Tsh milioni 60 shwaaa zikapotea!

Story yako umetia chumvi japo lengo la kutia chumvi linajulikana

Nov. 2018 serikali ndio ilitangaza kununua korosho ( mpaka sasa miaka minne tu imepita) ila wewe umeshakaa miaka 7
Umeniwahi ndg,nami nilitaka nimuulize mtoa mada hili swali
 
Story yako umetia chumvi japo lengo la kutia chumvi linajulikana

Nov. 2018 serikali ndio ilitangaza kununua korosho ( mpaka sasa miaka minne tu imepita) ila wewe umeshakaa miaka 7
Umeniwahi ndg,nami nilitaka nimuulize mtoa mada hili swali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana. Hii sio chai mzee ni true story kwenye utafutaji kuna kupoteza pia. Unapotafuta parefu na kupoteza ni parefu pia. High Risk, High Return na kupoteza ni hivyo hivyo.
Biashara ni kipaji sawa na hekima au upumbavu ndiyomaana elimu ya darasani haijawahi kuwa sahawia katika mipango, mbinu, utekelezaji, usimamizi na upataji wa faida.
 
Story yako umetia chumvi japo lengo la kutia chumvi linajulikana

Nov. 2018 serikali ndio ilitangaza kununua korosho ( mpaka sasa miaka minne tu imepita) ila wewe umeshakaa miaka 7
Kwa hiyo jamaa katupiga kamba ndeeeefu sana😆😂
 
Story yako umetia chumvi japo lengo la kutia chumvi linajulikana

Nov. 2018 serikali ndio ilitangaza kununua korosho ( mpaka sasa miaka minne tu imepita) ila wewe umeshakaa miaka 7
Hili ndio limenishtua
 
2017 hapo nikiwa bado nipo chuo na penzi limekolea kwa mpenzi wa Maisha yangu. Ananipa mtaji wa sh laki 1 na 50 nikanunua dagaa Nyasa wale ili niwe nauza Dar.

Kabla ya hiyo biashara nilishafanya biashara kama kuuza sabuni na yebo yebo nilikua napeleka Masasi na Mwanangu James Ila akaja nidhulumu nikapotezea.

Basi bwana kwenye Maisha yangu sikuwahi kuwaona dagaa nyasa hapo kabla so Mara ya kwanza nikawaona nilipoenda songea nikawapenda.. Hivyo nikamuomba mchumba anisaidie mtaji ili niwalete Dar niuze kweli nikachukua sampuli dumila 10 nikaja nao dar kisha nikaenda kwenye magenge makubwa yale kuwapelekea wengi walikataa ikabidi niwape bure kisha wauze kama watanunulika basi tufanye biashara hapo baadae bado walikataa[emoji16] Ila magenge manne yakakubali nikaacha na namba za simu basi hazikuzidi siku 3 nikapigiwa simu tukaongee.

Basi bila hiyana nikajivuta tukakubaliana niwe napeleka mzigo nawaachia wanauza ukiisha Nafuata pesa.. Aisee nakiri wazi Moja Kati ya biashara ambayo siwezi isahau ni ile ilikubali nikawa napata mshiko wa maana(kiuanafunzi) Maisha yakabadilika japo mwanafunzi kusafiri Mara kwa Mara nikichukua mzigo wa laki 2 faida laki 2 ikaja mpaka Kule nilipokua nanunua wakawa wananipa mzigo kwa Mali kauli kutoka na mzunguko mkubwa.kufipisha stori niliweza kumiliki 3M+ bank zilizotokana na biashara ile nikiwa mwanafunzi na pikipiki(bodaboda) pia geto Kali Lakini vilipotea ndani ya wiki Moja tu baada ya kutapeliwa kwa mtu niliyemuamini kupita kiasi.

Shukrani kwa brother wangu alinihifadhi kwake na kunifariji maana ningejitundika kwa mawazo ule mwaka 2018 nilipoteza kila kitu mwishowe hata shule ningepoteza. Nilikuja kuinuka tena 2019 mwishoni Ila nikaja kupigwa na kitu kizito kwa uchawi qmmake ile unapika chakula Asubuhi mchana kimechacha Maisha ni Vita.
 
Boss 2018 Jiwe ndo alianza kununua korosho ukipiga hesabu ni miaka 4 imepita mpaka sasa.
 
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...unasema ulikaa kitaa miaka 7 while issue ya Mzee baba nakorosho ni ya Nov 2018-2019 ht miaka mi4 haijatimia..
 
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...unasema ulikaa kitaa miaka 7 while issue ya Mzee baba nakorosho ni ya Nov 2018-2019 ht miaka mi4 haijatimia..
Kama kuna sehemu imekufunza au kukufurahisha basi hilo ndilo unatakiwa kuondoka nalo hapa. Kuhusu accuracy ya taarifa hilo mniachie mwenyewe maana nyie halitawasaidia kwa chochote.

Nilichokiandika nakijua na ninaelewa kwanini nimeandika hivyo.

Comment nyingi mnasema nadanganya, JE TULIKUWA WOTE?? Kama haukuwa na mimi MANGAKA kwenye kufaulisha KOROSHO za dili usiseme ni UONGO.

Soma kisha pita kule, kama kuna la kujifunza jifunze.
 
Nilitaka nisone tu comment. Acha nicomment na mimi…

WEWE NI MUONGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…