Siasa za Marekani hawa Democratics wamezifanya zimekuwa kama za nchi zetu yani ugomvi wao na trump umekuwa personal sasa siyo siasa tenaKwa wale mnaofuatilia case ya Trump kuondolewa madarakani .Senators voted no witness kwa hiyo wanakura za kutosha kutomhukumu Trump na kumuondoa .Kwa Democratic Party na media ni kilio maana Democratic Party hawana mtu wa uhakika wa kumshinda Trump 2020.Bernie Sanders is a socialist atapigwa chini kama uk election .usa is a capitalist country .SASA inakuwaje wanashindwa kumtafuta mtu wa uhakika .Trump ni ana sera nzuri ila Tabia na maugomvi yasiyoisha sio mazuri .Wafanyaje haswa kumuondoa?
Siasa za Marekani hawa Democratics wamezifanya zimekuwa kama za nchi zetu yani ugomvi wao na trump umekuwa personal sasa siyo siasa tena
Baadhi ya wabunge wa Democratic party hawakati tamaa - hivi sasa wamekwisha buni mbinu mpya ya kumkalia Trump kooni kwa mara nyingine tena kwa kutumia mwanamke anae mtuhumu Trump kwamba alimdhalilisha takribani miaka thelathini iliyo pita, eti "Trump alimtomasa tomasa uchi wake" bila ya ridhaa yake!!
Na hapo ndipo watakizika chama hicho cha Demo!Baadhi ya wabunge wa Democratic party hawakati tamaa - hivi sasa wamekwisha buni mbinu mpya ya kumkalia Trump kooni kwa mara nyingine tena kwa kutumia mwanamke anae mtuhumu Trump kwamba alimdhalilisha takribani miaka thelathini iliyo pita,
Kura ya kumtia hatiani na Kumuondoa Madarakani au la itapigwa JUMATANO Tarehe 5.
Kura ya Jana ilikuwa kuruhusu kuletwa kwa Ushahidi Zaidi au kuita mashahidi.
Hata Hivyo Matokeo yeyote ya kura ya Jana yasingeathiri Matokeo yanayotarajiwa ya kura ya JUMATANO.
Kiuhalisia SUALA hili limeendeshwa kwa kutazama ushabiki was itikadi za Vyama na hivyo kupoteza umaana wake.
Demokrat waliamini mchakato huu utawasaidia kuwajenga Kisiasa Lakini imekuwa kinyume kidogo.
Kiuhalisia hawana mgombea anayeweza Kupambana na Trump.
kweli kabisa...Siasa za Marekani hawa Democratics wamezifanya zimekuwa kama za nchi zetu yani ugomvi wao na trump umekuwa personal sasa siyo siasa tena
Kura ya kumtia hatiani na Kumuondoa Madarakani au la itapigwa JUMATANO Tarehe 5.
Kura ya Jana ilikuwa inahusu kuruhusu kuletwa kwa Ushahidi Zaidi au kuita mashahidi zaidi.
Hata hivyo matokeo yeyote ya kura ya Jana yasingeathiri Matokeo yanayotarajiwa ya kura ya JUMATANO.
Kiuhalisia suala hili limeendeshwa kwa kutazama ushabiki wa itikadi za Vyama na hivyo kupoteza umaana wake.
Demokrat waliamini mchakato huu utawasaidia kuwajenga Kisiasa Lakini imekuwa kinyume kidogo.
Kiuhalisia hawana mgombea anayeweza Kupambana na Trump.
Tatizo, huelewi Congress ni nini ktk Marekani ila jifariji tu kwa kuwa hauko peke yako, mko wengi sana wa hivyo.Ilikuwa ngumu kumtoa, nguvu ya democrats ipo kwenye congress kwenye senate ni minority hivyo isingewezekakana kushinda kwenye senate
Huyo hana kitu ni Underdog mkubwa tu.Kuna tajiri anaitwa Michael Bloomberg kwa democrate nae anauwania uraisi
Jumatano zinahitajika kura 67 kumtoa trump, HAITAWEZEKANAKura ya kumtia hatiani na Kumuondoa Madarakani au la itapigwa JUMATANO Tarehe 5.
Kura ya Jana ilikuwa inahusu kuruhusu kuletwa kwa Ushahidi Zaidi au kuita mashahidi zaidi.
Hata hivyo matokeo yeyote ya kura ya Jana yasingeathiri Matokeo yanayotarajiwa ya kura ya JUMATANO.
Kiuhalisia suala hili limeendeshwa kwa kutazama ushabiki wa itikadi za Vyama na hivyo kupoteza umaana wake.
Demokrat waliamini mchakato huu utawasaidia kuwajenga Kisiasa Lakini imekuwa kinyume kidogo.
Kiuhalisia hawana mgombea anayeweza Kupambana na Trump.
Nilimaanisha house of representative ndipo ilipo nguvu ya democrats ila kwenye senate republican ananguvu kubwaTatizo, huelewi Congress ni nini ktk Marekani ila jifariji tu kwa kuwa hauko peke yako, mko wengi sana wa hivyo.
...nakubaliana na Trump by 100% kwamba Bolton angeweza kusababisha vita vya sita vya Dunia.
Wana mabunge mawili; Senate na House of Representatives ila wanapokaa mabunge yote mawili ndipo linapoitwa The Congress.Nilimaanisha house of representative ndipo ilipo nguvu ya democrats ila kwenye senate republican ananguvu kubwa
๐๐wazungu hamnazo.... katika hao wanaompinga trump..hakuna mbunge ambaye amewahi kumtomasa mwanamke bila ya ridhaa yake ?Baadhi ya wabunge wa Democratic party hawakati tamaa - hivi sasa wamekwisha buni mbinu mpya ya kumkalia Trump kooni kwa mara nyingine tena kwa kutumia mwanamke anae mtuhumu Trump kwamba alimdhalilisha takribani miaka thelathini iliyo pita, eti "Trump alimtomasa tomasa uchi wake" bila ya ridhaa yake!!
๐๐wazungu hamnazo.... katika hao wanaompinga trump..hakuna mbunge ambaye amewahi kumtomasa mwanamke bila ya ridhaa yake ?