Lengo lilikuwa kumuua, na halijafanikiwa.We Sema tu anadunda wakati mwenzako ametiwa ukilema wa maisha na hasira hadi leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo lilikuwa kumuua, na halijafanikiwa.We Sema tu anadunda wakati mwenzako ametiwa ukilema wa maisha na hasira hadi leo.
Trump kaitengeneza hiyo kujijenga kisiasa🙄😜Similarities Differences
1. Politically motivated Trump individual motivated, Lisu state motivated
2. Opposition parties candidates Trump State investigating, Lisu NO INVESTIGATION to date
3. Event: Political business. Trump Presidential campaign, Lisu Parliament business
4. Trump: Biden condemns act, Lisu: Magufuli No condemnation
5. Trump : shooter is identified and killed, Lissu not identified
Ongeza
Ila madhara aliyopata Lissu hayakuwa malengo yake, kunusurika kifo sio ushindi kwa sababu mwisho wa siku utakufa tu.Lengo lilikuwa kumuua, na halijafanikiwa.
sio ushindi, bali ni muujiza.Ila madhara aliyopata Lissu hayakuwa malengo yake, kunusurika kifo sio ushindi kwa sababu mwisho wa siku utakufa tu.
UMEKASIRIKAHujui kitu wewe, Shut up!
Eti mzalendo wakati lijamaa ni li dikteta.Trump alikuwa anafanya kampeni na kupigania maslahi ya taifa lisu alikuwa anapigania MIGA ,acha kufananisha mzalendo Trump na vijiti vya hovyo
USSR
Leo Waarabu na Wachina wanaopora nchi kawaleta Lisu???Lisu alikuwa akiitisha serikali kwa kusema itashitakiwa miga mda wote alikuwa akitetea wazungu waendelee kupora madini yetu trump yeye anatetea taifa lake
Inawezekana 100%Na pia inawezekana hata mwenyewe Trump alipanga hii mission kwa lengo la kujenga chuki kwa wananchi wawaondoa democrats madarakani
Kama Mbowe kawapa watu waendeshe guest yake anawezaje kushangaa bandari kupewa waarabu waiendesheLeo Waarabu na Wachina wanaopora nchi kawaleta Lisu???
Je kawapa Wazungu au Wamarekani?Kama Mbowe kawapa watu waendeshe guest yake anawezaje kushangaa bandari kupewa waarabu waiendeshe
Haijalishi; ila inaendeshwa na watu wengineJe kawapa Wazungu au Wamarekani?
Sawa.Haijalishi; ila inaendeshwa na watu wengine
Na aliyetoa amri ya shambulio leo hii yuko Jehannam anaokwa kama ndafuLengo lilikuwa kumuua, na halijafanikiwa.
Kwa hiyo guest house ni sawa na bandari?Kama Mbowe kawapa watu waendeshe guest yake anawezaje kushangaa bandari kupewa waarabu waiendeshe
Yaani watu wengine wanatupa akili kule kwa sababu tu ya chuki.Kwa hiyo guest house ni sawa na bandari?
Na ameanzisha uzi kuhusu mali anazomiliki Mbowe.Mali ya umma ifananishwe na ya mtu binafsi?What a narrow mind!Yaani watu wengine wanatupa akili kule kwa sababu tu ya chuki.
Inasikitisha sana kuwa na watu kama hawa nchini.Na ameanzisha uzi kuhusu mali anazomiliki Mbowe.Mali ya umma ifananishwe na ya mtu binafsi?What a narrow mind!
Ni kweli Lissu ni kitu gani alitishia hakijatokea?Alisema tutashtakiwa na kweli tumeshtakiwa au hakumuona prof Mruma alivyotia huruma kwenye utetezi wake?Mbona kuna mijitu inajisahaulisha hivi!we mshenzi mkubwa. sasa bandari ziko wapi? misitu ko wapi? loliondo iko wapi? etc etc