Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanahangaika sana utafikiri wanampigia kura Trump [emoji23][emoji23][emoji106]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent using My COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanahangaika sana utafikiri wanampigia kura Trump [emoji23][emoji23][emoji106]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Naona umetetea kwa nguvu zote us
Ingawa China ni ya pili duniani kwa nguvu ya bahari lakini umewafanya kama jeshi la kwetu tu
Kama unachambua unaacha upendo pembeni na kuandika pande zote
Mimi sio mpenzi wa pande zote bali napendelea sana kufuatilia na kuona ubabe wao hawa mahasimu
Na sisi tunaweza kutengeneza gobole tu na mapanga
Sisi tunasoma tu wanachotambiana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mwanzo ulitulisha matango pori kuhusu china. Wewe ndo umeandika kiushabiki aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app