Tshabalala amemdhalilisha meneja wake, Henry Mzozo

Tshabalala amemdhalilisha meneja wake, Henry Mzozo

Kama Simba Inge waongezea mikataba mapema aya yote yasingetokea mnatakiwa muwahoji viongozi wenu si kuwalaumu wachezaji. Wachezaji mpira ni maisha yao.
Nyinyi ajibu na gadiel Michael mliwapa mikataba mapema, mmekaa kufatilia mambo ya Simba wakati ya kwenu yanawashinda
 
AIsee andiko jepesi saana kaka umeandika...nikuulize maswali madogo tu umejuaje kama Kasaini bila kuwepo Manager wake leo?. Isije ikawa umedanganywa na picha zilotumwa mitandaoni ambazo pia haziwaonyeshi watendaji wa simba pia. Pili hivi kwa akili za darasa la nne tu unajua ni nani kasababisha Simba kwa mara ya kwanza tokea kufanya mabadiliko kuamua kukurupuka na kuwasainisha wachezaji Boko na shabalala upesi tena bila mbwembwe tulizozoea za kutoa taarifa mapema? kajibu kwanza hayo maswali kisha uje ufute huu ujinga ulioandika

Umefanya kutype maoni ya Georgejob wa Wasafi FM na ukayaleta hapa na wewe unajiona mjanja sasa,hakuna formula ya kutambulisha mchezaji,kama alishakubali kusign hata Simba wangeweza subiri na kumtambulisha leo,walichokifanya jana ni kuwakata ngembe watu kama nyinyi Utopolo maana mmekuwa na hasira sana baada ya Ma Captain wote kutambulishwa jana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dauda ni simba,watu wa mikia awajajua tu km dauda alikua anawashtua na yeye hao wachezaji mwisho wa msimu wangekua wachezaji wa Yanga,mikia mumshukuru sana mkia mwenzenu sio wa kumlaumu kabisa
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?

Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
 
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?

Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Mashabiki wa Yanga wana stress sana.

Njia pekee ni kutoa mapovu

Usiwashangae kabisa
.hapa si unawaona wanavyopayuka
[emoji3]
 
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?

Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Wewe **** angalia wa kuwaquote upumbavu,tafuta wafiraji **** wewe
 
Mbona mihemko we utopolo, we si ume mquote mshkaji pale juu mbona hajaleta mambo ya kike kama yako, punguza stress mkuu kwani lazima ushabikie yanga
Wewe umeanza kutukana hapo juu, nyie Mbumbumbu Fc sijui kwanini matusi kwenu mnaona ndio ujanja
 
Kitendo cha Tshabalala kuongeza mkataba wa kuitumikia Simba SC bila kumshirikisha meneja wake, Henry Mzozo, hakuna namna nyingine ya kukielezea zaidi ya kusema ni udhalilishaji wa hali ya juu wa mchezaji kwa meneja huyo.

Mzozo katika siku za hivi karibuni amekuwa akizungumza katika vyombo vya habari kwa ujasiri mkubwa kwamba safari hii hakuna chaguo la 'mchezaji wake' kusalia Simba, na kwamba uamuzi walioufikia ni kuondoka kabisa Simba hata kama ikibidi kwenda Gwambina, kwa kile alichoeleza kuwa ilikuwa mchezaji huyo asisaini Simba hata kipindi cha miaka miwili iliyopita ila waliivumilia tu, lakini safari hii hawatasaini kabisa.

Kabla hata masaa 24 hayajapita, taarifa ya maandishi, picha na video ikatolewa katika mitandao rasmi ya kijamii ya klabu ya Simba zikimuonyesha na kumnukuu Tshabalala akikiri kusaini mkataba mpya na klabu hiyo, tena bila ya uwepo wa 'meneja wake' ambaye amekuwa akimpamba mchezaji huyo katika vyombo vya habari

Jambo hilo mimi binafsi nimelitafsiri kama ni dharau na udhalilishaji wa mchezaji kwa meneja wake, na hivyo kuwafanya baadhi ya watu waliokuwa wakifuatilia sakata hili, kufanya dhihaka na kejeli kwa meneja huyo pamoja na waliokuwa wakimuunga mkono, hasa baadhi ya wachambuzi wa soka la Tanzania

Tshabalala asiishie hapo, amuombe radhi meneja wake, na pia asimsahau moja kwa moja hasa kwa mgao walau kidogo wa dau alilotengewa na Simba
Hajamdhalilisha wala kumvunjia heshima bali Mzozo kajivunjia heshima mwenyewe kwa kuongea vitu visivyo na uhalisia.
Mfano hai baada ya zimbwe kuaongeza mkataba mzozo akasema yeye sio meneja wake bali ni mlezi tu, hakukuwa na ofa zozote toka Afrika kusini bali alikuwa anajaribu kumpandisha hadhi, pia hakuna mantiki yoyote mzozo kudai akutane na Mo kwanza kama mameneja wengine ili iweje? Sio wote ni mameneja wazuri, wengine wachumia matumbo tu, rejea kwa msuva kujiunga na Raja bila kumshirikisha meneja aliyetaka kumpeleka uturuki.
 
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?

Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au?
Nimecheka kufa dah hii comment imemaliza. Nafikiri kuna uhusiano flani kati ya rangi ya nguo ni kilichomo kichwani mwa mvaaji
 
Back
Top Bottom