GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
a ) Zijenge Sanamu ya Mtu tu?
b ) Zifidie Wafanyabiashara wote walipoteza Mali zao kwa Moto Kariakoo?
c ) Zijenge sehemu zote za Soko la Kariakoo ambazo zimeharibiwa ( zimeungua ) vibaya na Moto?
d ) Zisambazwe Tanzania nzima (Mikoani) ili zitumike katika Kutoa Elimu ya Vitendo kwa Watanzania wote juu ya Kukabiliana na Majanga ya Moto?
e ) Apewe Mzee Mpili wa Yanga aende nazo kwa Waganga wake wa Kienyeji anaowajua (Watu wake) ili akaturoge Watanzania wote tuwe na Akili sana kuliko Viongozi wetu mbalimbali ambao hukurupuka kuja na Maamuzi ya Kipuuzi kwa Kigezo cha Kutuona Watanzania wote tuna Akili fupi a.k.a Wajinga ( Ngumbaru ) na wanatupeleka watakavyo?
b ) Zifidie Wafanyabiashara wote walipoteza Mali zao kwa Moto Kariakoo?
c ) Zijenge sehemu zote za Soko la Kariakoo ambazo zimeharibiwa ( zimeungua ) vibaya na Moto?
d ) Zisambazwe Tanzania nzima (Mikoani) ili zitumike katika Kutoa Elimu ya Vitendo kwa Watanzania wote juu ya Kukabiliana na Majanga ya Moto?
e ) Apewe Mzee Mpili wa Yanga aende nazo kwa Waganga wake wa Kienyeji anaowajua (Watu wake) ili akaturoge Watanzania wote tuwe na Akili sana kuliko Viongozi wetu mbalimbali ambao hukurupuka kuja na Maamuzi ya Kipuuzi kwa Kigezo cha Kutuona Watanzania wote tuna Akili fupi a.k.a Wajinga ( Ngumbaru ) na wanatupeleka watakavyo?