Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

Kaka bila Marekani hamna China, zaidi ya $700+ Billion ya mapato ya China yanatoka US na anajua hilo! So ni muda wa kujitenga nao, ukipigwa 100% tariff ni kwamba hamna bidhaa yake itauzika tena US na Jinping hatokubali hili kwa namna yoyote.

BRICS ilichokosea ni kwamba imekaa ili kuua dollar sio kwa maendeleo yake, yani ni kikao cha wachawi! Ukianza vikao vya kuua wengine ni kwamba umefeli at the 1st place, maana unayetaka kumuua hatakaa kukusubiri ufanye yako bila kujilinda kwa nguvu kubwa kuliko yako! Sasa Marekani kashikilia mpini unamuuaje?
BRICS ni upuuzi ulioshindwa kabla ya kuanza. Nchi za Africa zilizokimbilia BRICS hata hazikuwa zinaelewa BRICS ni nini, zenyewe zilijua ni shirika jipya la kutoa misaada😀
 
30 October 2024

Tanzania inaweza kuwa kitovu cha biashara kwa bidhaa za Urusi kuingia katika soko la Afrika - waziri Maxim Reshetnikov​


DAR ES SALAAM. Oktoba 29 (Interfax) - Nafasi nzuri ya Tanzania kwenye ufuo wa Bahari ya Hindi inairuhusu kuwa sehemu moja ya bidhaa za Urusi kuingia katika soko la Afrika na kuendeleza ukanda wa usafirishaji wa Kaskazini-Kusini, Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Urusi Maxim Reshetnikov alisema katika mkutano huo. Jukwaa la biashara kati ya Urusi na Tanzania Jumanne.
View attachment 3166304

Jukwaa hilo ni sehemu ya makubaliano na maazimio yaliyoongelewa wakati wa ziara rasmi ya ujumbe wa Urusi nchini Tanzania kwa mkutano wa kwanza wa tume ya ushirikiano wa serikali mbili.

"Tumeainisha vipaumbele vya kimkakati. Kwanza, vifaa. Nafasi nzuri ya kijiografia ya Tanzania kwenye pwani ya Bahari ya Hindi na kuunganishwa na nchi zingine za Afrika inafungua fursa kubwa kwa Urusi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaweza kuwa sehemu moja kuu yaani kitovu cha biashara za bidhaa zetu za Urusi kuingia ndani ya bara la Afrika na kuendeleza ukanda wa uchukuzi wa Kaskazini-Kusini Kwa upande wake, huku pia nchi yetu inaweza kuipatia Tanzania fursa ya soko la Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia," Reshetnikov alisema.

Ushirikiano wa nishati una uwezo mkubwa, alisema. "Hii ni pamoja na matumizi ya amani ya nishati ya atomiki, ujenzi wa vifaa vya nishati mbadala, na uchimbaji wa rasilimali za madini," Reshetnikov alisema.

"Kilimo, dawa, uchumi wa kidijitali, mazingira ya mijini na, kwa hakika, utalii ndio jambo linalozingatiwa. Tuko tayari kujadili yote hayo na kutatua matatizo ya makazi na mawasiliano kati ya benki katika nchi zetu kwa pamoja," alisema.

Urusi pia inavutiwa na miradi ya pamoja ya kijamii, ikijumuisha ile ya elimu, sayansi na afya, Reshetnikov alisema.
Bidhaa za Urusi kwetu ni Vodka na Baltica.
 
Ulitaka China aje anunulie maji ya kunywa watu wako kariakoo ? Huku serikali yako ikinunulia simba na yanga magoli ? Zimo wewe

Mnashindwa kujenga nchi zenu mnasubiri China na India waje wawajengea, akili zimo kweli ?

Muwe na kundi kubwa la watu wenye akili kama zako unafikiri kuna kuendelea kweli ? Haishangazi kuona hii nchi haiendelei kama vichwa vilivyo jaa ndio hivi
Una hoja tena nzuri sana. Watanzania hatujitambui na hatujui sisi wenyewe ndiyo wa kuijenga Tanzania.
 
BRICS ni upuuzi ulioshindwa kabla ya kuanza. Nchi za Africa zilizokimbilia BRICS hata hazikuwa zinaelewa BRICS ni nini, zenyewe zilijua ni shirika jipya la kutoa misaada😀
Wewe uliyopo huko Liwale unasema BRICS ni upuuzi ila Trump ambaye ndiye Rais ajaye wa US anaihofia BRICS na kuanza kuweka vimikwala,

Una uhakika kua akili zako unazo kichwani au umeziweka kwenye mfuko wa shati?
 
Mchina hathubutu kamwe.
Juzi hapa wamekuwa rejected Visa kwenda kufanya maonyesho ya Magari ya ueme California, wanahaha ile mbaya, serikali inabembeleza wakae ili walitafutie ufumbuzi hilo swala
Trump huyu anayetaka kuweka tariff asimilia 60% mpaka 100% kwa EVs za China akikutana na maoni yako aka translate atasema hakika Tanzania imejaza mbumbumbu.
 
Labda watu wamekuwa wajinga kupindukia au uwezo wangu wa kufikiria umeporomoka beyond reasonable doubts.

Marekani ni nchi iliyoendelea, hivyo ni nchi yenye viwanda vya karibia kila bidhaa wao wanaitengeneza. Hili linamfanya USA kuhitaji raw materials nyingi kuliko finished products ili aweze kuvisustain viwanda vyake. Juu ya yote, hakuna bidhaa inayoongaza kuuzwa na Marekani kama shilingi yake.

BRICS inataka kuanza kuuza bidhaa zao kwa shilingi zao, sio tena dollar. Mfano, vitu vyote China anavyoviuza nje, basi analipwa kwa dollar, vyote anavyonunua alinapa kwa dollar. Ina maana biashara zote za mchina malipo yake ni dollar. Kama mchina akiamua kuanza kuuza bidhaa zake kwa yuan, inamaanisha nchi zote duniani zitakazotaka kufanya biashara n mchina itabidi zinunue Chinese yuan kwanza, ndio zikanunue bidhaa za kichina.

Ukizingatia mchina anafanya biashara na takriban Dunia nzima, basi Dunia nzima itabidi inunue pesa ya mchina*yuan kwanza badala ya dola ndio iendeleze biashara n mchina. Hili litainufaisha China kuliko maelezo, maana bidhaa yake kuu itakuwa ni pesa ya China, ndio bidhaa nyingine zifuate.

USA n mchina hakuna anayemtegemea mwenzie 100%, Ina wote wanategemeana, haswa USA anamtegemea mchina zaidi. ¹Anahitaji mchina auze na anunue kutumia dola, ² analihitaji soko la kichina linunue bidhaa zake ghali na ³anahitaji mchina amuuzie malighafi ili viwanda vyake visife. Mchina analihitaji soko la bwanyenye la usa tu ili aweze kuziuza bidhaa zake USA.

Hapo nimemtumia mchina kama mfano. Ila kumbukeni tunaiongelea brics nzima. USA inaihitaji brics kuliko brics inavyomhitaji. Maana dhumuni kuu la kuundwa kwa brics ni kuunda soko kubwa (nchi wanachama zitegemeane kimasoko) ili ziweze kulipotezea soko la USA.

Kwa sasa USA ananunua gesi n mafuta ya mrusi kwa rubbles. Na huu ni mwanzo tu, sasa itakuwa brics nzima. Hii nchi zitaendelea n kupiga hatua bila ya USA kuliko hata alipokuwepo. USA amewapa soko la Bure, ila anawanyonya kupita maelezo. Kama mnavyojua, mfa maji haishi kutapatapa. Hivyo USA anguko lake sasa rasmi limefika. Potelea mbali *****, skuizi watu sio washenzi kama zamani. Putin ndio anguko la USA rasmi. Ndio maana USA yupo tayari kutumia matrilioni ya dola za kimarekani kumuondoa putin kwenye uso wa Dunia lakini hawezi. Juu ya yote, kumbukeni kauli mbiu ya brics ni kuzisaidia nchi wanachama kukuwa kiuchumi na sio kuendelea kumsaidia USA aendelee kuwa tajiri hasi duniani. Aishi maisha marefu putin, Aishi maisha marefu putin. Tunaihitaji Dunia bila mashoga.
 
30 October 2024

Tanzania inaweza kuwa kitovu cha biashara kwa bidhaa za Urusi kuingia katika soko la Afrika - waziri Maxim Reshetnikov​


DAR ES SALAAM. Oktoba 29 (Interfax) - Nafasi nzuri ya Tanzania kwenye ufuo wa Bahari ya Hindi inairuhusu kuwa sehemu moja ya bidhaa za Urusi kuingia katika soko la Afrika na kuendeleza ukanda wa usafirishaji wa Kaskazini-Kusini, Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Urusi Maxim Reshetnikov alisema katika mkutano huo. Jukwaa la biashara kati ya Urusi na Tanzania Jumanne.
View attachment 3166304

Jukwaa hilo ni sehemu ya makubaliano na maazimio yaliyoongelewa wakati wa ziara rasmi ya ujumbe wa Urusi nchini Tanzania kwa mkutano wa kwanza wa tume ya ushirikiano wa serikali mbili.

"Tumeainisha vipaumbele vya kimkakati. Kwanza, vifaa. Nafasi nzuri ya kijiografia ya Tanzania kwenye pwani ya Bahari ya Hindi na kuunganishwa na nchi zingine za Afrika inafungua fursa kubwa kwa Urusi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaweza kuwa sehemu moja kuu yaani kitovu cha biashara za bidhaa zetu za Urusi kuingia ndani ya bara la Afrika na kuendeleza ukanda wa uchukuzi wa Kaskazini-Kusini Kwa upande wake, huku pia nchi yetu inaweza kuipatia Tanzania fursa ya soko la Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia," Reshetnikov alisema.

Ushirikiano wa nishati una uwezo mkubwa, alisema. "Hii ni pamoja na matumizi ya amani ya nishati ya atomiki, ujenzi wa vifaa vya nishati mbadala, na uchimbaji wa rasilimali za madini," Reshetnikov alisema.

"Kilimo, dawa, uchumi wa kidijitali, mazingira ya mijini na, kwa hakika, utalii ndio jambo linalozingatiwa. Tuko tayari kujadili yote hayo na kutatua matatizo ya makazi na mawasiliano kati ya benki katika nchi zetu kwa pamoja," alisema.

Urusi pia inavutiwa na miradi ya pamoja ya kijamii, ikijumuisha ile ya elimu, sayansi na afya, Reshetnikov alisema.
Bidhaa za Urusi ni kama nini vile? Zamani kulikuwa na taxi zinazoitwa Lada. Labda watuletee malori ya Kamaz au mafuta.
 
Article nyingine ni za kusoma kwa kutumia ufahamu mpana na references nyingi huku ukiangalia hali halisi. Ki-uhalisia kipindi hicho cha Trump hatukushuhudia USA ikiumia ki-uchumi kwa sababu ya trade war. Google wakati mwingine inaweza kukupotosha kama hujui ni nini unafanya.
 
Waambie wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi. Wao wanadhani hizi ''takataka'' za mchina zinazokuja Afrika ndizo zinakuza uchumi wa China. Soko la mchini liko kwenye mataifa yaliyoendelea na wakiamua kumkomesha wanaweza.
Nataka kuona wakimkomesha sasa hivi maana maslahi yao na ukubwa wao upo mashakani sababu ni China.

Na anashirikiana na maadui zao wote tena bila kificho sio Russia sio Iran sio North Korea hawa ni marafiki zake wakubwa

Nataka kuona actions zao
 
Hizo ni beats tu kama zile za Dr.Dre....Mipango ya Brics iko pale pale tena Trump asivyoipenda China ndio muda mzuri wa China kumkomoa
ALIWAHI kumpiga biti Emanuel Macron wa ufaransa ambae alijaribu kuongezea ushuru kwa bidhaa za US zinazoinhis france...alimpa warning kwa kumpigia simu kwamba anapandisha ushuru kwa 100% na anafanya kwel...Macron alinyanyua mikono juu na kufanya kama Trump anavyosema .. Trump atafanya hivyo na mchina ambae soko lake kubwa ni America atanyoosha mikono juu. Hata muhindi ambae ni rafiki mkubwa wa marekani atasimama nae.... BRICS wataanzisha sarafu Yao sawa lkn hawataacha dollar na hawataipiki dollar..na Kila biashara huko America watafanya kwa dollar...ilianzishwa Euro kwani imeifanya nini dollar??
 
Labda watu wamekuwa wajinga kupindukia au uwezo wangu wa kufikiria umeporomoka beyond reasonable doubts.

Marekani ni nchi iliyoendelea, hivyo ni nchi yenye viwanda vya karibia kila bidhaa wao wanaitengeneza. Hili linamfanya USA kuhitaji raw materials nyingi kuliko finished products ili aweze kuvisustain viwanda vyake. Juu ya yote, hakuna bidhaa inayoongaza kuuzwa na Marekani kama shilingi yake.

BRICS inataka kuanza kuuza bidhaa zao kwa shilingi zao, sio tena dollar. Mfano, vitu vyote China anavyoviuza nje, basi analipwa kwa dollar, vyote anavyonunua alinapa kwa dollar. Ina maana biashara zote za mchina malipo yake ni dollar. Kama mchina akiamua kuanza kuuza bidhaa zake kwa yuan, inamaanisha nchi zote duniani zitakazotaka kufanya biashara n mchina itabidi zinunue Chinese yuan kwanza, ndio zikanunue bidhaa za kichina.

Ukizingatia mchina anafanya biashara na takriban Dunia nzima, basi Dunia nzima itabidi inunue pesa ya mchina*yuan kwanza badala ya dola ndio iendeleze biashara n mchina. Hili litainufaisha China kuliko maelezo, maana bidhaa yake kuu itakuwa ni pesa ya China, ndio bidhaa nyingine zifuate.

USA n mchina hakuna anayemtegemea mwenzie 100%, Ina wote wanategemeana, haswa USA anamtegemea mchina zaidi. ¹Anahitaji mchina auze na anunue kutumia dola, ² analihitaji soko la kichina linunue bidhaa zake ghali na ³anahitaji mchina amuuzie malighafi ili viwanda vyake visife. Mchina analihitaji soko la bwanyenye la usa tu ili aweze kuziuza bidhaa zake USA.

Hapo nimemtumia mchina kama mfano. Ila kumbukeni tunaiongelea brics nzima. USA inaihitaji brics kuliko brics inavyomhitaji. Maana dhumuni kuu la kuundwa kwa brics ni kuunda soko kubwa (nchi wanachama zitegemeane kimasoko) ili ziweze kulipotezea soko la USA.

Kwa sasa USA ananunua gesi n mafuta ya mrusi kwa rubbles. Na huu ni mwanzo tu, sasa itakuwa brics nzima. Hii nchi zitaendelea n kupiga hatua bila ya USA kuliko hata alipokuwepo. USA amewapa soko la Bure, ila anawanyonya kupita maelezo. Kama mnavyojua, mfa maji haishi kutapatapa. Hivyo USA anguko lake sasa rasmi limefika. Potelea mbali *****, skuizi watu sio washenzi kama zamani. Putin ndio anguko la USA rasmi. Ndio maana USA yupo tayari kutumia matrilioni ya dola za kimarekani kumuondoa putin kwenye uso wa Dunia lakini hawezi. Juu ya yote, kumbukeni kauli mbiu ya brics ni kuzisaidia nchi wanachama kukuwa kiuchumi na sio kuendelea kumsaidia USA aendelee kuwa tajiri hasi duniani. Aishi maisha marefu putin, Aishi maisha marefu putin. Tunaihitaji Dunia bila mashoga.
Analysis yako ni ya kipori-pori kweli kweli. Kwa nini sasa China halazimishi hiyo yuan yake itumike kama ulivyosema? Jibu ni kuwa biashara ya duania haiko rahisi kama unavyodhani wewe.
 
Article nyingine ni za kusoma kwa kutumia ufahamu mpana na references nyingi huku ukiangalia hali halisi. Ki-uhalisia kipindi hicho cha Trump hatukushuhudia USA ikiumia ki-uchumi kwa sababu ya trade war. Google wakati mwingine inaweza kukupotosha kama hujui ni nini unafanya.
Twende article kwa article acha mpempelele nyingi
 
ALIWAHI kumpiga biti Emanuel Macron wa ufaransa ambae alijaribu kuongezea ushuru kwa bidhaa za US zinazoinhis france...alimpa warning kwa kumpigia simu kwamba anapandisha ushuru kwa 100% na anafanya kwel...Macron alinyanyua mikono juu na kufanya kama Trump anavyosema .. Trump atafanya hivyo na mchina ambae soko lake kubwa ni America atanyoosha mikono juu. Hata muhindi ambae ni rafiki mkubwa wa marekani atasimama nae.... BRICS wataanzisha sarafu Yao sawa lkn hawataacha dollar na hawataipiki dollar..na Kila biashara huko America watafanya kwa dollar...ilianzishwa Euro kwani imeifanya nini dollar??
Kosa kubwa ni kufananisha mbwa za marekani ulaya[ mataifa ya ulaya ] na China ongeza Russia,Iran,North Korea

Mbwa za ulaya haziwezi kumng'ata boss wao vijitaifa hadi ulinzi wao wenyewe wa nchi zao na bara lao vinategemea uwepo wa U.S.A ndio unaviweka sahani moja na China.
 
Tunasema kila siku dollar imeumbwa na kujengwa kwa nguvu na fitna na ubabe, na hamna wa kuishusha bila kuadhirika yeye! Mchina hawezi kwa namna yoyote kupoteza soko la Marekani! Na hamna US haitokubali kwa namna yoyote kupoteza ukaka mkubwa! Ilijaribu Euro ikafa kifo cha kawaida sembuse hizi nchi zenye umri usiozidi miaka 100? Yetu macho, wahafidhina wa Urusi na washabiki wa vita povu ruksa.
Mabara yote sasahivi yanafuata bidhaa china. Trump ameshachelewa sana
 
Back
Top Bottom