Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Meanwhile in Tanzania the Cure For Preventing mikutano ya Chadema ni kwa kutumia Police Force
 
Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona.

Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya clinical trial.

Idadi ya vidonge vya chloroquin nilivyovimeza maishani mwangu haihesabiki. Achilia mbali sindano zake. Dozi ya sindano ilikuwa ni 1x3.

Hats off kwa “mabeberu”.

Sisi tuna wachawi wengi sana na waganga wengi tu wa kienyeji.

Kama kweli hawa wataalamu wetu wana huo ujuzi ambao hudaiwa wanao, kwa nini washindwe kwenye hili la kutibu Corona?

Heko Marekani. Mchango wake kwenye advancement of humanity hauelezeki kwa maneno.




Mashindano yameanza sasa, hata kwa ugonjwa.............Mwamerika hataki kushindwa, mbona Mchina kamaliza janga huko kwenye kitovu chenyewe cha Huwan, mbona tusiulize Mchina kawezaje???
 
Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona.

Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya clinical trial.

Idadi ya vidonge vya chloroquin nilivyovimeza maishani mwangu haihesabiki. Achilia mbali sindano zake. Dozi ya sindano ilikuwa ni 1x3.

Hats off kwa “mabeberu”.

Sisi tuna wachawi wengi sana na waganga wengi tu wa kienyeji.

Kama kweli hawa wataalamu wetu wana huo ujuzi ambao hudaiwa wanao, kwa nini washindwe kwenye hili la kutibu Corona?

Heko Marekani. Mchango wake kwenye advancement of humanity hauelezeki kwa maneno.




Mashindano yameanza sasa, hata kwa ugonjwa.............Mwamerika hataki kushindwa, mbona Mchina kamaliza janga huko kwenye kitovu chenyewe cha Huwan, mbona tusiulize Mchina kawezaje???
 
Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona.

Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya clinical trial.

Idadi ya vidonge vya chloroquin nilivyovimeza maishani mwangu haihesabiki. Achilia mbali sindano zake. Dozi ya sindano ilikuwa ni 1x3.

Hats off kwa “mabeberu”.

Sisi tuna wachawi wengi sana na waganga wengi tu wa kienyeji.

Kama kweli hawa wataalamu wetu wana huo ujuzi ambao hudaiwa wanao, kwa nini washindwe kwenye hili la kutibu Corona?

Heko Marekani. Mchango wake kwenye advancement of humanity hauelezeki kwa maneno.


Dah!! Nimemaliza dozi juzi tu!!
 
Utafiti wa chloroquin kutibu corona virus hajathibitisha kuwa hiyo dawa ndo tiba.

Bali, utafiti huo umetoa matumaini kidogo, kuwa, hiyo dawa imeonekana kuleta nafuu kwa walio wagonjwa.

Tafiti zaidi zinahitajika ili kupata ithibati.

Maoni ya Dr. Fauci hayatofautiani na matokeo ya hizo tafiti zako.

Mpaka sasa corona virus haina tiba. Na kusema ukweli, magonjwa mengi yenye kusababishwa na virusi, hayana tiba.

Ila, kama watu mnaona chloroquine ndo tiba, waambieni Watanzania waache kuogopa. Wameze tu chloroquin na watapona na maisha yataenda kama ilivyo ada.
Heshima mkuu Nyani Ngabu nimekuwa na naendelea kukuhusudu kwenye ujenzi wa hoja kwa hiyo ninayo furaha kuu kubadilishana mawazo au kunielimisha ukipenda ,toka mwanzo nikijua korona ni mchezo wa kuwapa walimwengu HOFU kwa ajili ya maslahi fulani,kama ilivyokuwa septemba 11 walimwengu wamepoteza matrilioni ya pesa pamoja na uhuru.
Na korona virus ni hivyo hivyo ndio maana umepewa kick kwa namna ya kushangaza,na katika mchezo huu key player ni Bill Gate,na makala ntakayobandika hapa kaelezewa vizuri lakini cha kusisimua zaidi mtafiti anaeheshimika duniana Dk Fauci ni sehemu ya mpango huo haishangazi kusema aliyosema.
Coronavirus, Vaccines and the Gates Foundation -
Global Research


Rejea:The Coronavirus COVID-19 Pandemic: The Real Danger is "Agenda ID2020" - Global Research
 
Mimi nikinywaga hivo vidonge usiku bila piriton usingizi hauji mwendo wa kulipiga gita.
 
Chloroquine hazikupigwa ban na taasisi mbalimbali za afya hapa dunian au mie ndo nimejichanganya.

Namuona na waziri wa afya ameanza kupigia chapuo hyo dawa sa sijui maana yake n nn
 
Hawa watu hawa, ni kama walivyotukataza matumizi ya DDT, kumbe wao walitumia kuua mbu wote na masalia yake, tukabakia na mbu wetu tukome na malaria.
 
MLIPUKO WA MARADHI YA HOMA YA MAPAFU CORONA VIRUS DUNIANI KOTE...jpg


Habari Njema.........nisaidie ku SHARE

-China imefunga hospitali yake ya mwisho ya Corona Virus. Hakuna maambukizi mapya ya kutosha kufanya hospitali hizo ziendelee kuwepo.

- Madaktari nchini India wamefanikiwa kutibu maambukizi ya virusi vya Corona. Mchanganyiko wa dawa uliotumika ni Lopinavir, Retonovir, Oseltamivir pamoja na Chlorphenamine. Wanatarajia kupendekeza matumizi ya dawa hizi duniani kote.
-Watafiti wa kituo cha Erasmus Medical Center wanadai kuipata kinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
-Mkongwe wa miaka 103 kutoka Nchini China amepona kabisa maambukizi ya COVID-19 baada ya kutibiwa kwa siku 6 mjini Wuhan, China.
- Kampuni ya Apple imefungua ofisi zake zote 42 nchini China.
-Kliniki ya Cleveland imetengeneza kipimo cha COVID-19 chenye uwezo wa kutoa majibu ndani ya masaa kadhaa, na sio siku.
-Habari njema kutoka Korea Kusini ambapo maambukizi mapya yameendelea kupungua.
- Italy imeathiriwa zaidi, wataalamu wanadai kwamba hii imetokana na kuwa na idadi kubwa ya wananchi wenye umri mkubwa kuliko nchi zote barani Ulaya.
-Wanasayansi huko nchini Israel wanatarajia kutangaza utengenezwaji wa Kinga ya Corona.
- Wagonjwa watatu wa maambukizi ya Corona mjini Maryland wamepona kabisa maambukizi hayo na wapo fiti kurudi katika mihangaiko ya kila siku.
- Jopo la wanasayansi wa nchini Canada wamefikia hatua nzuri ya utafiti wa COVID-19
- Kampuni ya San Diego Biotech kwa kushirikiana na chuo cha Duke na Chuo cha taifa cha Singapore, wanatengeneza chanjo ya COVID-19.
-Mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 katika jimbo la Tulsa amepona. Mgonjwa huyo alipimwa mara mbili na majibu kuwa hasi, kiashiria kwamba amepona.
-Wagonjwa wote 7 waliokua wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Safdarjung mjini New Delhi wamepona.
- Utegili(Plasma) ya mtu aliyepona maambukizi ya COVID-19 inaweza kutumika kuwatibu wagonjwa wenye maambukizi mapya.
NA MGONJWA WA AWALI NCHINI UFILIPINO, AMEPONA.
Kuna mtu ameandika na nimeipenda.
Kwahiyo, Sio kila wakati tunapata habari mbaya❤.. Tuendelee kupeana tahadhari...
.
*nisaidie ku SHARE HII MARA NYINGI..
 
HIYO NI UHISPANIA MAMA AMESHIKWA NA MARADHI YA VIRUSI VYA CORONA VIRUS AMEAMBIWA AENDE NYUMBANI KUJITIBIA HAO WALIMZUNGUKA NI WATOTO WAKE HATARI KWELI HUYU MDUDU CORONAVIRUS .MUNGU ATUEPUSHE NAE SEMA AMIN.

 
Hivi mtu anaweza kurogwa akapata malaria?
Uchawi siku hizi umeendelea kuna uchawi wa kukufanya ukienda hospitali unaonekana na maradhi ya Ukimwi, uchawi mtu anarogwa anakuwa na ugonjwa wa Malaria uchawi mtu anarogwa anakuwa ana ugonjwa wa kisukari, uchawi mtu anarogwa anakuwa na ugonjwa wa presha. Wee usicheze na uchawi ni hatari sana
 
Back
Top Bottom