Strong ladg
Senior Member
- Jul 15, 2021
- 170
- 445
Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameonya kuongeza ushuru kwa bidhaa za jumuiya ya Ulaya zinazoingia Marekani endapo jumuiya hiyo haitaongeza viwango vya mafuta na gesi inavyonunua kutoka Marekani.
Trump alitoa taarifa hiyo kupitia post katika mtandao wa Truth aliyoichapisha Alhamisi usiku.
Tangu kutokea kwa vita ya Urusi na Ukraine, nchi za Umoja wa Ulaya zimelazimika kununua gesi yénye gharama kubwa kutoka vyanzo vingine ikiwa ni matokeo ya kulipuliwa kwa bomba la gesi la Nordstream 2 pamoja na vikwazo vinavyozilazimisha nchi za Umoja huo kuacha kununua gesi moja kwa moja kutoka Urusi.
Source:
"Trump threatens EU with tariffs over oil and gas imports | Reuters" https://www.reuters.com/world/us/tr...cit-with-us-by-purchasing-its-oil-2024-12-20/
Trump alitoa taarifa hiyo kupitia post katika mtandao wa Truth aliyoichapisha Alhamisi usiku.
Tangu kutokea kwa vita ya Urusi na Ukraine, nchi za Umoja wa Ulaya zimelazimika kununua gesi yénye gharama kubwa kutoka vyanzo vingine ikiwa ni matokeo ya kulipuliwa kwa bomba la gesi la Nordstream 2 pamoja na vikwazo vinavyozilazimisha nchi za Umoja huo kuacha kununua gesi moja kwa moja kutoka Urusi.
Source:
"Trump threatens EU with tariffs over oil and gas imports | Reuters" https://www.reuters.com/world/us/tr...cit-with-us-by-purchasing-its-oil-2024-12-20/