Try Again: Nitaongea na Rais tumnase Adebayor

Try Again: Nitaongea na Rais tumnase Adebayor

Mwamedi bahili hawezi toa hela, wachezaji anaosajili ni kina Mugalu na Nyoni
 
Ni mshambuliaji mzuri spidi, nguvu, mashuti, akili nyingi, kupiga faulo na kona vizuri, pumzi ya kutosha mwanzo mwisho. Nafikiri Mohamed Huseein jana alikuwa anaomba refa amalize mpira na huenda alilala na viatu.

Simba kumsajili ni wazo zuri lakini duniani kote usajili ni kamari kwani unaweza kumuona bonge la mchezaji ukamsajili halafu asikupe ulichotarajia na mchezaji huyo huyo akaenda sehemu nyingine akafanya vizuri. Mfano mzuri ni kilichotkea kwa Chikwende. Lakini uongozi wa Simba wakiamua kucheza hii kamari ni nzuri kwa sababu mchezaji mwenyewe umri wake bado unamruhusu kucheza muda mrefu ujao hivyo.
 
Kwani na yule Junior Lokossa yuko wapi! Acheni mihemko bhana. Sisi mashabiki bado tuna imani na wasahmbuliaji wetu watatu; Bocco, Mugalu na Mk14!

Hizo hela za kumsajili hiyo Adebayor wenu, bora zingetolewa kama motisha kwa hawa washambuliaji wetu watatu.
Bangi bana
 
Kwani na yule Junior Lokossa yuko wapi! Acheni mihemko bhana. Sisi mashabiki bado tuna imani na wasahambuliaji wetu watatu; Bocco, Mugalu na Mk14!

Hizo hela za kumsajili huyo Adebayor wenu, bora zingetolewa kama motisha kwa hawa washambuliaji wetu watatu.
Mnatetemeka..
 
Kwani na yule Junior Lokossa yuko wapi! Acheni mihemko bhana. Sisi mashabiki bado tuna imani na wasahambuliaji wetu watatu; Bocco, Mugalu na Mk14!

Hizo hela za kumsajili huyo Adebayor wenu, bora zingetolewa kama motisha kwa hawa washambuliaji wetu watatu.
Wakifa je!!
 
Unataka kusema Try again akija kutoka Niger aende Morocco asubiri mechi ndio aje kuongea na rais wa Simba Unataka kuniambi mabosi wa GSM wapo tu wanawasubiri???. Mhadisi yupo tuuu anag'aang'aa macho eti anasubiri ngojera za jaribu tena???. Mtaishia kunawa, hamli ngo'ooo!!!
 
Huyo jamaa alikua anageuza mabeki wetu jinsi anavyotaka.Sema ndo hivyo timu yake haiko vizuri sana katikati zaidi yakutegemea sana winga zao.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ni mshambuliaji mzuri spidi, nguvu, mashuti, akili nyingi, kupiga faulo na kona vizuri, pumzi ya kutosha mwanzo mwisho. Nafikiri Mohamed Huseein jana alikuwa anaomba refa amalize mpira na huenda alilala na viatu.

Simba kumsajili ni wazo zuri lakini duniani kote usajili ni kamari kwani unaweza kumuona bonge la mchezaji ukamsajili halafu asikupe ulichotarajia na mchezaji huyo huyo akaenda sehemu nyingine akafanya vizuri. Mfano mzuri ni kilichotkea kwa Chikwende. Lakini uongozi wa Simba wakiamua kucheza hii kamari ni nzuri kwa sababu mchezaji mwenyewe umri wake bado unamruhusu kucheza muda mrefu ujao hivyo.
Chikwende bado alikua mzuri tatizo ni kwamba hakupewa muda wakutosha uwanjani.nadhani kuna mambo yalimsibu mengine zaidi ya kiwango chake.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unataka kusema Try again akija kutoka Niger aende Morocco asubiri mechi ndio aje kuongea na rais wa Simba Unataka kuniambi mabosi wa GSM wapo tu wanawasubiri???. Mhadisi yupo tuuu anag'aang'aa macho eti anasubiri ngojera za jaribu tena???. Mtaishia kunawa, hamli ngo'ooo!!!
Mmeona sasa faida za simba kucheza kimataifa?tukisema muiheshimu simba muwe mnakubal ona anawasaidia kuona wachwzaji wazur na nyie saiz mmeanza kutokwa udenda wa kutaka kuwasajil wachezaj waliokutana na simba
 
Akina kagere muda wote kazi yake nikukimbia tu uwanjani haeleweki anataka nn
Pale mbele hatuna striker yan hatuna tukipata striker mzur mwenye kas na uwezo wa kutumia nafas tunatawala soka la Africa
 
Kwani na yule Junior Lokossa yuko wapi! Acheni mihemko bhana. Sisi mashabiki bado tuna imani na wasahambuliaji wetu watatu; Bocco, Mugalu na Mk14!

Hizo hela za kumsajili huyo Adebayor wenu, bora zingetolewa kama motisha kwa hawa washambuliaji wetu watatu.
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom