Trump atia saini amri ya kujiondoa kwa Marekani kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa

... sasa tutasaini mikataba kama ambayo Zelensky anaambiwa asaini, yaani 'MSAADA KWA MADINI BURE'! HATUNA NAMNA ZAIDI YA KUJISALIMISHA, NA UKICHELEWA INAKULA KWAKO!
Mliokuwa mnasubiri 'NEW WORLD ORDER' ndiyo hii INAKUJA!
 
... bado kuna cha kuwekeza hapa? ... labda Congo!
 
Trump alisisitiza "uwezo mkubwa" wa Umoja wa Mataifa lakini akasema hauendeshwi ipasavyo.
Trump analipa kisasi kwa nani yaani kwa mfano? Maana sasa hatumuelewi ni km ana bifu na dunia nzima kwani dunia nzima ndio iliyotaka kumuua basi wale waliotaka kumuua waliona mbali sana huyu mwehu akiendelea hivi hafiki mbali lazima wamdedishe maana usenge anaoufanya ni mwingi sana anatibua tibua kila kitu kila alichokikuta ofisini kwa Biden hakitaki

Mfalme Charles wa Uingereza pamoja na ukuu wake wa kifalme hafanyi km anavyofanya Mfalme Trump wa Marekani
 
Wapi alipokwambia kuwa analipa kisasi? Hiyo si ni donation tu. Akiona ipo kinyume na matarajio ya nchi yake kwanini mseme ana bifu na dunia?
Kama hamkutosheka na kumkosakosa kumuua si muende mkamuue tena? Kwani mmekatazwa?
 
Wapi alipokwambia kuwa analipa kisasi? Hiyo si ni donation tu. Akiona ipo kinyume na matarajio ya nchi yake kwanini mseme ana bifu na dunia?
Kama hamkutosheka na kumkosakosa kumuua si muende mkamuue tena? Kwani mmekatazwa?
Huyo jamaa aongeze ulinzi maana anafanya ujinga ujinga mwingi kwa muda mfupi sana yaan ujinga ujinga mwingi mpaka mwingine unashangaa huyu mwamba ana bifu na nani? Maana Trump kwa mabifu tu hajambo sasa aendelee na mabifu mimi nasubiria breaking news tu hapa Trump is Dead
 
Wala hana bifu na mtu, US wenyewe wanamkubali kichizi. Amewafungua macho, sasa hivi watu hawaangalii Netflix, bali waafuatilia series za White house, Congress na Senate.
Vumilia tu, jipe muda mkuu, utakuja kumkbali mwenyewe
 
Bado Mkuu tuna madini mengi muhimu kwa mfano uranium iko huko Ruvumq na hizo rare minerals ziko Huko Songwe ndo kwanza wako stage za mwanzo kuzichimba. (kumbuka hizi ndo zinatafutwa mno)
Hizo simuliza za tuna nani kawafundisha? Tuna wewe na nani? Inakuhusu nini wewe hio Uranium ya wale waliopo kule kwenye meza kuu? Wewe komaa tu na kuendesha bodaboda uingize bukubuku kesho ukawapigie magoti Chama cha Vegetables
 
Wala hana bifu na mtu, US wenyewe wanamkubali kichizi. Amewafungua macho, sasa hivi watu hawaangalii Netflix, bali waafuatilia series za White house, Congress na Senate.
Vumilia tu, jipe muda mkuu, utakuja kumkbali mwenyewe
Hakuna kitu km hicho huyo Mzee wa kutibuatibua opportunist Trump ni Mfanya biashara usilisahau hilo anaangalia maslahi ya biashara zake yeye km yeye sio maslahi ya watu wengine, sasa huku kampandishia China huku UN anaanza kufolokonyoa kule BRICS anawapiga biti hili jamaa vipi kwani?
 
Kwani huyo Mchina na BRICS hawailengi US?
Hiyo UN ina msaada gani kwa US na EURO?

Na hawa nao ni Trump?

 
Baada ya miaka 4 raisi ajaye wa Marekani atairudisha tena Marekani kwenye hayo mashirikia

Hizi ni drama tu za miaka 4 na kisha zitaishia hapo

Trump ni mwendawazimu
 
Saa100 asome ulichoandika
... nawaonea huruma sana watembeza bakuli wa Dunia, lakini, vilivile, nawaonea huruma sana jamaa waliokuwa wanazunguka Marekani na Maulaya kulalamikia matokeo ya chaguzi nchini kwao, maana sasa hivi watarudishwa kama wahamiaji haramu!
🤣
 
Muacheni Donald Trump aendelee kujitoa kwenye kila kitu duniani kwa vile anafikiri USA ni kama peponi. Iko siku atasaini order ya kujitoa kwenye dunia yetu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…