Trump, Bilionea na Rais asiyeijua pombe

Mpende au umchukie huyo ndiye Donald Trump!Basi,kuna watu wamezaliwa hivyo.The born-free.Angekuwa anapiga "kangala" tungeimba haleluiya![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalau US kuna watu wa kumhoji rais, fikiria Afrika iwe na nguvu kama US na viongozi wetu hawa wa mwaga mboga nimwage ugali[emoji23][emoji23]
 
Utafiti unaonyesha watu wasiokunywa pombe wanaongoza kuwa na roho mbaya!
Inaweza kuwa kweli lakini sio hawa kina Zakayo Mbarikiwa na Khalfan Said hawa pombe yao ni alie juu[emoji23]
 
Tupo wengi asee, nikijitahidi san kuacha simaliz hata mwezi
 
Sasa hii story yako ya kilokole sisi wamwagilia moyo ndio unadhani utatushawishi tusimwagilie moyo!!? Tupa kureeeee
 
Sasa hii story yako ya kilokole sisi wamwagilia moyo ndio unadhani utatushawishi tusimwagilie moyo!!? Tupa kureeeee
Sijamshauri mtu aache pombe kwenye uzi wangu wala kuhukumu mtu, nimetoa habari kwa sababu hata mimi nilikua sijui kama Trump hanywi. Alafu si kila mtu hanywi sababu ni ulokole wengine wana sababu za kiafya na wengine ni maamuzi binafsi. Kama nimekukera pita left
 
Mpende au umchukie huyo ndiye Donald Trump!Basi,kuna watu wamezaliwa hivyo.The born-free.Angekuwa anapiga "kangala" tungeimba haleluiya![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…