Trump asema magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo kwa amri ya kutotoka nje yameongezeka Marekani

Kumbe Mbowe alitaka tuugue magonjwa ya akili ili waendelee kutudanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Dhihaka zitakapoisha, pengine hata Mungu anaweza akaingilia Kati janga hili

Ukitaka kujua kwamba Tanzania ni nchi ya hatari sana, ni pale ambapo Giza la mauti limetanda nchi nzima halafu watu wake bado wakiendekeza Ujinga Ujinga wa siasa zisizo saidia katika Giza Hilo mauti,

Ikifikia hatua ya Giza la mauti kutamalaki, kila mmoja akiomboleza, labda hapa Mungu atatukuzwa!!

Mungu wa Rehema, Irehemu Nchi yetu na Dunia Kwa ujumla, maana hatujui kama kesho itakuwa salama

Fuata maelekezo Yote yanayotolewa na serikali ili kuzuia Jamii yako na wewe mwenyewe kuambukizwa na Corona,
 
Kwa sasa Corona inasambaa kama moto wa msituni hivi tunavyo ongea Cirona inaelekea Vijijini

Labda mkakati wetu uwe Herd immunity Magufuli ameonyesha udhaifu wa ajabu katika hili wala hagai kupewa muhula wa pili
 
Haihitaji bunduki inahitaji akili ndicho anachofanya JPM anatumia akili nying kuliko nguvu
Umeelewa mantiki ya SWALI?? Au kwasababu tu umewaza ulivyoelewa?? Kamanda wa Vita hawezi kutoa maagizo akiwa ndani wakati watu wako kwenye mpambano. Sio Kila ukiona neno Vita unajua kunahitajika bunduki!!! Bunduki zinaweza kuwa washauri wako/ nation think tank wako wapi katika hi vita??
 
Kwa sasa Corona inasambaa kama moto wa msituni hivi tunavyo ongea Cirona inaelekea Vijijini

Labda mkakati wetu uwe Herd immunity Magufuli ameonyesha udhaifu wa ajabu katika hili wala hagai kupewa muhula wa pili
Ulitakaje ww awafungie watu wamekuwa kuku wa kideri? Acheni umagharibi wenu
 
Ulitakaje ww awafungie watu wamekuwa kuku wa kideri? Acheni umagharibi wenu
Huu mkakati wa Magufuli dhidi ya Corona ni "Do nothing" ambao huenda ukatusaidia

Mkakati wa pili ni "Hide in Chato bunker" huu pia sio mkakati mbaya huenda pia ukalisaidia Taifa

Naona kama tuko kwenye win win
 
Usisahau kwa kiduku hakuna mgonjwa hata mmoja mpka sasa.na wakati hio huo majirani zake wanagaragazwa vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Agiza kinywaji bro chahalali nalipia kwa jamiiforum pesa.

Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…