Na we kwa akili yako ndio ukaleta yale maduduπππππUnaonekana ni mfuasi wa mlengo wa kushoto mwenye maumivu makali sana moyoni, na ushindi wa Trump unakuuma mpaka leo.
BTW, kwa jinsi ulivyoandika hapo mwishoni hauna tofauti na wale watanzania wapuuzi much knowing waliojazana kule twitter(x) wakijiona kwamba wao ndio wana akili kuliko watanzania wengine hasa wanaotofautiana nao kimtazamo.
U seen yours?πππππSawa shithole!
Ukifa kwa diginity ni sawa kabisa, lakini ukifa watu wanafurahi, watu wanasema bora umekufa siyo sawa.Mbona wote tutakufa hata wewe hapo lazima ufe tu!! No other way!
Huyu ndio maana walikuwa hawataki arudi.Trump ataja maeneo na kiasi ambayo mafisadi wa Marekani waliyalitumia kuiba pesa za Marekani kwa kisingizio cha kusaidia Africa
Msikilikilize kuanzia dakika 1:20 akianza kutema cheche
Kipi kinasababisha madhara kwa afya?..hakuna gmo tanzaniaKidogo kwa afya bora na kingi kwa kusababisha madhara makubwa kiafya, kipi kitumike hapo?
Unafiiriki duniani unaweza kuwaridhisha wote!? Mungu mweyewe analalamikiwa na binadamu kila siku.!Ukifa kwa diginity ni sawa kabisa, lakini ukifa watu wanafurahi, watu wanasema bora umekufa siyo sawa.
Trump amefuta kazi maelfu ya watu na bado anaendelea kufukuza. Hawa watu wana familia, mikopo na madeni mengi: wataishije?, watalipaje?