Trump ni noma ep 1, aliwachimba mkwara Taliban hakuna Mmarekani aliguswa kwa miezi 18, Biden alipoingia waliua, kupora silaha na kupindua serikali

Trump ni noma ep 1, aliwachimba mkwara Taliban hakuna Mmarekani aliguswa kwa miezi 18, Biden alipoingia waliua, kupora silaha na kupindua serikali

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760


Kipindi Trump akiwa Madarakani aliona Marekani haina sababu ya jeshi kuendelea kubaki Afghanistan, kama ni kushinda vita walishashinda kwa kuichomoa serikali ya Taliban, hakukuwa na sababu ya kuendelea kubaki.

Trump alimchimba mkwara kiongozi wa Taliban wakiwa kwenye kikao alimpa karatasi inaonyesha sehemu familia yake inaishi, Akaondoka kwenye kikaoni bila kuongea cha ziada, kwa miezi 18 mfululizo mpaka anapoachia ngazi, Taliban hawakuthubutu kuua wala kumgusa mwanajeshi wa Marekani"

Taratibu zilianza za kuliondoa jeshi kwa heshima (Leaving with honor) kuwaachia wa Afghanistan nchi yao wajiongoze kwa serikali iliyokuwepo, Walibaki wanajesi wamarekani wachache wanaokamilisha mambo ya kurudisha silaha Marekani, kuziharibu, n.k.

Biden kaingia Madarakani mipango yote ya kuondoka kwa heshia ikavurugika, Taliban ilimuona Biden ni kama mdori walianza kuua wanajeshi wamarekani na Afghanistan, kupora silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 80, Wote tuliweza kuona jeshi la Marekani lilivyofurushwa kwa aibu.

Kulikuwa na makubaliano ya Taliban waweze kuzungumza na Serikali ya Afghanistan kuhusu namna bora ya kugawana power kwenye uongozi wa Afghanistan lakini Biden alipoingia hawakuona umuhimu, walipindua serikali yote.


Trump ni chuma kinachohitajika kurudi white house sio hawa kina Biden na Kamala.
 
huu mkasa ni ngumu kuusikia kwasababu Cnn, Al Jazeera, BBC vinamilikiwa zaidi na wapinzani, ni ngumu kutangaza habari nzuri za mwamba (kina millard ayo wanachukulia habari kwenye hizo media)
 
Media nyingi za Marekani zimekuwa zikitoa taarifa ambazo siyo sahihi kumhusu Trump. Ukweli ni kwamba jamaa anawakimbiza vibaya! Wamarekani wengi wameamka sasa hivi wanamtaka Trump.
 
huu mkasa ni ngumu kuusikia kwasababu Cnn, Al Jazeera, BBC vinamilikiwa zaidi na wapinzani, ni ngumu kutangaza habari nzuri za mwamba (kina millard ayo wanachukulia habari kwenye hizo media)
Al Jazeera mbona imekaa kiarabu arabu ni ya Marekani?
 
Hawa nyani wa utumwani wameusaliti unyani wao na kushabikia mmiliki wao kwa porojo zao wanazodangayana kwenye maghetto yao ya watu weusi
 
View attachment 3075955

Kipindi Trump akiwa Madarakani aliona Marekani haina sababu ya jeshi kuendelea kubaki Afghanistan, kama ni kushinda vita walishashinda kwa kuichomoa serikali ya Taliban, hakukuwa na sababu ya kuendelea kubaki.

Trump alimchimba mkwara kiongozi wa Taliban wakiwa kwenye kikao alimpa karatasi inaonyesha sehemu familia yake inaishi, Akaondoka kwenye kikaoni bila kuongea cha ziada, kwa miezi 18 mfululizo mpaka anapoachia ngazi, Taliban hawakuthubutu kuua wala kumgusa mwanajeshi wa Marekani"

Taratibu zilianza za kuliondoa jeshi kwa heshima (Leaving with honor) kuwaachia wa Afghanistan nchi yao wajiongoze kwa serikali iliyokuwepo, Walibaki wanajesi wamarekani wachache wanaokamilisha mambo ya kurudisha silaha Marekani, kuziharibu, n.k.

Biden kaingia Madarakani mipango yote ya kuondoka kwa heshia ikavurugika, Taliban ilimuona Biden ni kama mdori ikapindua serikali na kuanza kuua wanajeshi wamarekani na Afghanistan, wakazitwaa silaha zenye thamani ya dola bilioni 80, Biden alichukulia poa tu.

Trump ni chuma kinachohitajika kurudi white house sio hawa kina Biden na Kamala.
.Marekani waliiacha nchi kwa Taliban kwa kuwa waliokuwa watslawala waliokuwa mafisadi wakubwa. Pia ile nchi haikuwa na maslai nayo tena. Haina mafuta wala chochote. Ndiyo maana kabla ya kuwaachia nchi walifanya negotiation na Taliban na ndiyo .maana hata walipochukua nchi Marekani waliendeles kushikiloa uwanja wa ndege mpaka walipokamilisha mambo yao.
 
Taleban walichokua wanataka ni us forces waondoke Afghanistan na trump alikubali ataondoka sasa ulitaka waendelee kushambulia hili iweje na washakubali kuondoka hapo Wala sio swala la kujua family zipo wp zilizofanya wasishambulie us forces Hila matakwa Yao yamesikilizwa Haina haja ya kushambulia.
 
Duh mkwara Kwa Taliban kweli man? Marekani iliyoreplace Taliban Kwa Taliban? Sehemu tu makubaliano ili US iondoke Afghanistan ilikuwa ni lazima pande zote ziache tabia za kihasimu. kuuana nk. But kabla ya muda uliopangwa Taliban walianza kutakeover occupied regions na military base za Us kinyume na mkataba Wa Doha.
Hata hivyo Wamarekani waliondoka Kwa aibu hapo kwenye nchi ya wababe, wapendavita, wenye roho mbaya Kwa aibu kubwa hapo mwaka wa 2021
 
Na wametangaza upya wamechoka kukaa na makaratasi ofisini wanataka kiwake
 
.Marekani waliiacha nchi kwa Taliban kwa kuwa waliokuwa watslawala waliokuwa mafisadi wakubwa. Pia ile nchi haikuwa na maslai nayo tena. Haina mafuta wala chochote. Ndiyo maana kabla ya kuwaachia nchi walifanya negotiation na Taliban na ndiyo .maana hata walipochukua nchi Marekani waliendeles kushikiloa uwanja wa ndege mpaka walipokamilisha mambo yao.
Ni Biden ndie alisababisha wamarekani watimuliwe kwa fedheha, Trump alipokuwa Rais walimheshimu na kumuogopa waliyatii makubaliano ya Jeshi la Marekani kuondoka kwa heshima, Biden alivyoingia tu walimuona ni mdori wakaanza kuua wamarekani hovyo na kuwafurusha kwa aibu

Huo uwanja Taliban waliwapa sharti Marekani ya Biden waondoke haraka lasivyo watawamaliza.

Biden kaifedhehesha sana Marekani
 
Taleban walichokua wanataka ni us forces waondoke Afghanistan na trump alikubali ataondoka sasa ulitaka waendelee kushambulia hili iweje na washakubali kuondoka hapo Wala sio swala la kujua family zipo wp zilizofanya wasishambulie us forces Hila matakwa Yao yamesikilizwa Haina haja ya kushambulia.
Trump aliweka masharti yake ya kuondoa jeshi taratibu kwa heshima

Kulikuwa na makubaliano ya Taliban waweze kuzungumza na Serikali ya Afghanistan kuhusu namna bora ya kugawana power kwenye uongozi wa Afghanistan lakini Biden alipoingia hawakuona umuhimu, walipindua serikali yote.

Biden alipoingia Taliban walimuona kama mdori, makubaliano yote walikiuka kwa kuanza kuua wamarekani, kuvamia kambi za wanajeshi wa marekani, kupora silaha na kupindua serikali yote.

Biden walimuona ni kama mdori, Trump ndiye walimheshimu na kumuogopa.
 
Duh mkwara Kwa Taliban kweli man? Marekani iliyoreplace Taliban Kwa Taliban? Sehemu tu makubaliano ili US iondoke Afghanistan ilikuwa ni lazima pande zote ziache tabia za kihasimu. kuuana nk. But kabla ya muda uliopangwa Taliban walianza kutakeover occupied regions na military base za Us kinyume na mkataba Wa Doha.
Hata hivyo Wamarekani waliondoka Kwa aibu hapo kwenye nchi ya wababe, wapendavita, wenye roho mbaya Kwa aibu kubwa hapo mwaka wa 2021
Taliban walipindua serikali baada ya Biden kuingia, Walimuona kama mdori hana madhara yoyote, alipoingia tu walianza kuua wanajeshi wamarekani, kupindua serikali, kupora silaha, n.k.

Taliban hawakuthubutu kuvamia kambi wala kuwagusa wanajeshi wa marekani kwa miezi 18 mpaka Trump anaachia ofisi, labda unachosema ni kambi za jeshi la Afghanistan la muda huo,

Wamarekani ilibidi waondoke kwa heshima ila Biden alipoingia walifurumushwa kwa aibu
 
Back
Top Bottom