonyeshe basi hapa JF wapi uliweka hii post.......? au unataka nasi tuje huko kwenye Group lenu sijui la nini.....???!!! Umeniboar sana.......
Moja ya ustaarabu wa Mtu ni kukubali kukosolewa.........Nakushangaa kuwafanya wengine hawajuwi wanachoongea......ila ni wewe tu unajua unachoongea......Mungu akupe Busara.....!!! Kumbuka wewe ndiye umekosea unasitahili kusamehewa......Huelewi unachokiongea.! Nimekusamehe bure..
Uwe na siku njema..
Narudia tena! Huelewi unachokiongea, nimekusamehe bure..Moja ya ustaarabu wa Mtu ni kukubali kukosolewa.........Nakushangaa kuwafanya wengine hawajuwi wanachoongea......ila ni wewe tu unajua unachoongea......Mungu akupe Busara.....!!! Kumbuka wewe ndiye umekosea unasitahili kusamehewa......
Kibaya zaidi wenzake wakiweka Post humu ili watu wasiokuwa kwenye Group lake wapate povu linamtoka kumbe naye apata kutoka Source nyingine.......Ndivyo habari zilivyo....na hapa ni JF kama hutaki watu wakopi andika kitabu...Mwenyewe pia katafsiri tu toka Wikipedia and other internet sources! Anyways, anatumia muda kutafsri makala zilizoandikwa na wengine!
Ule ni mkoba wa tunguri za waganga wa kanda ya ziwa.Mbona hata hapa kwetu yule Kanali mwenye magwanda ya jeshi anabeba mkoba fulani mweusi kila Mh Rais anapokwenda? Unaitwaje nao ule kwa lugha ya mafumbo?
nifah hajamwachia bado
Mkuu The Bold Cool down.......!! Sikatai na wala sitakubali kazi za watu zizulumiwe japo hata kwa kuweka Source ya hiyo habari tu........swali wewe unaposema hii story ni yako uliitunga.......? na Kama hukutunga uliweka Source...?Narudia tena! Huelewi unachokiongea, nimekusamehe bure..
Sina shida na mtu kuandika chochote kile, kuna Mkuu anaitwa Mark nani sijui anaandika makala nzuri tu jamii intelligence na namuunga mkono sana! Shida yangu ni pale mtu anapochukua makala yangu sehemu nyingine (kumbuka sio lazima mimi nipost kila makala yangu humu, nina uhuru wa kupost sehemu nyingine pia) alafu mtu anajifanya yeye ndiye muandishi..
Kwanini ukichukua makala sehemu nyingine unaweka source (mfano source: millardayo, source: mwananchi, edo kumwembe etc etc)
Lakini mtu anatoa makala yangu sehemu nyingine anakuja humu bila aibu na kujifanya ya kwake.. Unadhani angeandika hiyo makala na kueleza source alikoitoa ningekuwa na shida naye??
Sasa kama busara zako zinaona kuwa amefanya kitu sahihi, nirudie tena kwa mara ya tatu! Hujui unachokiongea, nimekusamehe bure..
Have a nice day..
Have a nice day..
Ni hivi hiyo makala the bold kairusha whatsapp group ,sasa kuna member kaikopy kaileta huku jf kama ilivyooooo umeelewaMbona siwaelewi.........Mkuu kichakaa man kaweka post yake hapa..... lakini Mkuu The bold anasema atawatumbua wale wanaochukua post zake kwenye kundi lao..........Maana yake ni nini......? kwani ni wewe tu una uwezo na haki ya kuweka simulizi humu..........? kumbuka vitu kama hivi vipo tu na watu wengi wanajua ndio maana kuna hata na sinema.....Nao wasemeje Kwako....? si kila kitu unakijua wewe tu Pekee........!!!! wenzako wakisimulia jambo ambalo wewe unalijua unasema wemekopi kwako............acha hizo wewe.....acha kulewa sifa............Nitaacha sas kusoma post zako kama upo vivyo..........Tuonyeshe basi hapa JF wapi uliweka hii post.......? au unataka nasi tuje huko kwenye Group lenu sijui la nini.....???!!! Umeniboar sana.......