Trump atupiwa lawama ajali ya ndege Marekani

Trump atupiwa lawama ajali ya ndege Marekani

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Lawam nyingi zimeelekezwa kwa Donald Trump Rais wa Marekani kufuatia ajali mbaya ya ndege iliyotokea jimbo la Virginia ambapo ndege ya abiria imegongana na helicopter ya jeshi na kuua watu zaidi 60. Hata hivyo Trump mwenyewe amekwepa uwajibikaji na kumtupia lawama mtangulizi wake Biden.

Watu wengi wanaamini fukuza fukuza ya wafanyakazi wa umma aliyoingia nayo serikalini kipindi hiki imechangia kwa kiasi kikubwa ajali hiyo kwani idara ya usalama wa ni mojawapo ya taasisi zilizokumbwa na kadhia hiyo.

Screenshot_20250130-201858_X.jpg

Screenshot_20250130-201916_X.jpg
20250130_202012.jpg
 
Lawam nyingi zimeelekezwa kwa Donald Trump Rais wa Marekani kufuatia ajali mbaya ya ndege iliyotokea jimbo la Virginia ambapo ndege ya abiria imegongana na helicopter ya jeshi na kuua watu zaidi 60. Hata hivyo Trump mwenyewe amekwepa uwajibikaji na kumtupia lawama mtangulizi wake Biden.

Watu wengi wanaamini fukuza fukuza ya wafanyakazi wa umma aliyoingia nayo serikalini kipindi hiki imechangia kwa kiasi kikubwa ajali hiyo kwani idara ya usalama wa ni mojawapo ya taasisi zilizokumbwa na kadhia hiyo.

View attachment 3218987
View attachment 3218988View attachment 3218989
Huyu Afya ya Akili haiko sawa!
 
Aisee, hii inakwenda muharibia sana huyu jamaa.
Wakati wa kampeni nilisema hatoshinda lakini kwa njia za rushwa za matajiri amepita.
Sasa kwa fujo zake naamini ataivuruga Marekani na kuwa kama Kongo na hatimae hatomaliza muda wake salama.
 
Lawam nyingi zimeelekezwa kwa Donald Trump Rais wa Marekani kufuatia ajali mbaya ya ndege iliyotokea jimbo la Virginia ambapo ndege ya abiria imegongana na helicopter ya jeshi na kuua watu zaidi 60. Hata hivyo Trump mwenyewe amekwepa uwajibikaji na kumtupia lawama mtangulizi wake Biden.

Watu wengi wanaamini fukuza fukuza ya wafanyakazi wa umma aliyoingia nayo serikalini kipindi hiki imechangia kwa kiasi kikubwa ajali hiyo kwani idara ya usalama wa ni mojawapo ya taasisi zilizokumbwa na kadhia hiyo.

View attachment 3218987
View attachment 3218988View attachment 3218989
Yasemekana kulikuwa na upungufu wa waongoza ndege katika anga yenye harakati kubwa za safari za ndege.Waliokuwepo pia wana uzoefu mdogo na kazi hiyo nzito.
 
Back
Top Bottom