Tsh 190 unapata mb 100 masaa 24 halotel watabaki juu mawinguni

Tsh 190 unapata mb 100 masaa 24 halotel watabaki juu mawinguni

Hiyo niyakwako tu. Voda wakifika huko hakuna wakuwaponda
IMG_20210419_223105_749.JPG

Wengine endleeni kula mtori nyama mtazikuta chini
 
Toka muambiwe kurudisha kama awali naona imekuwa nongwa. Kifurushi kupitia halopesa, data sawa tunashukuru ila mmetupa madakika 100 bila SMS hata moja ya ngama.

Kwanini isingekuwa vile vile mwanzo dakika 10 na SMS kidogo? Kwani kupiga siku hizi ni rahisi kuliko SMS? Tunaomba mpunguze hizo dakika 100 wekeni na SMS kidogo.
 
Si ununue sms za 1000 mwezi mzm! Asante halotel! 1500 napata 5gb usiku kucha
 
Kasomi nenda kwenye website ya TCRA utakuta dirisha la malalamiko, weka malalamiko hapo , click send, then utakuwa umemaliza kazi.
🙏🙏🙏 nitafanya hivyo harafu Humu ndani walikuwemo sema hawapo online miaka mingi TCRA
 
Naweza kuitumia hiyo mb 100 kumuangalia bonnie rotten,Charlotte sartre,nick Benz,Sheena shaw,Anna de ville,mtoto mzuri Lana Rhoades,Gina Valentina,gia Paige,Britney Bardot,phoenix marie,asa akira,adriana chechik..n.k????..
Eeh🙄😳hao Nao ni wakina nani mkuu Ni wasanii wa Marekani
 
Back
Top Bottom