Trump assassination attempt VS Lisu Assassination attempt: Similarities and Differences

Jaribio la kuuwawa lisu liliratibiwa na iikulu
 
New news, most likely
 
Lisu alikuwa akiitisha serikali kwa kusema itashitakiwa miga mda wote alikuwa akitetea wazungu waendelee kupora madini yetu trump yeye anatetea taifa lake
we mshenzi mkubwa. sasa bandari ziko wapi? misitu ko wapi? loliondo iko wapi? etc etc
 
Hii ndio mbogo 😅
 
Walipanga na wachimba kaburi kule Ikungi na kuamua kuwa maiti ispelekewe Dar.

Ila Mungu ana nguvu, kazikwa yeye Chato na Lissu anadunda
We Sema tu anadunda wakati mwenzako ametiwa ukilema wa maisha na hasira hadi leo.
 
LISU assacination sio ya kuiongelea teka, ya kuweka kwenye kapu la takataka. haiwezekani watu tulimpigania vile, tulimsemea na kumlilia namna ile, halafu yeye alivyoona SATIVA kapigwa risasi na kutupwa kwenye mbuga aliwe na mafisi, hakusema chochote, bila kujua hata sativa alikuwa anamlilia kipindi kile. amesahau fadhila zote huyu jamaa. aliyepo karibu amshtue, tunamshangaa, au kalishwa asali ameambiwa asiongee kitu kitakachochafua mbogamboga fc?
 
Trump tegesharing sikio and the bullet just parazad it then he onyeshad ishara ya ushindi and he is rushed to local medical centre, lisu, 18 bullets hit the body and he is rushed to the hospital unconshazile
 
Trump tegesharing sikio and the bullet just parazad it then he onyeshad ishara ya ushindi and he is rushed to local medical centre, lisu, 18 bullets hit the body and he is rushed to the hospital unconshazile
kiukweli, Mungu amehusika kumwokoa trump, ili aingie madarakani awabane mashoga na watoa mimba, manake yeye yupo kinyume nao. ana bahati sana.
 
Hivi una akili timamu kweli wewe maana unaongea kama unekunywa maji ya chooni vile.
 
Nimekuelewa sana

Ni kwamba inawezekana hata hao maofisa waliomuua Thomas ni miongoni mwa watu walioshirikishwa kwenye hiyo mission aidha iwe accomplished or not!
 
Aliyemshambulia Lissu ni serikali ya awamu ya 5, ushahidi umewekwa kila mahali na Lissu mwenyewe, aliyewatuma kafa lakini wengine bado wapo akiwemo aliyekuwa RPC na IGP
Usifananishe vitu na ujinga; tukio la Lissu linaweza kufananishwa na la Chacha Wangwe - moja mauwaji yalifanikiwa la pili halikufanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…