Trump kuendelea kuisapoti Ukraine katika mapambano yake dhidi ya urusi

Trump kuendelea kuisapoti Ukraine katika mapambano yake dhidi ya urusi

Na atufafanulie kuhusu majeshi ya NATO lini yalianza kuingia porini kupigana na mrusi, mana urusi hadi leo anasema NATO wakiingia yeye atashambulia kwa nuclear
Hawa pro Russia wabish sana alafu waongo mno , Russia apigane na mataifa 30 mavi yake labda Russia wa tandale au wa kwenye genuinely
 
Mayahudi hawaaminiki, yaliyomo katika vufua vyao ni tofauti sana na wanayoongea mdomoni, dini yetu ya kiislam imefahamisha hivyo kwa hawa jamaa. US walipokomea mtu akishashika madaraka kuna njia lazima apite
Serikali ya marekani inaongozwa na mayahudi kwa asilimia kubwa, kwa hiyo ndo wenye kauli haswaa,
 
Kwa sasa inabidi tu ampe sapoti Ukraine maana tayari keshawekeza vyakutosha
 
Ingekuwa ni hivyo russia saivi kungekuwa na vumbi tupu, Ukraine anapewa silaha tu mkuu
Mbona watalaban hawajawa vumbi?

Yes, NATO was involved in Afghanistan for nearly two decades, from 2001 to 2021:
 
Habari ya udaku.
Lkn hata kama ni kweli sioni nyie mnachofurahia,
Mimi sipendi vita iendelee kwa sababu Kuna watu wanateseka.
Lkn hata kama akiendelea kuisapoti haitabadilisha kitu chochote,zaidi tutaelekea kwenye vita Kubwa sana.
Urusi inaongeza matumizi ya nguvu kulingana na NATO wanvyoongeza misaada.
Ukraine itateketea kwa sababu ya kukubali kutumika.
 
Korea Kaskazini anaisaidia Urusi kupigana na Ukraine huko Kursk
Baada ya kuujua uwezo wako wa kufikiri na kupambanua mambo siku hizi nimepunguza kujadiliana na wewe.
Wewe endelea TU kujifariji.
 
Ingekuwa ni hivyo russia saivi kungekuwa na vumbi tupu, Ukraine anapewa silaha tu mkuu
Achana na hawa pro Russia maana mwanzon walisema wanapigana na Dunia unajua bausa akikupiga ngumi lazma useme amekupiga na jiwe 😅😅😅😅😅😅😅
 
Pro UkraiNATO wanaumia sana kuona Urusi peke yake inakabiliana na nchi zote za NATO halafu Urusi haiteteleki.
Wanatumia Kila sababu kupinga hoja hii.
Lakini wanashindwa kupinga ikiwa Afghanistan NATO walishindwa na watalaban TU,Leo watamuweza mbabe wa vita Russia.?

NATO and Afghanistan
Last updated: 31 Aug. 2022 17:09
EnglishDariFrenchPashtoRussianUkrainian
For nearly 20 years, NATO Allies and partner countries had military forces deployed to Afghanistan under a United Nations (UN) Security Council mandate. NATO Allies went into Afghanistan after the 9/11 terrorist attacks on the United States.

*************
How many NATO countries are helping Ukraine?
Countries delivering military aid to Ukraine

The aid has mostly been co-ordinated through the Ukraine Defense Contact Group, whose 57 member countries include all 32 member states of NATO. The European Union co-ordinated weapons supplies through its institutions for the first time.
 
Korea Kaskazini anaisaidia Urusi kupigana na Ukraine huko Kursk
How many NATO countries are helping Ukraine?
Countries delivering military aid to Ukraine

The aid has mostly been co-ordinated through the Ukraine Defense Contact Group, whose 57 member countries include all 32 member states of NATO. The European Union co-ordinated weapons supplies through its institutions for the first time.
 
Time will tell. NATO ilishapoteza Ukreni kitambo sana tangu walipoamua kuingia vitani na Putin. Hilo shika kabisa, usisahau.

Russia inamiliki 25% ya ardhi ya Ukreni. Hapo vipi?
Gharama yake unaijua? Ameshindwa kuwalinda washirika wake.!! Ref. Syria
Yaani unabana mdomoni unaachia anal pore.
 
Mayahudi hawaaminiki, yaliyomo katika vufua vyao ni tofauti sana na wanayoongea mdomoni, dini yetu ya kiislam imefahamisha hivyo kwa hawa jamaa. US walipokomea mtu akishashika madaraka kuna njia lazima apite
Yes hata mtume aliuwawa na binti wa kiyahudi. Mtume alikuwa na kawaida ya kupenda wanawake na kuoaioa. Alioa wanawake zaidi ya 10. Alepoea binti wa kiyahudi yule binti alimwekea sumu mtume na kisha mtume akaugua then akafa. Kabla ya kufa alipomuuliza binti wa kiyahudi sababu ya kumuwekea sumu akamjibu ''kuwa umeua sana ndugu zangu wa kiyahud''. Kwa sababu katika uislrmu kisasi ni halali basi mtume akafa zake. Wrkristo wamepewa mamlaka ya kukanyaga nge 🦂 na nyoka. Wameambiwa kura watakula vitu vya kufisha nao hawatakufa.
 
Trump akiamua kuisapoti Ukraine itakuwa mbaya sana kwa urusi
Hapa kp kipanya44 unasemaje?? Hii ni jana!

Trump suggests Zelensky consider ceding territories – El Pais​


US President-elect Donald Trump has sent a message to Ukrainian leader Vladimir Zelensky, asking him to start thinking about a ceasefire and to abandon the territories that are currently under control of Russia, El Pais reported on Sunday.

22 Dec, 2024 16:07


 
Back
Top Bottom