dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Dah! Ila yale maumbwa pale Tel Aviv! Kuyamaliza inahitajika kazi ya ziada.Isr
Israeli nae aige hiyo, aache kupigana na magorofa na watoto.🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Ila yale maumbwa pale Tel Aviv! Kuyamaliza inahitajika kazi ya ziada.Isr
Israeli nae aige hiyo, aache kupigana na magorofa na watoto.🤣🤣
Kwahiyo ulihalalishiwa kuliwa trako?Nimeshakwambia nakula vilivyohalalishwa sikaribii kinyesi mimi! Unalilia sana dudu wewe; sio kwa kulitaja hivyo. Mwasho ukizidi peleka kwa mabasha zako huko.
Kwamba hujui kusoma au? Umejistukia kutaja id za wanaume?Kwahiyo ulihalalishiwa kuliwa trako?
Jibu swali,Kwamba hujui kusoma au? Umejistukia kutaja id za wanaume?
Wewe jamaa unatumia nguvu nyingi sana kujitangaza wallahi! Nimekwambia kinyesi mpelekee basha wako.Jibu swali,
Kwahiyo kutafunwa trako ulihalalishiwa na nani?
Kiongozi, naona Huna uzoefu na siasa za Marekani, republican ndio kinara wa vita Duniani na ndio sababu mara nyingi kama sio zote chama hicho ndio hozorotesha uchumi wa Marekani na Dunia kwa kupeka hela nyingi sana kwenye mavita ya hovyo hovyo na hivyo kufanya watu wao wapigie kura Democratic ili kijenge tena uchumi, subiri miaka minne.....Donald Trump; the messenger of peace.
Nimemzungumzia D. Trump not Republican.Kiongozi, naona Huna uzoefu na siasa za Marekani, republican ndio kinara wa vita Duniani na ndio sababu mara nyingi kama sio zote chama hicho ndio hozorotesha uchumi wa Marekani kwa kupeka hela nyingi sana kwenye mavita ya hovyo hovyo na hivyo kufanya watu wao wapigie kura Democratic ili kijenge tena uchumi
Kampikie mumeo sasa ili usije ukaachika ukaja kuanzisha uzi humu na kutusumbua kutaka ushauri baada ya kuachika.Wewe jamaa unatumia nguvu nyingi sana kujitangaza wallahi! Nimekwambia kinyesi mpelekee basha wako.
Imekuingia vilivyo! Next time don't try me. I warned you very early usidhani una copyright ya matusi. Kila mtu anayaweza akiamua. Usirudie tena.Kampikie mumeo sasa ili usije ukaachika ukaja kuanzisha uzi humu na kutusumbua kutaka ushauri baada ya kuachika.
Wewe ni wakuonewa huruma tu na kingereza chako cha darasa la pili,yani wewe mchicha mwiba,choko uliyekubuhu unitishie mimi? Acha kuiongopea nafsi yako na kujifariji,Imekuingia vilivyo! Next time don't try me. I warned you very early usidhani una copyright ya matusi. Kila mtu anayaweza akiamua. Usirudie tena.
Inaitwa Trump Effect.List ya mambo yaliyotokea baada ya Donald J Trump kutangazwa kushindwa uchaguzi;
Ukiwa na mtu mweny ushawishi kama Donald J. Trump as your President inaleta faraja sana, Tanzania tunahitaji mtu kama huyu.
- Taleban kutangaza kwamba wanataka amani na USA na kikundi chao kuondolewa kweny list ya terrorist groups.
- Rais Putin kajitokeza na kusema "western civilization is not an enemy" (hii ni ajabu kwa sababu kipindi cha Biden alikuwa anaiponda US kila akipanda jukwaani)
- Mexican government wameimarisha ulinzi kweny border zake na USA.
- Qatar imewaambia viongozi wa Hammas kwamba "they're no longer welcomed in their country" (kumbuka Qatar ndo walikuwa wanamhifadhi Ismail Haniyeh na viongozi wengine wa Hammas kipindi cha Biden) sasa hivi wamewapiga marufuku nchini kwao.
- Mayor wa Newyork ameanza kushughulikia tatizo la "Illegal Immigrants" waliojaa New York kwa kuwawekea vikwazo vikali.
- Rais wa China amesema wanataka "Peaceful coexistence" with America, wanataka waishi kwa amani na USA na wanaheshimu maamuzi ya wamarekani kumchagua Trump.
- European Union Cheif (Ursula) amemwambia Trump kwamba wanataka marekani awe ana supply Liquefied Natural Gas (LNG) to Europe ili waache kununua kutoka kwa Russia.
- Rais Putin amesema yuko very interested na mpango wa Trump wa kumaliza vita yake against Ukraine, na amesema yuko tayar kwa maongezi na Trump, pia kasema Russia ita support huo mpango.
- Houthi wamesema operations zake kweny international waters zilikuwa ni za kujilinda tuu(which is Ironic) na wametangaza kusitisha hizo operations.
- Hammas kutangaza "Immediate End of War" baada ya Trump kushinda uchaguzi.
- Stock markets na Crypto(Bitcoin, Ethereum etc) charts kupanda mara dufu.
- Kuitwa misogynist na baada ya kushinda uchaguzi kamteua mwanamke wa kwanza kuwa "White House Chief of Staff", hakukuwahi kuwa Chief of Staff mwanamke.
Kubwa jinga wewe! Huna akili.Wewe ni wakuonewa huruma tu na kingereza chako cha darasa la pili,yani wewe mchicha mwiba,choko uliyekubuhu unitishie mimi? Acha kuiongopea nafsi yako na kujifariji,
Nakuonea huruma kukaa na kubishana na wanaume hapa jf,mumeo anakusubiri,usije ukapigwa talaka halafu ukaja kutulilia hapa,naona unakata viuno mpaka unaangusha shanga zako za kiunoni.
Hilo jamaa nina uhakika ni shoga 100% kila siku linazungumzia mambo ya ushoga-ushoga, ndo jambo pekee lililojaa kichwani mwake.Wewe jamaa unatumia nguvu nyingi sana kujitangaza wallahi! Nimekwambia kinyesi mpelekee basha wako.
Donald Trump na Putin wanaelewana sababu wako Diplomatic ila Biden alikuwa na tabia za kike. Yeye na genge lake ni kufanya jambo ilimradi wakukomeshe 🤣 bila kujali atapata athari kiasi gani. Putin akaamua nae aanzishe genge lake ili awanyong'onyeze wakina Biden kabisa kwa kuwavuruga vuruga tu kimipango 😄Mkuu, mimi namuunga mkono Trump haswa! Ila ukimgusa Mchina na Russia, mapema sana naruka na wewe, hata vifuti utapata. Sikuachi!
China na Urusi zimekuwa zikitumia busara muda wote. Hata kabla ya vita vya Ukreni, Putin aliwaalika hao vichwa-ngumu wa West wakae meza moja wazungumze, ila wao wakavimba - wakiongozwa na Boris Johnson, RIP - retired in pity.
Busara hiyohiyo ndiyo waitumiayo sasa kwa sababu wanamwona huyu mpya ni rais na kiongozi anayetumia akili (yake binafsi) kuliko mabavu kama wale.
Halafu wenzio wanawaza kukuza uchumi na biashara kwa njia ya maafikiano, maridhiano na amani. Marekani yenyewe mara zote inaonekana kufanikiwa kwa kuyaanzishia timbwili mataifa mengine.
Unamshawishije jirani ambaye ameamua kuungana na adui yako kukuangamiza?Putin hatumii busara, nilikuwa namuunga mkono sana, lakini kwenye swala la Ukraine ndiyo nilipomuona mpuuzi. Alichotakiwa ni kujenga Ushawishi kwa Ukraine iwe upande wake kama alivyoweza kuwashawishi Belarusi, siyo kuanzisha vita visivyo na kichwa wala miguu, the same goes to China.
Wakat ukimuana Russia anatumia busara, behind the stage ndiye amekuwa ak engineer mfumuko wa wakimbiza kuingia Ulaya. Wanaenda Russia kwa gear ya utalii, ana facilitate usafiri na kuwapeleka Belarusi , wakifika uhuko walikuwa wanapelekwa border ya Belarusi na Poland wanawasukumizia huko.
Poland imejenga ukuta kwenye mpaka wote wakawa wanalazimisha kuruka, sasa hivi mtu akiruka tu ni shot to kill. Wakadhani utani, walipojaribisha waliuawa sana. Muda wote anafanya hayo ilikuwa ni kabla ya vita, maana yako kuna kitu aliuwa akikiandaa dhidi ya West
Huyo anaota kwanza story ya kwamba Qatar wamewafujuza Hamasi sio kweli. Pia Hamasi wabaweza kwenda Algeria au Tunis au hata Oman au pia Iran.Mkuu mnatetemeka wewe na nani? Labda kama mliomsabiria maisha beberu:
View attachment 3147802
HAMAS kaambiwa kuondoka Qatar siku kumi zilizopita. Kumbe Trump kachaguliwa lini?
Nani wapi au lini alishasema anataka vita?
Kwani Tanzania ikisema leo haitaki vita na Marekani utasema ni Kwa sababu kaingia Trump? Kwani lini ilisema ilitaka vita? Uliwahi kumsikia hata Marekani mwenyewe akisema anataka vita?
Hizi ngonjera si za kuwapa watoto wa chekechea?
Kwamba umeorodhesha misimamo ya sehemu mbalimbali duniani ambayo ipo na kuipa unyunyu kuwa wanatetemeka?
Looh!
Mkuu labda kama mnatetemeka nyie lakini si wenye kujitambua wakiwamo Taleban, HAMAS, Hezbollah, Houthi, North Korea, Russia, China, SA, Venezuela, Cuba, Guinea, Burkina Faso au Iran huko!
Habari ndiyo hiyo ndugu.