Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu kwa hiyo miaka inatosha, utandaji kazi wao sio kama huku unakuta kazi ya kufanya kwa mitambo wanakomaa vibarua na vkaraiTatizo 4 yrs miaka michache kufanya hicho anachotaka kufanya Gaza
Wazungu kwa hiyo miaka inatosha, utandaji kazi wao sio kama huku unakuta kazi ya kufanya kwa mitambo wanakomaa vibarua na vkarai
Anahitaji kama miaka mingapi?
Hawezi akaanza yeye mwingine akaendeleza?
Kama kapost huo ujinga basi huyu Mzee kweli dishi limeyumba.
Hana akili kabisa.Mpango ni kuwahamishia Wapalestina Misri na Jordan
Sasa unataka gaza wapajaze misikiti au?Ni lini wapalestina walitaka haya mambo ya kuonesha vichupi na vikaptula ufukweni huku wakinywa bia?
Kama hii video ni ya ukweli inaonekana wazi kabisa Trump na watu wake bado hawajaelewa ni nini haswa hawa wapalestina wanachotaka au kukipigania miaka nenda rudi…
Waulizwe wanataka nini na sio kuwaamulia na kuwapelekea mambo ya BilicanasSasa unataka gaza wapajaze misikiti au?
Donald Trump ni m'beba maono ya dunia. Tundu Antipas Lissu m'beba maono ya Tanzania.Unaingiaje nchi ya watu nakujijengea tu je yeye atajisikiaje natenyau au rais mwingine apange kujenga kitu bola kumshirikisha
Atakuwa bado yuko hai?Ameposti video kwenye mtandao wake wa Truth Social jinsi anavyoina Gaza ya siku za mbeleni kupitia mpango wake wa Gaza riviera.
View attachment 3250960