Trump :USAID have made African countries very lazy.

Trump :USAID have made African countries very lazy.

Msaada wa Marekani hautokani na USAID tu
Sawa,ila walioisaidia nchi hii' na wanaoisaidia sana kimaendeleo ni ulaya,na sasa china,huyo bepari hakuwa na time na sisi mpaka alipolipua balozi zake ndiyo akajipenyeza saana,na hana la maana analotufanyia
 
Msaada wa Marekani hautokani na USAID tu

Ni kweli, lakini unajua hata NGO nyingine zinaomba pesa USAID ili zitoke nje ya USA? Wafadhili wapo wengi ila ni pesa kiduchu kiduchu...Nimefanyakazi USAID na NGO za Marekani, huyo ndio mfadhili mkubwa!
 
Msaada wa Marekani hautokani na USAID tu

Mkuu hao wengine ni akina nani? Angalia Mashirika mengine yanachukua pesa kwa nani...?

These Are The Top USAID Recipients—From Religious Groups To Major U.S. Companies—As Trump Targets Agency​


Top Ngo Usaid Recipients (fiscal Years 2013-2022)​

1. Catholic Relief Services: $4.6 billion (nonprofit)

2. Chemonics International: $4.5 billion (for-profit)

3. FHI 360: $3.8 billion (nonprofit)

4. Development Alternatives, Inc.: $3 billion (for-profit)

5. ABT Associates, Inc.: $2.6 billion (for-profit)

6. RTI International: $2.3 billion (research institute)

7. John Snow International: $1.8 billion (nonprofit)

8. Save the Children Federation, Inc.: $1.5 billion (nonprofit)

9. ARD, Inc.: $1.5 billion (nonprofit)

10. Jhpiego Corporation: $1.3 billion (nonprofit)

11. Deloitte: $1.2 billion (for-profit)

12. World Vision: $1.2 billion (nonprofit)

13. Mercy Corps: $1.1 billion (nonprofit)

14. ADCI/VOCA: $1.1 billion (nonprofit)

15. Population Services International: $1.1 billion (nonprofit)

Source https://www.forbes.com/sites/sarado...roups-to-major-us-companies-as-trump-targets-
 
Sawa,ila walioisaidia nchi hii' na wanaoisaidia sana kimaendeleo ni ulaya,na sasa china,huyo bepari hakuwa na time na sisi mpaka alipolipua balozi zake ndiyo akajipenyeza saana,na hana la maana analotufanyia
China wametufanyia nini cha maana sanasana tuwekee ushahidi hapa tuone na utuwekee na waarabu na Russia pia tuzione ila usiingie mitini.
 
Yuko sawa kabisa kabisa. Misaada yote ya nje yaishia kutajirisha chukuwachakomapema!
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 2
China wametufanyia nini cha maana sanasana tuwekee ushahidi hapa tuone na utuwekee na waarabu na Russia pia tuzione ila usiingie mitini.
Unawashwa na udini,mi nimetaja waarabu hapa!?..misaada ya waarabu si mlikua mnaikataa mkidai inakuja na msahafu juu!!..tazara ulijenga wewe?..tafuta msaada wa soviet/urusi kwa nchi yako ujue
 
Kupitia hii video ndio utajua hap jf kuna watanzania wenye chuki na nchi, chuki na serikali, chuki wasizofahamu chchte.
Hii video ni ya kutengeneza. Hakuna raisi anaweza kuongelea race ya mtu hivo. Ever in this world.
Acheni chuki wana JF. Hiyo misaada sawa mlikua hamuipati nyie. Fahamu kama ilifika ilisaidia sana watu waathirika, imesaidia sana maeneo mengi yasiyokuwa na barabara za rami, mahospitali na mashule acheni chuki.
You ain't employed usiwe na chuki ya walioajiriwa.
Jana BBC ameongea X employer tena top wa USAID kaffungua kesi ya kurudishwa kazini watu zaidi ya 8000 pale marekani. Nyie kwanini mnachuki.
Ajira ni kitu kikubwa sana katika maisha ya sasa. Acheni chuki
ARVs zitakapoanza kukata ndo watakumbuka na akili kuwarejea
 
Unawashwa na udini,mi nimetaja waarabu hapa!?..misaada ya waarabu si mlikua mnaikataa mkidai inakuja na msahafu juu!!..tazara ulijenga wewe?..tafuta msaada wa soviet/urusi kwa nchi yako ujue
Hakuna aliyekataa misaada ya waarabu wewe acha uongo, misaada ya waarabu haipo kwani hawaamini ktk kusaidia, ona tu Yemen walivyo choka mbaya.

Hiyo reli ya Tazara ilijengwa lini labda wewe ulikua hata hujazaliwa na labda ilikuwa ni fadhila ya tembo na vifaru wetu waliotumalizia.
 
Back
Top Bottom