Trump, Bilionea na Rais asiyeijua pombe

Trump, Bilionea na Rais asiyeijua pombe

Hata 50 Cent pia, amekulia mtaani na alianza kuuza hard drugs tangu akiwa mtoto lakini yeye mwenyewe maisha yake yote haujawahi kuvuta hata sigara. Sasa hivi anauza pombe lakini yeye mwenyewe hanywi. Watu wengine wamebarikiwa sana. To be honest, mimi binafsi uraibu umenichelewesha sana maisha haya.
The same to me, kinywaji kimenicost pakubwa sana
 
Ninamshauri apige Moja au mbili kwa afya. Kazi ya uongozi ni ngumu, jichangamshe kidogo ili uzidi kijichanganya na watu. Siasa ni watu na watu ni siasa.
 
Born again Christian wawapi ,anawatumia hao MAGA ambao wengi ni christian right-wingers na wengi ni racists KKK ,neonazis all of them claim to be white supremacist Christian protestants .
Trump ni mchafu wa tabia , zile scandals zake za kulala na makahaba akina Stormy Daniels ,shangingi na Kuwadi mkubwa kama Ghislaine Maxwell nk
Ukwepo kodi , racism , misogynism na kudhalilisha wanawake tena kuna moja amerekodiwa kabisa kwenye tape hapo white house akisema "who cares ,I always do anything on any woman ,I grab and rub them by their pussies "
What a shameful fool . Trump alikuwa ni disgrace Kwa whitehouse , Whitehouse haijawa kuwa na rais mpumbav ,ignorant na uncultured kama Trump
 
Wewe hangaikia umaskini wa familia yako

Kapuku km wewe unataka uwafundishe USA demokrasia [emoji16]
Born again Christian wawapi ,anawatumia hao MAGA ambao wengi ni christian right-wingers na wengi ni racists KKK ,neonazis all of them claim to be white supremacist Christian protestants .
Trump ni mchafu wa tabia , zile scandals zake za kulala na makahaba akina Stormy Daniels ,shangingi na Kuwadi mkubwa kama Ghislaine Maxwell nk
Ukwepo kodi , racism , misogynism na kudhalilisha wanawake tena kuna moja amerekodiwa kabisa kwenye tape hapo white house akisema "who cares ,I always do anything on any woman ,I grab and rub them by their pussies "
What a shameful fool . Trump alikuwa ni disgrace Kwa whitehouse , Whitehouse haijawa kuwa na rais mpumbav ,ignorant na uncultured kama Trump
 
Sasa kaka mtu wa mdogo wa Raisi anakueje na maisha magumu
Actually uraibu WA pombe WA huyo Fred Trump kaka yake na Trump ulisababishwa na baba yao na Trump , alikuwa ana mchumkia sana na kumistreat Fred na aliapa hata biashara atamrithisha Trump ,kama una muda soma hiki kitabu cha mtoto wa Fred Trump anayeitwa Mary Trump amedocument kila kitu humo cha visa baba yao alivyokuwa anafanyiwa
 

Attachments

  • Screenshot_20221202-181324.png
    Screenshot_20221202-181324.png
    102.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221202-181832.png
    Screenshot_20221202-181832.png
    147.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221202-181744.png
    Screenshot_20221202-181744.png
    73.3 KB · Views: 9
Ninamshauri apige Moja au mbili kwa afya. Kazi ya uongozi ni ngumu, jichangamshe kidogo ili uzidi kijichanganya na watu. Siasa ni watu na watu ni siasa.

Kweli kabisa, Inabidi apate speed ya kazi.
 
Safi sana Trump na 50 Cent..watu wengi wameingia kwenye huu uraibu wakati wa uteeneja kwa kufuata makundi na wanavyokuja kugundua kama walikosea kutoka inakuwa ngumu.
Najipongeza kwa kuwa kundi moja na Trump,50 Cent na wachache wengine..japo Jamii inatushangaa.
 
Safi sana Trump na 50 Cent..watu wengi wameingia kwenye huu uraibu wakati wa uteeneja kwa kufuata makundi na wanavyokuja kugundua kama walikosea kutoka inakuwa ngumu.
Najipongeza kwa kuwa kundi moja na Trump,50 Cent na wachache wengine..japo Jamii inatushangaa.
Hakuna anayekushangaa, wewe lewa nyuchi, wacha wengine tulewe pombe.
 
Safi sana Trump na 50 Cent..watu wengi wameingia kwenye huu uraibu wakati wa uteeneja kwa kufuata makundi na wanavyokuja kugundua kama walikosea kutoka inakuwa ngumu.
Najipongeza kwa kuwa kundi moja na Trump,50 Cent na wachache wengine..japo Jamii inatushangaa.
Inabidi na nyinyi muwekwe na serikali Kwny zile special groups/makundi maalum yaani(Wanawake, watoto, wazee,walemavu).
 
Msipende kuendeshwa cha msingi tumia vizuri akili na control yako kama unaingiza laki kwa siku kuna shida gan ukilewa kila weekend tu laki moja.elon musk anautajili wa tilion 150 donald trump ana tilion 7 .ila elon musk ni mlevi mbwa na ni maarufu kwa kuvuta bangi hadharani
 
Back
Top Bottom