Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #41
Afadhali wewe umetoa ushuhuda!!Zinaingizwa huko mkuu, nasubiri mwezi mmoja upite nifungue madai japo niwe napata ile 33.3%
Zinaingizwa kwenye mifuko ipi?Pesa za waajiriwa wa mashirika chini ya USAID haziingizwi NSSF wala PSSF. Thread closed
Upo sahihi mkuuKimekushangaza nini?
Miradi yote kisheria hufuata mifumo yote ya ajira kwa Tanzania. Watu wote walioajiriwa kwenye miradi yote inayofadhiliwa na USAID ni wanachama kwenye NSSF na kama wameazimwa toka serikalini/mashirika ya umma huwa wanachama wa PSSSF .
Kama hili hulijui Kaa kimya.
mbona sheria iko wazi sana kwenye namna ya mtu kupata mafao yake nssf madam?Pinga kwa hoja.
kabisa mkuu, upo sahihi kabisa mkuu, wachache sana wataelewa mkuu.Asante mkuu, mm ni mvivu wa kuandika, comment yangu ya kwanza wengi hawatoielewa