Kumbe na wewe uliona. Yaani ni aibu kwa watangazaji wa Aljazeer na yupo pia mchambuzi mmoja shabiki maandazi wa jamaa pamoja na elimu yake nzuri ajisahau na kuongea rubish sanaSiku anachaguliwa Aljazra TV walishangiria Saana !!! Walimuona mkombozi ila kwasasa sjui Kama wanahamnae Tena!!!
Nanukuu: "Gazans hawaamini ktk kupoteza kabisa".
Mbona walishapoteza yote - watu na vitu. Kwa sasa Hawana kilichobaki cha kupoteza. Kilichosalia cha kupoteza ni wao wenyewe.
Ni uhakika gani au Ushahidi upi uliopo kwamba wakifa wanaenda peponi? Hiyo ni imani tuu kama walivyoamini na kujitumbukiza na kuanzisha lile tukio la tar.7Okt.2023.Wao wakifa wanaenda peponi, maana wamekufa mashahidi
Mungu yupi sasa hapo? Na nani kadhulumiwa?Hata kama kila mtu ana yake.inapokuja dhulma ya wazi basi Mungu huenesha nguvu yake.
Nyie waisilamu subirini mfuturu kwanzaSisi waisilamu tumeshatoa?
1. Bado hawajawahi au kuonja kufanyiwa yale mauaji ya kumalizwa(Kujimaliza) kama ile sadaka ya Mwamposa ya kujimaliza.Kuna mauaji gani mapya hawajawai kufanyiwa Gaza?
Wamepita wengi sasa hivi wapo chini ya ardhi wameiacha Palestina.
Palestina ni gereza la wazi Trump na Netenyahu watakufa wataicha Palestina.
Hapana mkuu. Badala ya kusubiri tu kuona jehanam ya Wapalestina, bado Tunaweza kufanya kazi walau ya kupiga kelele za kukemea au kuwaombea Wapalestina waepushwe na janga hilo.Sisi kazi yetu ni kusubiri tuone hiyo jehanam ya wapalestina kama itatokea
Dah! Huyo jamaa ni pasua kichwa aisee. Kama ni kweli alishaongea na Hamas kisirisiri; Je, hayo anayoyatamka sasa hadharani ndo yale-yale aliyoongea sirini? Hakuna anayejua kwa uhakika.Anachuna uso baada ya habari za kuongea na Hamas kisirisiri kuenea
Palestina itabaki kuwa Palestina kwa hali yeyote ile.1. Bado hawajawahi au kuonja kufanyiwa yale mauaji ya kumalizwa(Kujimaliza) kama ile sadaka ya Mwamposa ya kujimaliza.
2. Ni ukweli 100% usiopingika kwamba wote hao akina Hamas, Trump na Netanyahu watapita na wataiacha Palestina.
Swali la kujihoji hapo ni kwamba Je; baada ya hao wote kupita, Palestina itabaki ikiwa katika hali gani? e.g. Jangwa, magofu, hofu kuu nchi isiyo kalika tena au bonde la umauti; au Palestina itabaki nchi yenye utulivu na amani; nchi ya asali na maziwa?
Sasa tumsikie mbwa Edorgan atasema niniRais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo la mwisho kwa Hamas kuachilia mateka walioko Gaza, akisisitiza kuwa Marekani inaiunga mkono Israel kumaliza suala hilo.
Hii inakuja muda mfupi baada ya Ikulu ya Marekani kuthibitisha kuwa inafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Hamas, kinyume na sera yake ya awali ya kutozungumza na makundi iliyoainisha kama ya kigaidi.
Trump ameonya kuwa kutakuwa na madhara makubwa ikiwa mateka hawataachiliwa mara moja, huku akiwataka viongozi wa Hamas kuondoka Gaza. Pia ameonya raia wa kawaida kuwa mustakabali wao unategemea kuachiliwa kwa mateka.
View attachment 3260793
Hii si mara ya kwanza kwa Trump kutoa vitisho dhidi ya Hamas, kwani alitoa matamshi kama hayo Desemba mwaka jana. Ujumbe wake wa hivi karibuni umetolewa baada ya kukutana na mateka waliokuwa wameachiliwa chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano.
==============================================================
US President Donald Trump issued what he said was a “last warning” to Hamas to release all of the hostages in Gaza immediately – in a move that came just hours after the White House confirmed it was negotiating directly with the militant group.
“Release all of the hostages now, not later, and immediately return all of the dead bodies of the people you murdered, or it is OVER for you,” Trump posted on Truth Social on Wednesday, soon after meeting eight freed hostages at the White House.
Trump wrote that he would send Israel “everything it needs to finish the job,” and warned that “Not a single Hamas member will be safe if you don’t do as I say.”
The comments came just hours after the US confirmed reports that it was negotiating directly with Hamas about hostages and the Gaza ceasefire, in a move that goes against its tradition of not talking to groups it considers terrorist organizations. Axios first reported the talks.
It also comes as international aid and rights groups demand Israel ensure unhindered humanitarian access to Gaza, after the country stopped all aid into the enclave to pressure Hamas into accepting new terms for an extension of the ceasefire agreement.
The United States, which designated Hamas as a Foreign Terrorist Organization in 1997, traditionally does not speak with terrorist organizations, though there have been exceptions – both the Obama and Trump administrations negotiated with the Taliban, which was designated a terrorist organization in the wake of 9/11.
Source: CNN
Ndiyo shetani wenu kaallah alivyowadanganya?Palestina itabaki kuwa Palestina kwa hali yeyote ile.
Naam. Ila umetoa jibu-hitimisho lenye sintofahamu ya kiaina (not specific)kwani hakuna kitu kinachoitwa kama hali yoyote ile. Hali inaelezwa au inakolezwa kama nzuri, mbaya, isiyoeleweka n.k. Hebu ikikupendeza, sema kwa uwazi zaidi huku ukizingatia tunazungumzia Hali itakayotamalaki na sio nchi (pande la ardhi).Palestina itabaki kuwa Palestina kwa hali yeyote ile.
Hivi kumbe huwa kuna shetani aitwaye kaallah? Je; wale wengine (kama wapo); wanaitwaje na ninani mmiliki wao? Tumeshajua kaallah ni wa Ritz. Hao wengine vp au ulimfahamu huyo mmoja tuu mkuu?Ndiyo shetani wenu kaallah alivyowadanganya?
Samahani sheikh! WAKIRISITU ndo akina nani?Subiri wakirisitu wanakuja kutoa muongozo
Trump hafi kabla hajaigeuza Gaza kuwa “a beautiful riviera paradise”. Keshaahidi kuwatengenezea Wapalestina maisha ya paradiso hapa hapa duniani.Kuna mauaji gani mapya hawajawai kufanyiwa Gaza?
Wamepita wengi sasa hivi wapo chini ya ardhi wameiacha Palestina.
Palestina ni gereza la wazi Trump na Netenyahu watakufa wataicha Palestina.
Bila shaka mkuu umekubali kwamba, kati ya Biden na Trump aliye na huruma ni Biden kwa habari ya Gaza. Ingawa kwa habari ya Ukraine, Trump amekufurahisha. Trump hasomeki, kila tukitaka kumsoma anatuchanganya zaidi.Palestina itabaki kuwa Palestina kwa hali yeyote ile.