Tsh 190 unapata mb 100 masaa 24 halotel watabaki juu mawinguni

Tsh 190 unapata mb 100 masaa 24 halotel watabaki juu mawinguni

Halotel wapo vizuri sana kwenye mabando

Wakiboresha na upande wa customer care watafika mbali sana
Ni kweli customer care yao majanga niliwahi kutuma pesa kimakosa pamoja na kuwahi kuzuia nilifuatilia wakaniambia zitarejea baada ya saa 72 na kila nikipiga wanaongeza tena 72 mwishowe baada ya miezi miwili na ushee mmoja akaniambia hela imezuiwa ila hajui lini itarejeshwa nikaamua kukaa kimya na halopesa situmii labda siku nikitaka kununua bando
 
Ni kweli customer care yao majanga niliwahi kutuma pesa kimakosa pamoja na kuwahi kuzuia nilifuatilia wakaniambia zitarejea baada ya saa 72 na kila nikipiga wanaongeza tena 72 mwishowe baada ya miezi miwili na ushee mmoja akaniambia hela imezuiwa ila hajui lini itarejeshwa nikaamua kukaa kimya na halopesa situmii labda siku nikitaka kununua bando
Yeah,customer care yao ni mbaya kuliko mitandao yote niliyowahi kutumia

Halotel naitumia mara nyingi kwenye internet pia
 
Ni kweli customer care yao majanga niliwahi kutuma pesa kimakosa pamoja na kuwahi kuzuia nilifuatilia wakaniambia zitarejea baada ya saa 72 na kila nikipiga wanaongeza tena 72 mwishowe baada ya miezi miwili na ushee mmoja akaniambia hela imezuiwa ila hajui lini itarejeshwa nikaamua kukaa kimya na halopesa situmii labda siku nikitaka kununua bando
Mkuu uliosema ni kweli kabisa hawa jamaa upande wa customer care wapo hovyo kuliko mitandao yote Tanzania hii kwanza ukipiga cm kupokea tu dakika tano

Sasa ikutokee bahati mbaya utume pesa kimakosa ukiipata hiyo pesa bahati na kama utaludishiwa basi itakuwa masaa 72×10 au zaidi mimi niliwahi kukosea ila waliniludishia baada ya kuwa mkali na kufokeana kwelikweli ilichukua siku 15

Ila upande wa bando na internet huku nilipo naburudika kwelikweli mimi hii laini yao naitumia kwa ajili ya internet na kupiga(DK) ila upande wa halopesa siitumi hata kwa viboko
 
Naweza kuitumia hiyo mb 100 kumuangalia bonnie rotten,Charlotte sartre,nick Benz,Sheena shaw,Anna de ville,mtoto mzuri Lana Rhoades,Gina Valentina,gia Paige,Britney Bardot,phoenix marie,asa akira,adriana chechik..n.k????..
 
Naweza kuitumia hiyo mb 100 kumuangalia bonnie rotten,Charlotte sartre,nick Benz,Sheena shaw,Anna de ville,mtoto mzuri Lana Rhoades,Gina Valentina,gia Paige,Britney Bardot,phoenix marie,asa akira,adriana chechik..n.k????..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ni wabunge wa nchi gani mkuu?
 
Wananzengo leo tujadili hili swala la watoa huduma kwa halotel Halotel customer care. Ukiangalia katika huduma zao ukitaka kuongea nao yataka moyo.
Ukipiga simu huduma kwa wateja namba 100 inachukua mpaka hata dk10 hadi wao kupokea simu.
Hivyo halotel huduma kwa wateja wanatesa wateja wao kwa sababu ya muda mrefu wanao tumia mpaka kupokea simu.
Halotel jifunzeni kutoa huduma kupitia Mitandao mingine sio kuhangaisha hivyo wateja
 
Wananzengo leo tujadili hili swala la watoa huduma kwa halotel Halotel customer care. Ukiangalia katika huduma zao ukitaka kuongea nao yataka moyo.
Ukipiga simu huduma kwa wateja namba 100 inachukua mpaka hata dk10 hadi wao kupokea simu.
Hivyo halotel huduma kwa wateja wanatesa wateja wao kwa sababu ya muda mrefu wanao tumia mpaka kupokea simu.
Halotel jifunzeni kutoa huduma kupitia Mitandao mingine sio kuhangaisha hivyo wateja
Kasomi nenda kwenye website ya TCRA utakuta dirisha la malalamiko, weka malalamiko hapo , click send, then utakuwa umemaliza kazi.
 
Back
Top Bottom