Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
- Thread starter
- #201
Sawa Russian analyst wajua kweli!!FYI F-5 and Hawk MK-52 fighter jets are so bad they would be a sitting duck for 1950s designed Russian MiG-21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Russian analyst wajua kweli!!FYI F-5 and Hawk MK-52 fighter jets are so bad they would be a sitting duck for 1950s designed Russian MiG-21
Say it!! Where did you try them against the MiG-21? Are you an engineer in this field?FYI F-5 and Hawk MK-52 fighter jets are so bad they would be a sitting duck for 1950s designed Russian MiG-21
Wanafikiri silaha zita maliza shida zao, saa nyingine ukinyoosha mkono ikampa adui yako, uhasama wote unaishia hapo hapo. Inabidi tuwafunze ungwana hawa.Ukiona mtu anafurahia kununua silaha ujue ana matatizo ya akili.Kenya bado wana matatizo ya usalama,na suluhisho sio kununua silaha toka kenya
Hahahaha eiiish bro you have made my day..ati mikuki.waaaah..Google yangu inaniambia hizi ndege zimeundwa kwa ajili ya umwagiliaji mashamba...ohooo chonde chonde jirani zangu wakenya kuweni waangalifu msije mkazipeleka Mogadishu afu jamaa wakawa wanazitungua kwa mikuki..
ni hayo tu kwa leo
eh eh hawa jamaa wakenya hawako serious..wameuziwa ndege za kumwagiliaAir tractor AT-802 for KDF!!
Baada ya train lile la kizamani hapa Wakenya wameliwa tena.
View attachment 463489View attachment 463490View attachment 463491
Ni wewe uko kwenye profile pic yako? Hapo tutakuelewa tu!!Nimesikia Leo al _shabab wamefanya jambo vipi majirani ndege mpya hazijaanza kazi?
Ushenzi mtupu,hebu jisikie ulivyo zuzu?....huo usalama utaletwa kwa mikuki?Ukiona mtu anafurahia kununua silaha ujue ana matatizo ya akili.Kenya bado wana matatizo ya usalama,na suluhisho sio kununua silaha toka kenya
Marekani imewatengenezea vita ,nw anawauzia silaha wanaoteseka kila siku ni wakenya trump na familia zao wako nw yrk...halafu wewe sijui unasifia nnHahaha,Kenya is the A POWERFUL NATION IN AFRICA,watch us keenly!ooh Trump hatakua na uhusiano na Kenya,oooh longolongo.....
Noma sana![]()
Is a special plane operated developed in 1990 operated by just a few
USA
Brazil
Italy
Canada
Kenya
Burkinafaso
Argentina
Chile Croatia
Israel
Spain
Yemen
Indonesia
UAE
Macedonia
Weapon cache
![]()
Big up sana,,! Bila usalama hata viwanda huwez kujenga,,,,,!Acha mbwembwe mtu wangu, kaa tulia tatizo wa Tz mnaongea sana, hiyo business na uwekezaji utawekezaje wakati wananchi wa kenya wakiwa na hofu na hakuna amani ndani kwa ndani ni vyema kuimarisha ulinzi, acha kenya ijidhatiti kwenye ulinzi wa taifa wameshapoteza watu wengi juu ya uvamizi wa watu wa Somalia
Purely Kenyan!Ushenzi mtupu,hebu jisikie ulivyo zuzu?....huo usalama utaletwa kwa mikuki?
mmezoea upuzi nyie wanyamwezi sijui wazaramo.
madaktari na walimu walikimbia kule north east sababu ya usalama, hata wewe unafahamu siku zote, usalama kwanza alafu mengine ndo yatawexa fanyika.........Wakenya acheni wenge hizo pesa si bora wangelipwa madaktari walioandamana Kwa kudai nyongeza ya mishahara yao kuliko hizo bagadu
Acha huo ujinga... Wanazitumia hzo kama by da way... Siyo main combatant fighter...
Yaani mi hushangaa sana! our alternative is better than their main war planes!!Nani kakuambia hizi ndizo main fighter za Kenya!.....kweli mna matatizo ya kiakili..utapia mlo unawadumaza mmekuwa wafupi kwa kila hali ,sio kimo,sio ubongo.
Wakenya acheni wenge hizo pesa si bora wangelipwa madaktari walioandamana Kwa kudai nyongeza ya mishahara yao kuliko hizo bagadu