Trump approves Sh43.5bn arms sale to Kenyan military

Trump approves Sh43.5bn arms sale to Kenyan military

84e1eec45e3c1e6d0714025a94ef4406.jpg
 
Kwikwikwikwi. Nyang'au tena na movie nyingine. Kwikwikwi kazi kujishaua tu. Juzi mnaandamana hamtaki Trump awe rais wenu leo mnakuja na ngonjera mpya kwikwikwikwi. Majira zetu hawa kama watoto vile.
 
Wakenya bwana mnatuhaibisha E.A yani kumbe ndio hayo ma power tiller!!!!!!
 
Tanzania mlicho nacho ni utoto.....ata ndege ziwe Mikebe na si zenyu inawaashia nini?
 
I used to tell people that all that terrorism menace in Kenya was a blessing in disguise,everything has a price.
Nilijua toka zama zile Kenya itapata uzoefu mkubwa wa kupambana na changamoto za kiusalama miaka michache tu baadae.
Yote haya pamoja na teknolojia ya kisasa itaendelea kuimarika zaidi kama vile tu Israeli alivyo jitutumua kulingana na alivyozingirwa na hatari.
This alshabab menace has created the upgrades Kenya needed in:-
1. Security
2. Immigration
3. Surveillance
4.Border patrols
5.Technological modernization
6. Facilities like airports etc upgrade(intl. security standards)
7.Military/Police Reforms and advancements
8.Disaster management efficiency/ capabilities/Quick responses
9. Investor confidence
10. Patriotism and sense of pride among citizens
11. Cooperation(btwn various agencies both local,cross border and international)
12.Increase in the Kenyan PASSPORT POWER INDEX due to authentic systems of identification and
trace ability.....I could go on and on.

Necessity is the mother of invention,
Kenya hivi karibuni itaanza kuiga na kutengeneza vifaa vyake ikitumia vifaa hivi kama mfano(blue prints) kama vile muisraeli anavyofanya na kadhalika.
 
Hizo hapo zina military version ,zilizoongezewa teknolojia na vifaa.
Hizi hapa manufaa na upekee wa ndege hizi.
Kukata kona kwa kasi sana japokuwa hazina mwendo kasi kama ule wa jets
Zimeongezewa ili kubeba takriban kilo 5000 za payload/bombs na kuzifanya ziwe na faida kubwa ukija kwenye harakati za mashambulizi ya ngome za magaidi.
Hakuna hasara kuzipeleka karibu kabisa na ngome za adui kabisa kwa mashambulizi ya dharura ukilinganisha na zile jet ambazo ni ghali.
Ni bei nafuu
na kadhalika
 
Duh, mjomba ya kweli haya? Maana majirani wanatuambia tutaisoma namba. Sijui namba ya kirumi MMXVII[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yap ni real mkuu.
Yaani hapi Al-Shabab watapata credit za bure kabisaaaa.

Ni RPG tu inafanya kazi ya kutungua hizo ndege za kilimo zilizofanyiwa modification.
 
daah....kama hamuoni mna kasoro basi shida yenu ya ubongo ni kubwa kuliko nlivyodhania.taarifa ni ya kuhusu kenya sio tz.mtz ndio yuaileta hapa jf kwa kenyan news,watz ndio wanachangia peke yake kwa kukejeli watu wenye hawajipi shughuli ya kuwajibu.you r making fools out of yourselves guys
 
Yap ni real mkuu.
Yaani hapi Al-Shabab watapata credit za bure kabisaaaa.

Ni RPG tu inafanya kazi ya kutungua hizo ndege za kilimo zilizofanyiwa modification.
Wabongo ulimbukeni ndio utawauwa! Hivi hata hamjui kwa sababu gani jeshi huwa na vifaa tofauti tofauti! Hivi mlitaka kuona Jets, akilini mnadhani jets ni kila kitu!!! Ukijenga nyumba, utahitaji lori ya kubeba mchanga na mawe kisha utahitaji Wheelbarrow na vijiko kuchanganya saruji! Ni wape kimfano muelewe! We are arming ourselves in all aspects!!!
 
mauzo ya ndege za kivita kwa Kenya
JAN 24, 2017by MWANDISHI WETUin AFRIKA MASHARIKI

Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Kenya akiwa kwenye lindo wakati wananchi wa Somalia wakiogelea katika pwani ya bahari ya Hindi huko Kismayu nchini Somalia Novemba 20m 2015. Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya shilingi za Kenya bilioni 43.5 kwa jeshi la nchi hiyo ili kuongeza nguvu mapambano dhidi ya Al-Shabab. FILE PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP

WIZARA ya Mambo ya Nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya ndege za kivita zenye thamani ya dola za kimarekani 418 milioni (sawa na shilingi bilioni 43.5 za Kenya) kwa Kenya.

Cheti cha kuidhinisha mauzo hayo kilifikishwa katika makao makuu ya Bunge la Marekani huko Capitol Hill Januari 19.

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Defence Security Cooperation Agency, serikali ya Kenya, chini ya makubaliano hayo, itapokea ndege 12 aina ya Tractor AT – 802L na 2 aina ya AT-504 maalumu kwa ajili ya mafunzo.

Pamoja na mauzo hayo, ni msaada wa kiufundi pamoja na usimamizi wa mpango huo.

Taarifa hiyo ilisema kwamba makubaliano hayo yatasaidia sana katika kuimarisha usalama wa Marekani kwa kuwa Kenya ni mshirika mkubwa katika eneo hili ambaye yupo katika mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Al-Shabab.

Taarifa hiyo inaongeza kwamba Kenya imekuwa ikichangia askari katika Jeshi la Umoja wa Afrika huko Somalia, yaani Amisom.

Ndege hizo zinatarajia kuzisaidia ndege za zamani aina ya F-5 na zinasemekana kuwa zina gharama ndogo na zinaweza kukaa karibu zaidi na ukanda wa mapambano kuliko zile za F-5.

Mapema wiki iliyopita, rais mpya wa Marekani Donald Trump amehoji uhusika wa nchi yake katika mapambano dhidi ya Al-Shabab nchini Somalia, na kusema kwamba vita imedumu kwa miaka 10 bila kuwepo kwa matokeo yanayoonekana.
The Air Tractor AT-802 is an agricultural aircraft that may also be adapted into fire-fighting or armed versions. It first flew in the United States in October 1990 and is manufactured by Air Tractor Inc. The AT-802 carries a chemical hopper between the engine firewall and the cockpit and another one under the belly. In the U.S., it is considered a Type III SEAT, or Single Engine Air Tanker.[1]


2b258f6b2ff5bb10885be6c925d0e807.jpg


0206a2c9be156b6b56a35e0afae55224.jpg


Source : Air Tractor AT-802 - Wikipedia
 
Is a special plane operated developed in 1990 operated by just a few
USA
Brazil
Italy
Canada
Kenya
Burkinafaso
Argentina
Chile Croatia
Israel
Spain
Yemen
Indonesia
UAE
Macedonia

Weapon cache
Air-Tractor-AT-802U-AT-01-692x360.png
 
Back
Top Bottom