Trump tested positive for Coronavirus

Trump tested positive for Coronavirus

Mkuu andika kwa utulivu tuelewe
Habari ndiyo hiyo.
Kwamba Trump, mdharau corona, sasa naye ni mhanga wa corona. Aombe sana isiwe na nguvu na kumtenda, kama ilivyowatenda raia zake zaidi ya laki mbili sasa.
 
Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba yeye na mke wake Melania Trump wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye karantini.

Ametoa tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter.

Tangazo hilo linawadia baada ya Bwana Trump na wasaidizi wake wawili kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.

Hope Hicks, 31, mshauri wa rais amekuwa msaidizi wa karibu wa Bwana Trump kupatikana na virusi vya corona hadi hivi sasa.

Bi. Hicks alisafiri na Bwana Trump kwa ndege ya kijeshi kwenda kwenye mdahalo wa Televisheni alipokabiliana na mpinzani wake Joe Biden Jumanne.

Baadhi ya familia ya Trump ilihudhuria mdahalo huo walionekana wakiwa bila barakoa.


•Tonight, @FLOTUS and I tested positive for COVID-19. We will begin our quarantine and recovery process immediately. We will get through this TOGETHER!•


Bado haijafahamika vile kuthibitishwa kwa Bwana Trump kutaathiri maandalizi ya mdahalo wa pili wa urais, ambao umepagwa kufanyika Oktoba 15 huko Miami, Florida.


Bwana Trump mara nyingi huwa havai barakoa na amekuwa akipigwa picha akiwa hazingatii hatua ya kutokaribiana akiwa na wasaidizi wake au watu wengine wakati wa ziara zake rasmi.

Daktari wa Bwana Trump Sean Conley, alitoa taarifa ikisema rais na mke wake wote wanaendelea vizuri na wanapanga kusalia nyumbani ndani ya Ikulu wakati wa kipindi chao cha kuendelea kupona.

"Muwe na uhakika natarajia Rais aendelee kutekeleza majukumu yake bila matatizo yoyote wakati anaendelea kupata afueni, na nitaendelea kuwafahamisha matukio yoyote ya siku za usoni," taarifa hiyo imesema.

Bwana Trump sio Raisi wa kwanza duniani kukutwa na virusi vya corona. Mapema mwaka huu, Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson na Jair Bolsonaro wa BrazilView attachment 1587834
 
Sasa Trump akiwa na Covid-19 na umri umeenda vile hata asipokufa, itamtesa sana.
 
Hiyo ni taarifa kutoka Marekani. Mungu awaponye na kuwarejeshea afya zao. Tuwaombee ili Mungu aingilie kati
 
Alisema ni Virus vya Kichana . hahahah! Trump get a strap!
 
Covid-19 inaendelea, hata kama nguvu zinalegea.

Sasa mfano mzuri na somo zuri limetolewa, POTUS pamoja na dharau zake ya corona, kama ilivyo kwa Dikteta fulani corona imeamua kutoa somo lieleweke kwa wengine wote. Ingefaa ahangaike kidogo, kama alivyohangaika BoJo ili somo liwe kamili.

Siku Dikteta mwingine ikimlazimu kwenda kujifukiza, somo litakuwa limekamilika kwa vikaragosi wote wanaoimba nyimbo wasizozijua.
Ikitokea hapa na kampeni zote hizi itakuwaje?
Wewe kweli una matatizo kichwani,Covid-19 haichagui.
 
Pole yao



Wasirudie kuifatilia (kudukua)Tanzania
 
Covid-19 inaendelea, hata kama nguvu zinalegea.

Sasa mfano mzuri na somo zuri limetolewa, POTUS pamoja na dharau zake ya corona, kama ilivyo kwa Dikteta fulani corona imeamua kutoa somo lieleweke kwa wengine wote. Ingefaa ahangaike kidogo, kama alivyohangaika BoJo ili somo liwe kamili.

Siku Dikteta mwingine ikimlazimu kwenda kujifukiza, somo litakuwa limekamilika kwa vikaragosi wote wanaoimba nyimbo wasizozijua.
Ikitokea hapa na kampeni zote hizi itakuwaje?
Kwani whats so special kwa Trump mpaka iwe ajabu akipata corona. Nani kakwambia corona ni adhabu, mfano au somo. Nyinyi ndio uwa mnashangilia mtu akipata HIV kwamba alikuwa mzuri ila kaupata.
 
Pona Yao ni pale watakapoacha kumwona Magufuli ni adui Wao Kwa kuwa tu analinda maslahi ya nchi yake

Pona Yao, waache kuitisha TANZANIA kuhusu mambo yake yenyewe

Wakizidisha kuitishia Tanzania kuhusu Magufuli hasa wakilenga wizi wa madini yetu kupitia mtu Fulani, na huyo OmpePo atawekwa karantini Kwa korona, na huyo ziloba Wao hapa nchini itampata Corona

Uonevu Wao Kwa kisingizio cha demokrasia huku Wao wakionesha dhahili demokrasia imewashinda, watajuta kuifahamu TANZANIA,

Mungu atawaadhibu
 
Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba yeye na mke wake Melania Trump wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye karantini.

Ametoa tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter.

Tangazo hilo linawadia baada ya Bwana Trump na wasaidizi wake wawili kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.

Hope Hicks, 31, mshauri wa rais amekuwa msaidizi wa karibu wa Bwana Trump kupatikana na virusi vya corona hadi hivi sasa.

Bi. Hicks alisafiri na Bwana Trump kwa ndege ya kijeshi kwenda kwenye mdahalo wa Televisheni alipokabiliana na mpinzani wake Joe Biden Jumanne.

Baadhi ya familia ya Trump ilihudhuria mdahalo huo walionekana wakiwa bila barakoa.


•Tonight, @FLOTUS and I tested positive for COVID-19. We will begin our quarantine and recovery process immediately. We will get through this TOGETHER!•


Bado haijafahamika vile kuthibitishwa kwa Bwana Trump kutaathiri maandalizi ya mdahalo wa pili wa urais, ambao umepagwa kufanyika Oktoba 15 huko Miami, Florida.


Bwana Trump mara nyingi huwa havai barakoa na amekuwa akipigwa picha akiwa hazingatii hatua ya kutokaribiana akiwa na wasaidizi wake au watu wengine wakati wa ziara zake rasmi.

Daktari wa Bwana Trump Sean Conley, alitoa taarifa ikisema rais na mke wake wote wanaendelea vizuri na wanapanga kusalia nyumbani ndani ya Ikulu wakati wa kipindi chao cha kuendelea kupona.

"Muwe na uhakika natarajia Rais aendelee kutekeleza majukumu yake bila matatizo yoyote wakati anaendelea kupata afueni, na nitaendelea kuwafahamisha matukio yoyote ya siku za usoni," taarifa hiyo imesema.

Bwana Trump sio Raisi wa kwanza duniani kukutwa na virusi vya corona. Mapema mwaka huu, Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson na Jair Bolsonaro wa BrazilView attachment 1587834

Baadhi ya watu wachache humu jukwaani tayari walikuwa wameshatoa mapendekezo kwamba Marekani wanatakiwa waahirishe uchaguzi Korona ipite kwanza halafu ndiyo waendelee na mchakato huo hapo baadaye. Kuna mambo mengi yanachangia kwenye hili kubwa ikiwa ni afya za watu pamoja na uwezekano wa uwepo wa wizi wa kura usiotarajiwa, kama wataamuua kupiga kura kwa njia ya Posta. Mh. Rais Trump mwenyewe ameonyesha wazi kabisa kuwa haridhiki na utaratibu wa kupiga kura kwa njia ya posta na kwa hili yuko sahihi kabisa kwa upande wangu mimi, lakini watu hawamwelewi, nadhani pengine labda mahasimu wake wa kisiasa wanaona atafaidika sana kupata muda wa nyongeza Ikulu akiwa anasubiria korona iishe halafu ndiyo uchaguzi ufanyike.
Mimi ningependa tu kuwashauri hawa ndugu zetu mambo kadhaa kama yafuatavyo hapa chini. Ni kwa sababu ninaipenda Marekani na wa-Marekani pia

MOJA: Korona ni janga la asili na analoli-control Mungu kwa kiasi kikubwa sana na hivyo ningewaomba sana walipishe janga hili lipite kwanza halafu ndiyo warudi tena kwenye utaratibu mwingine wa kawaida, zikiwemo pilika pilika za uchaguzi

MBILI: Kama utaratibu wa Katiba yao unaruhusu, basi nashauri watengeneze kama Serikali ya mpito wakiwa bado wanasubiria uchaguzi, iwapo tu hawaridhiki na swala la kumuongezea muda Rais Trump aliyepo madarakani kwa sasa

TATU: Korona ni janga la dunia, pamoja na kwamba kuna baadhi ya sehemu limeshaisha. Naomba watu waendelee kukumbuka hili ili wanapokuwa wanafanya mambo yao, waendelee kuyafanya kwa tahadhari hiyo. Wasipofanya hivyo, kuna uwezekano likaja likatugharimu tena maisha ya watu wengine tofauti na matarajio na makisio yetu na tuliyokuwa nayo hapo awali wakati janga hili linaingia. Yaani itakula kwetu zaidi ya tulivyotarajia. Marekani ipo mpaka siku Yesu anarudi, haraka ya uchaguzi ya nini wakati mchakato huo kwa sasa unahatarisha afya za watu?

Hiki kilichotokea kwa sasa ni warning kutoka kwa Mungu kuwa hapendi uchaguzi huo ufanyike wakati huu wa Korona. Ni ushauri tu lakini

Nawatakia uponyaji wa haraka Mh. Rais Trump na mke wake. Mungu awafunike kwa ulinzi wake ulio mkuu mno, kama alivyowahi kumfunika Mh. Borris Johnson alipokuwa amepatwa na janga hili

MUNGU AWALINDE NA KUWABARIKI, WAPONE HARAKA
 
Naomba kiwasilisha hoja...
tapatalk_1582567128828.jpg
 
KARMA is always a BITCH.

Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona.

View attachment 1587701

Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo

Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia ndani ya Ikulu

Marekani ilikuwa katika hatua za Uchaguzi Mkuu ambao ulitarajiwa kufanyika Novemba 3 mwaka huu. Maambukizi hayo yanaweza weka ugumu wa kuendelea na kampeni kwa siku 33 zilizobaki

Rais Trump bado hana dalili za virusi hivyo lakini atatengwa kwa muda usiojulikana. Trump alikuwa havai barakoa akiwa kwenye halaiki na alikuwa akimdhihaki mpinzani wake Joe Biden kuvaa barakoa

====
Trump Tests Positive for the Coronavirus
The president’s result came after he spent months playing down the severity of the outbreak that has killed more than 207,000 in the United States and hours after insisting that “the end of the pandemic is in sight.”

President Trump initially dismissed the threat of the virus by likening it to the common flu.

President Trump initially dismissed the threat of the virus by likening it to the common flu.Credit...Samuel Corum for The New York Times

“Tonight, @FLOTUS and I tested positive for COVID-19,” Mr. Trump wrote on Twitter. “We will begin our quarantine and recovery process immediately. We will get through this TOGETHER!” Mr. Trump received the test result after one of his closest advisers, Hope Hicks, became infected, bringing the virus into his inner circle and underscoring the difficulty of containing it even with the resources of a president. Mr. Trump has for months played down the severity of the virus and told a political dinner just Thursday night that “the end of the pandemic is in sight.”

Mr. Trump’s positive test result could pose immediate difficulties for the future of his campaign against former Vice President Joseph R. Biden Jr., his Democratic challenger, with just 33 days before the election on Nov. 3. Even if Mr. Trump, 74, remains asymptomatic, he will have to withdraw from the campaign trail and stay isolated in the White House for an unknown period of time. If he becomes sick, it could raise questions about whether he should remain on the ballot at all.

Even if he does not become seriously ill, the positive test could prove devastating to his political fortunes given his months of diminishing the seriousness of the pandemic even as the virus was still ravaging the country and killing about 1,000 more Americans every day. He has repeatedly predicted the virus “is going to disappear,” asserted that it was under control and insisted that the country was “rounding the corner” to the end of the crisis. He has scorned scientists, saying they were mistaken on the severity of the situation.

Mr. Trump has refused for months to wear a mask in public on all but a few occasions and repeatedly questioned their effectiveness while mocking Mr. Biden for wearing one. Trailing in the polls, the president in recent weeks increasingly held crowded campaign events in defiance of public health guidelines and sometimes state and local governments.

When he accepted the nomination on the final day of the Republican National Convention, he invited more than 1,000 supporters to the South Lawn of the White House and has held multiple rallies around the country since, often with hundreds and even thousands of people jammed into tight spaces, many if not most without masks.

A positive test will undercut his effort to change the subject away from a pandemic that polls show most Americans believe he has mishandled and onto political terrain he considers more favorable. Mr. Trump has sought to focus voter attention instead on violence in cities, his Supreme Court nomination, mail-in ballots and Mr. Biden’s relationship with liberals.

Aside from the campaign, the symbolism of an infected president could rattle governors and business owners trying to assess when and how to reopen or keep open shops, schools, parks, beaches, restaurants, factories and other workplaces. Eager to restore a semblance of normal life before the election, Mr. Trump has dismissed health concerns to demand that schools reopen, college football resume play and businesses resume full operation.

In his eighth decade of life, Mr. Trump belongs to the age category deemed most vulnerable to the virus. Eight out of every 10 deaths attributed to it in the United States have been among those 65 and older.

Mr. Trump has been resistant to permitting details of his health to be made public, raising questions about his overall condition. He made an unannounced trip in November to Walter Reed National Military Medical Center that prompted speculation that he had an undisclosed medical ailment, but the White House insisted that he simply underwent routine tests, without revealing what they were or what they showed.

But while Mr. Trump has been reported to have high cholesterol and tips the scale at 243 pounds, which is considered obese for his height, the president’s doctor pronounced Mr. Trump in “very good health” last year after his last full medical checkup. And, unlike many of those who have succumbed to the virus, he will have the best medical care available.

A variety of people around Mr. Trump were previously infected by the virus, including most recently Robert C. O’Brien, his national security adviser who had a mild case before returning to work in August. Others infected include Kimberly Guilfoyle, his son’s girlfriend; a White House valet; Katie Miller, Vice President Mike Pence’s press secretary; as well as some Secret Service agents, campaign advance workers and a Marine in the president’s helicopter unit. Herman Cain, a former Republican presidential candidate and political ally of Mr. Trump’s, died of the coronavirus in July after attending the president’s campaign rally in Tulsa, Okla., where Mr. Cain, like many in the arena, was seen not wearing a mask at least part of the time.

Mr. Trump has repeatedly expressed confidence in public about his own health, saying he was not concerned about being exposed despite his various close calls. “I’m on a stage that’s very far away, and so, I’m not at all concerned,” he said last month, brushing off worries about crowded rallies.

Behind the scenes, though, the self-described germophobe was angry in the spring that his valet, who is among those who serve him food, had not been wearing a mask before testing positive, according to people in touch with him. Mr. Trump privately expressed irritation with people who got too close to him.

According to the president, he began taking the hydroxychloroquine anti-malaria drug proactively around this time and later said it caused no adverse effects. In the days after Ms. Miller’s positive test, Mr. Pence opted to stay physically away from Mr. Trump to avoid a possible exposure, while three top public health officials, including Dr. Anthony S. Fauci, who is on the White House’s coronavirus task force, went into some form of self-quarantine.

The White House ordered some employees to work from home and those who came to work to wear masks except when sitting at their desks an appropriate distance from their colleagues. Just as Mr. Trump and Mr. Pence were being tested every day, those coming into proximity to them were subject to daily tests as well, while other White House employees had tests every several days. But those protocols were soon relaxed and most White House officials were rarely seen wearing masks, at least when the president was present.

While the coronavirus is much deadlier than the flu, the vast majority of people infected by it recover, especially if there is no underlying condition, but the threat climbs with age. If Mr. Trump becomes symptomatic, it could take him weeks to recover.

Under the 25th Amendment, a medically incapacitated president has the option of temporarily transferring power to the vice president and can reclaim his authority whenever he deems himself fit for duty.

Since the amendment was ratified in 1967, presidents have done so only three times. In 1985, President Ronald Reagan underwent a colonoscopy and briefly turned over power to Vice President George Bush, although he did not explicitly cite the amendment in doing so. President George W. Bush did invoke the amendment twice in temporarily turning over power to Vice President Dick Cheney during colonoscopies in 2002 and 2007.

Under the Presidential Succession Act, if both Mr. Trump and Mr. Pence were unable to serve, Speaker Nancy Pelosi of California would step in. In the spring, the White House said that it had no plan for such an eventuality. “That’s not even something that we’re addressing,” said Kayleigh McEnany, the White House press secretary. “We’re keeping the president healthy. We’re keeping the vice president healthy and, you know, they’re healthy at this moment and they’ll continue to be.”

There is a long history of presidents falling seriously ill while in office, including some afflicted during epidemics. George Washington was feared close to death amid an influenza epidemic during his second year, while Woodrow Wilson became sick during Paris peace talks after World War I with what some specialists and historians believe was the influenza that ravaged the world from 1918 through 1920.

Four presidents have died in office of natural causes: William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding and Franklin D. Roosevelt, while Wilson endured a debilitating stroke and Dwight D. Eisenhower had a heart attack in his first term and a stroke in his second. Four others were assassinated in office: Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley and John F. Kennedy.
 
Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona.

View attachment 1587701

Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo

Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia ndani ya Ikulu

Marekani ilikuwa katika hatua za Uchaguzi Mkuu ambao ulitarajiwa kufanyika Novemba 3 mwaka huu. Maambukizi hayo yanaweza weka ugumu wa kuendelea na kampeni kwa siku 33 zilizobaki

Rais Trump bado hana dalili za virusi hivyo lakini atatengwa kwa muda usiojulikana. Trump alikuwa havai barakoa akiwa kwenye halaiki na alikuwa akimdhihaki mpinzani wake Joe Biden kuvaa barakoa

====
Trump Tests Positive for the Coronavirus
The president’s result came after he spent months playing down the severity of the outbreak that has killed more than 207,000 in the United States and hours after insisting that “the end of the pandemic is in sight.”

President Trump initially dismissed the threat of the virus by likening it to the common flu.

President Trump initially dismissed the threat of the virus by likening it to the common flu.Credit...Samuel Corum for The New York Times

“Tonight, @FLOTUS and I tested positive for COVID-19,” Mr. Trump wrote on Twitter. “We will begin our quarantine and recovery process immediately. We will get through this TOGETHER!” Mr. Trump received the test result after one of his closest advisers, Hope Hicks, became infected, bringing the virus into his inner circle and underscoring the difficulty of containing it even with the resources of a president. Mr. Trump has for months played down the severity of the virus and told a political dinner just Thursday night that “the end of the pandemic is in sight.”

Mr. Trump’s positive test result could pose immediate difficulties for the future of his campaign against former Vice President Joseph R. Biden Jr., his Democratic challenger, with just 33 days before the election on Nov. 3. Even if Mr. Trump, 74, remains asymptomatic, he will have to withdraw from the campaign trail and stay isolated in the White House for an unknown period of time. If he becomes sick, it could raise questions about whether he should remain on the ballot at all.

Even if he does not become seriously ill, the positive test could prove devastating to his political fortunes given his months of diminishing the seriousness of the pandemic even as the virus was still ravaging the country and killing about 1,000 more Americans every day. He has repeatedly predicted the virus “is going to disappear,” asserted that it was under control and insisted that the country was “rounding the corner” to the end of the crisis. He has scorned scientists, saying they were mistaken on the severity of the situation.

Mr. Trump has refused for months to wear a mask in public on all but a few occasions and repeatedly questioned their effectiveness while mocking Mr. Biden for wearing one. Trailing in the polls, the president in recent weeks increasingly held crowded campaign events in defiance of public health guidelines and sometimes state and local governments.

When he accepted the nomination on the final day of the Republican National Convention, he invited more than 1,000 supporters to the South Lawn of the White House and has held multiple rallies around the country since, often with hundreds and even thousands of people jammed into tight spaces, many if not most without masks.

A positive test will undercut his effort to change the subject away from a pandemic that polls show most Americans believe he has mishandled and onto political terrain he considers more favorable. Mr. Trump has sought to focus voter attention instead on violence in cities, his Supreme Court nomination, mail-in ballots and Mr. Biden’s relationship with liberals.

Aside from the campaign, the symbolism of an infected president could rattle governors and business owners trying to assess when and how to reopen or keep open shops, schools, parks, beaches, restaurants, factories and other workplaces. Eager to restore a semblance of normal life before the election, Mr. Trump has dismissed health concerns to demand that schools reopen, college football resume play and businesses resume full operation.

In his eighth decade of life, Mr. Trump belongs to the age category deemed most vulnerable to the virus. Eight out of every 10 deaths attributed to it in the United States have been among those 65 and older.

Mr. Trump has been resistant to permitting details of his health to be made public, raising questions about his overall condition. He made an unannounced trip in November to Walter Reed National Military Medical Center that prompted speculation that he had an undisclosed medical ailment, but the White House insisted that he simply underwent routine tests, without revealing what they were or what they showed.

But while Mr. Trump has been reported to have high cholesterol and tips the scale at 243 pounds, which is considered obese for his height, the president’s doctor pronounced Mr. Trump in “very good health” last year after his last full medical checkup. And, unlike many of those who have succumbed to the virus, he will have the best medical care available.

A variety of people around Mr. Trump were previously infected by the virus, including most recently Robert C. O’Brien, his national security adviser who had a mild case before returning to work in August. Others infected include Kimberly Guilfoyle, his son’s girlfriend; a White House valet; Katie Miller, Vice President Mike Pence’s press secretary; as well as some Secret Service agents, campaign advance workers and a Marine in the president’s helicopter unit. Herman Cain, a former Republican presidential candidate and political ally of Mr. Trump’s, died of the coronavirus in July after attending the president’s campaign rally in Tulsa, Okla., where Mr. Cain, like many in the arena, was seen not wearing a mask at least part of the time.

Mr. Trump has repeatedly expressed confidence in public about his own health, saying he was not concerned about being exposed despite his various close calls. “I’m on a stage that’s very far away, and so, I’m not at all concerned,” he said last month, brushing off worries about crowded rallies.

Behind the scenes, though, the self-described germophobe was angry in the spring that his valet, who is among those who serve him food, had not been wearing a mask before testing positive, according to people in touch with him. Mr. Trump privately expressed irritation with people who got too close to him.

According to the president, he began taking the hydroxychloroquine anti-malaria drug proactively around this time and later said it caused no adverse effects. In the days after Ms. Miller’s positive test, Mr. Pence opted to stay physically away from Mr. Trump to avoid a possible exposure, while three top public health officials, including Dr. Anthony S. Fauci, who is on the White House’s coronavirus task force, went into some form of self-quarantine.

The White House ordered some employees to work from home and those who came to work to wear masks except when sitting at their desks an appropriate distance from their colleagues. Just as Mr. Trump and Mr. Pence were being tested every day, those coming into proximity to them were subject to daily tests as well, while other White House employees had tests every several days. But those protocols were soon relaxed and most White House officials were rarely seen wearing masks, at least when the president was present.

While the coronavirus is much deadlier than the flu, the vast majority of people infected by it recover, especially if there is no underlying condition, but the threat climbs with age. If Mr. Trump becomes symptomatic, it could take him weeks to recover.

Under the 25th Amendment, a medically incapacitated president has the option of temporarily transferring power to the vice president and can reclaim his authority whenever he deems himself fit for duty.

Since the amendment was ratified in 1967, presidents have done so only three times. In 1985, President Ronald Reagan underwent a colonoscopy and briefly turned over power to Vice President George Bush, although he did not explicitly cite the amendment in doing so. President George W. Bush did invoke the amendment twice in temporarily turning over power to Vice President Dick Cheney during colonoscopies in 2002 and 2007.

Under the Presidential Succession Act, if both Mr. Trump and Mr. Pence were unable to serve, Speaker Nancy Pelosi of California would step in. In the spring, the White House said that it had no plan for such an eventuality. “That’s not even something that we’re addressing,” said Kayleigh McEnany, the White House press secretary. “We’re keeping the president healthy. We’re keeping the vice president healthy and, you know, they’re healthy at this moment and they’ll continue to be.”

There is a long history of presidents falling seriously ill while in office, including some afflicted during epidemics. George Washington was feared close to death amid an influenza epidemic during his second year, while Woodrow Wilson became sick during Paris peace talks after World War I with what some specialists and historians believe was the influenza that ravaged the world from 1918 through 1920.

Four presidents have died in office of natural causes: William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding and Franklin D. Roosevelt, while Wilson endured a debilitating stroke and Dwight D. Eisenhower had a heart attack in his first term and a stroke in his second. Four others were assassinated in office: Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley and John F. Kennedy.
Propaganda hiyo anakimbia mdahalo huyo ili ajiandae
 
Back
Top Bottom