Kuna bidhaa marekni hauweiz kuzalisha maana ni maumivu kwenye solo amna atakayeweza kununua ..uchum wa usa sio wa uzalishaji bali ni wa huduma zaidi kwa hiyo sio rahis hivyo eti marekan atareplace soon hilo gapHujui uanchomaanisha.....soko namba 1 la Mchina ni Marekani. Marekani akizuia bidhaa za CHINA atakayeumia ni Mchina na sio MAREKANI....ukikosa soko ni moja kwa moja uzalishaji unakufa. Kwa marekani uzalishaji utaongezeka ili kufidia bidhaa zilizokuwa zinaingizwa tokea Uchina hivyo ni fursa nzauri kwano
Apple ikazalishwa marekani huku kwetu utauziwa 7.2m utaweza kununuaKampuni ya Apple walihamishia viwanda vyao Marekani 2019, waliofaidika ni wamarekani walioajiriwa, Wamarekani kuongeza vipato, US kuongezaukusanyaji wa kodi husika, n.k.
Apple says it will keep making the Mac Pro in Texas after reports suggested it was shifting production to China
Apple has confirmed that its 2019 Mac Pro will be made in Texas, after reports suggested it was moving production to China.www.businessinsider.com
Umeona umechangia kitu cha maana sana sioKaka bila Marekani hamna China, zaidi ya $700+ Billion ya mapato ya China yanatoka US na anajua hilo! So ni muda wa kujitenga nao, ukipigwa 100% tariff ni kwamba hamna bidhaa yake itauzika tena US na Jinping hatokubali hili kwa namna yoyote.
BRICS ilichokosea ni kwamba imekaa ili kuua dollar sio kwa maendeleo yake, yani ni kikao cha wachawi! Ukianza vikao vya kuua wengine ni kwamba umefeli at the 1st place, maana unayetaka kumuua hatakaa kukusubiri ufanye yako bila kujilinda kwa nguvu kubwa kuliko yako! Sasa Marekani kashikilia mpini unamuuaje?
Wala! Changia wewe cha maana mambo yasiwe mengi kijana!Umeona umechangia kitu cha maana sana sio
Si ukakae kwa kutulia sasa,sio kutujazia inshaa hukuWala! Changia wewe cha maana mambo yasiwe mengi kijana!
Kwani umeitwa? Acha kujipendekeza kwa wanaume kuna maelfu ya post kachangie unapoona hamna inshaSi ukakae kwa kutulia sasa,sio kutujazia inshaa huku
Na kwa afya uchumi wa nchi yoyoye lazima kuwe na option kulingana na vipata vya watu ukilazimisha hivyo manunguniko kww wananchi hayatakulets salamaKwani mpaka wanakuja kuagiza hizo bidhaa kwenye nchi zingine hizo bidhaa za ndani hazikuwepo au walikuwa hawazioni?
Viwanda vya nchini Marekani vina jiendesha kwa gharama kubwa sana hivyo kufanya bidhaa zao kuwa juu pia, ndio maana raia wa Marekani wanakimbilia kununua bidhaa za nchi nyingine.
Ni sawa na sisi hapa sukari ya kiwango cha juu kutoka Brazil ina uzwa kwa 1800 wakati sukari isiyo kuwa na ubora kutoka mtibwa inauzwa 3500 hicho ndo kitakacho wakuta wamarekani.