Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

We piga bismilahi tu ukale alkasusu haya mambo yaache tu, dola haitaanguka kwa rakaa!
Umeanza upumbavu huu utoto wa kukebehi dini za watu humu Moderator wanaulea sana sijui wana ufurahia zinapoguswa dini zisizo zao ? Sielewi

Haiwezekani anayejadiliwa Trump mpuuzi mmoja analeta hoja za kukebehi dini za wengine.
 
Umeanza upumbavu huu utoto wa kukebehi dini za watu humu Moderator wanaulea sana sijui wana ufurahia zinapoguswa dini zisizo zao ? Sielewi

Haiwezekani anayejadiliwa Trump mpuuzi mmoja analeta hoja za kukebehi dini za wengine.
Ufahamu wako finyu sana anyway, bismilah = naanza (kiarabu) ni term tu kama kimakua na kihabeshi, alkasusu ni kinywaji kama chocolate na kahawa, hapo dini iko wapi kama sio kukariri uchafu na kukosa ufahamu wa mambo, elimu sasa ipo kiganjani kwa nini hamjielimishi vijana?? Kizazi cha hasara sana hiki
 
Hujui màana ya kupandisha ushur mkuu, maana yake bidhaa za ndani zitapewa kipaumbele na kuangalia soko nafuu zaidi. Kumbuka bidhaa anazozalisha china kupeleka Marekani siyo kwamba Marekani hazipo ndiyo maana umeambiwa na Mr Trump 'wonderful economy ' Sasa unahisi wamarekani Wana njaa? Kwa ufupi ni kwamba iwapo US itapandisha Kodi kwa bidhaa za china itabidi makampuni ya wamarekani yenye viwanda china kwa sababu ya cheap labours yatabidi yawe reallocated US ili kujiendesha kwa faida. Na hii itapelekea china kuanguka kiuchumi kwa raia wake kukosa ajira na serikali kukosa mapato ya mauzo. Trump akili kubwa yule Mzee.
Mimi nachojua Mtaji wa USA ndo unaendesha viwanda China,hayo mengine siyajui.
 
Tangu 2018 Trump ameanza kupambana na China kwenye trade war, sanctions, tariffs, decoupling na derisking

Hakuna hata kimoja alichofanikiwa nashangaa wanaozisifu hizo ngonjera zake.

Wachina walishampuuza kitambo
Wanaoisifu marekani si wamekariri ila uliwaam
Tangu 2018 Trump ameanza kupambana na China kwenye trade war, sanctions, tariffs, decoupling na derisking

Hakuna hata kimoja alichofanikiwa nashangaa wanaozisifu hizo ngonjera zake.

Wachina walishampuuza kitambo
Wamekariri ama kukaririshwa ila data na facts hawana ukiwaambia walete data wanatoka mbio mwaka 2018 wakulima wa marekani walilia lia sana vikwazo aliikewa China ila anaelialia mlima Mboga Mboga wa us hapa tunawaongelea wale wakulima wakubwa wa huko us ila wamarekani wa hapa jf hawalijui ama hawataki kusikia hili
 
China ni gaidi wa uchumi,yeye kazi yake ni kukusanya tuu hakuna jingine.Hawajui hata kuchangia maafa wao ni kukusanya na kuuza tuu,kwanini Hawa watu Wana roho mbaya hivi,ilikuwaje wakakua hivi na huku Japan ikipotea kiasi hiki,India nao ni walewale wanajua kukamua tuu
Wamekua sababu wanatumia akili zao vyema
 
China ni gaidi wa uchumi,yeye kazi yake ni kukusanya tuu hakuna jingine.Hawajui hata kuchangia maafa wao ni kukusanya na kuuza tuu,kwanini Hawa watu Wana roho mbaya hivi,ilikuwaje wakakua hivi na huku Japan ikipotea kiasi hiki,India nao ni walewale wanajua kukamua tuu
Ulitaka China aje anunulie maji ya kunywa watu wako kariakoo ? Huku serikali yako ikinunulia simba na yanga magoli ? Zimo wewe

Mnashindwa kujenga nchi zenu mnasubiri China na India waje wawajengea, akili zimo kweli ?

Muwe na kundi kubwa la watu wenye akili kama zako unafikiri kuna kuendelea kweli ? Haishangazi kuona hii nchi haiendelei kama vichwa vilivyo jaa ndio hivi
 
Exactly na matokeo yake products za China zitakua expensive kuliko za ndani au nchi zingine, so wanunuzi watanunua za wapi?? Common sense tu wala sio majazba, imani au uchawi - typical business
Unafikiri mambo ni rahisi hivyo kasome kwanza comment # 53

Hata afanye nini bado supply chain ya Marekani haina uwezo wa kutengeneza bidhaa zote inayo-import kutoka China at lower cost

Na kuna bidhaa za China hata zikiongezewa tariffs hadi 100% bado zitakuwa cheaper tofauti na za Marekani

Kuna bidhaa Marekani ataimport kutoka mataifa mengine ila zitaingia kama 3rd party kutoka China

Manufacturing ecosystem, supply chain na skilled personnel bado ni changamoto nyingine kubwa Marekani haiko full package kama ya Mchina

Kosa kubwa alilofanya Marekani ni kuufanya uchumi wake utegemee hasa service sector huku manufacturing sector ikidorora. Na kuinyanyua manufacturing industry mzee sio an overnight process

Marekani alitakiwa ajitoe (decoupling) kwa China miaka 30 iliyopita kwa sasa ni too late achana na maneno ya wanasiasa kama Trump hiyo ni kuwahadaa tu wapiga kura wake.

Ila U.S chamber of commerce, Federal Reserve, U.S dept of treasury wanafahamu hilo kwamba Trump anabwabwaja tu hakuna atakachofanikiwa


 
Mimi nachojua Mtaji wa USA ndo unaendesha viwanda China,hayo mengine siyajui.
Exactly, interconnection ya China na US ipo ndani sana juu ya vikao vya Brics na India pia so most likely wakipigwa na hiyo 100% tarrifs watavurugana ukiacha na intelligence inayoendelea
 
Acha kukalili mpaka mwaka 1990 Marekani alikuwa ana miliki zaidi ya nusu zima ya uchumi wa dunia lakini mpaka wakati huu mwaka 2024 Marekani ameshushwa na kwa sasa anamiliki %17 tu ya uchumi wa dunia.
🤔🤔 Siyo 26% kweli
 
Hiyo ndio asilimia 90% kuna vichaa wengi sana humu.

Kwa akili yako China anafanya biashara na marekani pekee.

Hata trade partner mkubwa wa China sio marekani
Muongo mkubwa wewe
 

Attachments

  • Screenshot_20241201-085345.png
    Screenshot_20241201-085345.png
    444.5 KB · Views: 4
Kaka bila Marekani hamna China, zaidi ya $700+ Billion ya mapato ya China yanatoka US na anajua hilo! So ni muda wa kujitenga nao, ukipigwa 100% tariff ni kwamba hamna bidhaa yake itauzika tena US na Jinping hatokubali hili kwa namna yoyote.

BRICS ilichokosea ni kwamba imekaa ili kuua dollar sio kwa maendeleo yake, yani ni kikao cha wachawi! Ukianza vikao vya kuua wengine ni kwamba umefeli at the 1st place, maana unayetaka kumuua hatakaa kukusubiri ufanye yako bila kujilinda kwa nguvu kubwa kuliko yako! Sasa Marekani kashikilia mpini unamuuaje?
Waambie wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi. Wao wanadhani hizi ''takataka'' za mchina zinazokuja Afrika ndizo zinakuza uchumi wa China. Soko la mchini liko kwenye mataifa yaliyoendelea na wakiamua kumkomesha wanaweza.
 
Back
Top Bottom