Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Na we kwa akili yako ndio ukaleta yale madudu😂😂😂😂😂Unaonekana ni mfuasi wa mlengo wa kushoto mwenye maumivu makali sana moyoni, na ushindi wa Trump unakuuma mpaka leo.
BTW, kwa jinsi ulivyoandika hapo mwishoni hauna tofauti na wale watanzania wapuuzi much knowing waliojazana kule twitter(x) wakijiona kwamba wao ndio wana akili kuliko watanzania wengine hasa wanaotofautiana nao kimtazamo.
Nonetheless haibadilishi kitu.
Ulichokiweka kama ushahidi ama sababu za kusitishwa kwa misaada ni Non sense.
Kuwa na akili nyingi kama inakusumbua siezi nikakusaidia na hilo Tah tah