Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

Kwahiyo now days story zako ni exclusive?......Kwamba huziweki tena in public bali ni kwa watu wachache?........Kwahiyo ndugu yetu huyu aliyetuletea mada ndio sababu ya wewe kufura povu?.........Hukutaka member wengine wasome hiyo habari?........Kama ulitaka, wangesomaje?
nayeye tumshitaki kwa mello hatoke!
 
At the end of the day, what does one hope to achieve by this?

Pole kwa kukwazika. Hope it has taught you something new to make you move ahead stronger and better.

Nawasamehe bure tu.. Hawa watu wanakwaza sana aisee..

Wao na wenzao wote wanaowatetea nawasamehe bure!! Ila uhuni haujawahi kumsaidia mtu, ukiendekeza uhuni utapata rewards za kihuni..

Uzuri mimi ni mtu imara sana! Wahuni wachache kama huyu na wenzake hawawezi kuniyumbisha..

Ndihbalemaaaaa (tutawashinda)
 
Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lake

Hahahahahahaha.! Tazama sasa..

Nimekurushia chambo and you have taken the bait, and now you are showing your true colours.. Ndio maana nakwambia wewe ni hater, na nimelijua hilo kitambo tu..
 
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..

Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..

Shame.!!
Waambie waweke source kuwa ni wewe
 
Hahahahahahaha.! Tazama sasa..

Nimekurushia chambo and you have taken the bait, and now you are showing your true colours.. Ndio maana nakwambia wewe ni hater, na nimelijua hilo kitambo tu..
Endelea kujipa moyo tu
 
Na Urusi ana Dead Hand, ambayo ilikuwa enzi za USSR ingawa wachunguzi wanasema bado iko active, kwamba hata watu wote wakifa makombola yanaweza jifyatua yenyewe kwa kuhisi tu mtikisiko,
Hili ni sahihi sheria zizingatiwe
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..

Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..

Shame.!!
 
At the end of the day, what does one hope to achieve by this?

Pole kwa kukwazika. Hope it has taught you something new to make you move ahead stronger and better.

Kabisa Mkuu! Watu kama hawa hawawezi kuniyumbisha hata kidogo.. Wanafanya nakuwa imara zaidi

Niliwahi kuandika makala very contraversial mwaka 2014 na ikaniletea matatizo makubwa ya 'kuwindwa' na muhusika.. Nikaja kuwaambia watu humu kuhusu changamoto hiyo... Wakanicheka, wakanibeza nikambiwa natafuta kiki.. Baadae wanakuja kupata taarifa kuwa ishu imefika kwenye vyombo vya sheria, ndio kwa aibu wabezaji wananipa pole..

Mwaka jana oktoba gazeti moja lilichapa makala yangu bila ruhusa! Nikaja kutoa taarifa humu na kuomba ushauri! Guess what, kuna watu wakanibeza kweli kweli.. Lakini kuna wachache making wakanipa ushauri nini cha kufanya.!! Nikafuata huo ushuri.. Lile gazeti likalipa fidia na wakapologize..


Kwahiyo wahuni kama hawa wanaokopi nimewazoea.. Na hawa wabezaji nimewazoea..

Muhimu ni kwamba niko imara sana! Najua kilichomo ndani yangu..
Hawaniyumbishi, forward ever! Backwards never..
 
Mbona siwaelewi.........Mkuu kichakaa man kaweka post yake hapa..... lakini Mkuu The bold anasema atawatumbua wale wanaochukua post zake kwenye kundi lao..........Maana yake ni nini......? kwani ni wewe tu una uwezo na haki ya kuweka simulizi humu..........? kumbuka vitu kama hivi vipo tu na watu wengi wanajua ndio maana kuna hata na sinema.....Nao wasemeje Kwako....? si kila kitu unakijua wewe tu Pekee........!!!! wenzako wakisimulia jambo ambalo wewe unalijua unasema wemekopi kwako............acha hizo wewe.....acha kulewa sifa............Nitaacha sas kusoma post zako kama upo vivyo..........Tuonyeshe basi hapa JF wapi uliweka hii post.......? au unataka nasi tuje huko kwenye Group lenu sijui la nini.....???!!! Umeniboar sana.......
 
Kaka Elungata,
In Intellectual Property Law we don't protect the idea itself.
But the Expression of idea and Intellectual Novelty.
Mkuu The bold anachokifanya hapa ni haki yake kabisa kisheria.
THE COPYRIGHTS AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT OF 2006 inayasema haya yote.

Hizi ni tofauti ndogo na wala tusilumbane mkuu wangu,
Japo Mkuu The Bold naye amelichukulia hili swala kwa uzito sana kiasi kwamba anahisi kila mtu ni adui.
Mdogo wangu kichakaa man njoo uombe msamaha kwa The Bold haya mambo yaishe na tuanze Juma na Mungu.

Nashukuru sana Mkuu!

Hii Sheria ilinisaidia sana mwaka Jana octoba Kisiwa walipochapa makala yangu bila ruhusa..

Tutashinda like we always do..
 
Mbona siwaelewi.........Mkuu kichakaa man post yake hapa lakini Mkuu The bold anasema atawatumbua wale wanaochukua post zake kwenye kundi lao..........Maana yake ni nini?kwani ni wewe tu ambaye una uwezo na haki ya kuweka simulizi humu..........? kumbuka vitu kama hivi vipo tu si kila kitu unakijua wewe tu Pekee........!!!! wenzako wakisimulia jambo ambalo wewe unalijua unasema wemekopi kwako............acha hizo wewe.....acha kulewa sifa............Nitaacha sas kusoma post zako kama upo vivyo..........Tuonyeshe basi hapa JF wapi uliweka hii post.......? au unataka nasi tuje huko kwenye Group lenu sijui la nini.....???!!! Umeniboar sana.......

Huelewi unachokiongea.! Nimekusamehe bure..

Uwe na siku njema..
 
Moja ya ustaarabu wa Mtu ni kukubali kukosolewa.........Nakushangaa kuwafanya wengine hawajuwi wanachoongea......ila ni wewe tu unajua unachoongea......Mungu akupe Busara.....!!! Kumbuka wewe ndiye umekosea unasitahili kusamehewa......
Narudia tena! Huelewi unachokiongea, nimekusamehe bure..

Sina shida na mtu kuandika chochote kile, kuna Mkuu anaitwa Mark nani sijui anaandika makala nzuri tu jamii intelligence na namuunga mkono sana! Shida yangu ni pale mtu anapochukua makala yangu sehemu nyingine (kumbuka sio lazima mimi nipost kila makala yangu humu, nina uhuru wa kupost sehemu nyingine pia) alafu mtu anajifanya yeye ndiye muandishi..

Kwanini ukichukua makala sehemu nyingine unaweka source (mfano source: millardayo, source: mwananchi, edo kumwembe etc etc)
Lakini mtu anatoa makala yangu sehemu nyingine anakuja humu bila aibu na kujifanya ya kwake.. Unadhani angeandika hiyo makala na kueleza source alikoitoa ningekuwa na shida naye??

Sasa kama busara zako zinaona kuwa amefanya kitu sahihi, nirudie tena kwa mara ya tatu! Hujui unachokiongea, nimekusamehe bure..

Have a nice day..

Have a nice day..
 
Mwenyewe pia katafsiri tu toka Wikipedia and other internet sources! Anyways, anatumia muda kutafsri makala zilizoandikwa na wengine!
Kibaya zaidi wenzake wakiweka Post humu ili watu wasiokuwa kwenye Group lake wapate povu linamtoka kumbe naye apata kutoka Source nyingine.......Ndivyo habari zilivyo....na hapa ni JF kama hutaki watu wakopi andika kitabu...
 
Haya ni mambo madogo sana wakuu, hayaitaji nguvu ya mods kulimaliza,

Tatizo hili itumike Diplomasia kulimaliza!

JF imetuunganisha wote na sisi wote ni kitu kimoja kwanini tufaraghane kwa mambo madogo kama haya
 
Narudia tena! Huelewi unachokiongea, nimekusamehe bure..

Sina shida na mtu kuandika chochote kile, kuna Mkuu anaitwa Mark nani sijui anaandika makala nzuri tu jamii intelligence na namuunga mkono sana! Shida yangu ni pale mtu anapochukua makala yangu sehemu nyingine (kumbuka sio lazima mimi nipost kila makala yangu humu, nina uhuru wa kupost sehemu nyingine pia) alafu mtu anajifanya yeye ndiye muandishi..

Kwanini ukichukua makala sehemu nyingine unaweka source (mfano source: millardayo, source: mwananchi, edo kumwembe etc etc)
Lakini mtu anatoa makala yangu sehemu nyingine anakuja humu bila aibu na kujifanya ya kwake.. Unadhani angeandika hiyo makala na kueleza source alikoitoa ningekuwa na shida naye??

Sasa kama busara zako zinaona kuwa amefanya kitu sahihi, nirudie tena kwa mara ya tatu! Hujui unachokiongea, nimekusamehe bure..

Have a nice day..

Have a nice day..
Mkuu The Bold Cool down.......!! Sikatai na wala sitakubali kazi za watu zizulumiwe japo hata kwa kuweka Source ya hiyo habari tu........swali wewe unaposema hii story ni yako uliitunga.......? na Kama hukutunga uliweka Source...?
Hebu angalia hapa
Nuclear football - Wikipedia......... na Je wengine hawana haki ya kuweka humu JF kwa sababu tu wewe ulisimulia huko kwenye Group lenu....? ambako sisi wengine hatupo.........?????!!!!!!
 
Mbona siwaelewi.........Mkuu kichakaa man kaweka post yake hapa..... lakini Mkuu The bold anasema atawatumbua wale wanaochukua post zake kwenye kundi lao..........Maana yake ni nini......? kwani ni wewe tu una uwezo na haki ya kuweka simulizi humu..........? kumbuka vitu kama hivi vipo tu na watu wengi wanajua ndio maana kuna hata na sinema.....Nao wasemeje Kwako....? si kila kitu unakijua wewe tu Pekee........!!!! wenzako wakisimulia jambo ambalo wewe unalijua unasema wemekopi kwako............acha hizo wewe.....acha kulewa sifa............Nitaacha sas kusoma post zako kama upo vivyo..........Tuonyeshe basi hapa JF wapi uliweka hii post.......? au unataka nasi tuje huko kwenye Group lenu sijui la nini.....???!!! Umeniboar sana.......
Ni hivi hiyo makala the bold kairusha whatsapp group ,sasa kuna member kaikopy kaileta huku jf kama ilivyooooo umeelewa
Tukiambiwa tuandike kila mtu kuhusu Trump hatuwez andika makala zinazofanana ,,,jaribu kumuelewa The bold halaf basi angetoa credit kuwa mwandishi ni the bold
 
Back
Top Bottom