Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Umeanza upumbavu huu utoto wa kukebehi dini za watu humu Moderator wanaulea sana sijui wana ufurahia zinapoguswa dini zisizo zao ? SielewiWe piga bismilahi tu ukale alkasusu haya mambo yaache tu, dola haitaanguka kwa rakaa!
Haiwezekani anayejadiliwa Trump mpuuzi mmoja analeta hoja za kukebehi dini za wengine.