Trump: Sitomrudisha Prince Harry kwao kwa sababu matatizo anayokumbana nayo kutoka kwa mke wake ni makubwa na adhabu tosha

Duuh hadi Prince ana visanga na wife wake? πŸ€”πŸ™Œ
Himaya ya kifalme ilimkataa mke wa Prince kwakua ni mweusi, then Prince akaamua kuukana ufalme na akahamua kwa mmatumbi....😜
Kinacho mpata dunia nzima inamhurumia hadi Trump akaamua aokoe jahazi ili kataa ndoa tusije tukachukua point..🀣
 
Himaya ya kifalme ilimkataa mke wa Prince kwakua ni mweusi, then Prince akaamua kuukana ufalme na akahamua kwa mmatumbi....😜
Kinacho mpata dunia nzima inamhurumia hadi Trump akaamua aokoe jahazi ili kataa ndoa tusije tukachukua point..🀣
Daah! Mkuu basi inaonekana huyo mmatumbi ni fundi kweli kweli kwenye moja na mbili 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…