Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

Pongezi kwa waanzilishi wa JF, kwa kuachia uwanja wazi kwa kila mwenye kipaji kuonyesha kipaji chake.....

Ni muda muafaka Mkuu The bold kurudisha fungu la kumi JF, maana bila JF hakuna ambaye angekijua kipaji chako na kukutia moyo kwa kazi zako.

Tunawaomba na wengine wenye vipaji na uwezo mbalimbali hasa mliopatia umaarufu JF msifate njia ya The Bold....Hata kama mtaanzisha magrupu ya kulipia mkumbuke JF ndio home, sio mnaingia JF bure halafu kwenu mnataka kulipia.

Na zaidi ya 98% ya mada za JF zinaletwa na wanajf wenyewe, kwa hali tutawakatisha tamaa na wengine wenye moyo wa kutupatia ujuzi wao humu JF.... Maana humu tunaishi kwa kutegemeana ....Wapo wenye uwezo wa kuanzisha mada, Wapo wachangiaji tu wapo washauri tu na hata wasomaji.

Nitaumia sana siku mtu kama Chifu Mkwawa akitangaza kuanzisha group lake na kutelekeza lile jukwaa letu pendwa la tech.

Ni mtazamo tu wakuu msijenge chuki.!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imebidi nicheke tu sis.
Watu wengine bwana?
Chuki zinapozidi ni balaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio za nchi hii hizi!!

doohhh!!hatari kubwa hiii!!!

kaahhh!
 
Ungeongeza kwamba hizo codes wanazo watu watatu na ili zifunction lazima wote waziingize ambao ni POTUS mwenyewe, waziri wa ulinzi na Chairman of the Joint Chief of Staff
 
Wanasema Sharing is caring. Shukran mkuu kichakaa man kwa kuonesha unajali nyumbani 'JF'.
Sema uwe tu unasema unachokishare kimetoka wapi.
Bila shaka utashare nasi episodes za Vipepeo weusi ili tusibaki nyuma kisa wengine hatutumii app ya Whatsapp.
 
Back
Top Bottom