rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Nyinyi ajibu na gadiel Michael mliwapa mikataba mapema, mmekaa kufatilia mambo ya Simba wakati ya kwenu yanawashindaKama Simba Inge waongezea mikataba mapema aya yote yasingetokea mnatakiwa muwahoji viongozi wenu si kuwalaumu wachezaji. Wachezaji mpira ni maisha yao.
AIsee andiko jepesi saana kaka umeandika...nikuulize maswali madogo tu umejuaje kama Kasaini bila kuwepo Manager wake leo?. Isije ikawa umedanganywa na picha zilotumwa mitandaoni ambazo pia haziwaonyeshi watendaji wa simba pia. Pili hivi kwa akili za darasa la nne tu unajua ni nani kasababisha Simba kwa mara ya kwanza tokea kufanya mabadiliko kuamua kukurupuka na kuwasainisha wachezaji Boko na shabalala upesi tena bila mbwembwe tulizozoea za kutoa taarifa mapema? kajibu kwanza hayo maswali kisha uje ufute huu ujinga ulioandika
Mpira wa bongo una vituko sijapata kuona yani mchezaji yuko radhi aende akakae tu benchi simba wakati timu za kucheza zipoAjib na gadiel na kakolanya.
Walivyochagua kukaa benchi Simba sio wajinga[emoji16][emoji16][emoji16].
Kama ni wewe kukaa benchi simba mshahara million 2 na bonus na kucheza mwadui mshahara laki 2 kwa tabu ungechagua wapiMpira wa bongo una vituko sijapata kuona yani mchezaji yuko radhi aende akakae tu benchi simba wakati timu za kucheza zipo
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?Dauda ni simba,watu wa mikia awajajua tu km dauda alikua anawashtua na yeye hao wachezaji mwisho wa msimu wangekua wachezaji wa Yanga,mikia mumshukuru sana mkia mwenzenu sio wa kumlaumu kabisa
Mashabiki wa Yanga wana stress sana.Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?
Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Wewe **** angalia wa kuwaquote upumbavu,tafuta wafiraji **** weweDauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?
Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Mbona mihemko we utopolo, we si ume mquote mshkaji pale juu mbona hajaleta mambo ya kike kama yako, punguza stress mkuu kwani lazima ushabikie yangaWewe ** angalia wa kuwaquote upumbavu,tafuta wafiraji ** wewe
Wana stress kubwa mkuu, huyo mmoja teyari kanitukana hukoMashabiki wa Yanga wana stress sana.
Njia pekee ni kutoa mapovu
Usiwashangae kabisa
.hapa si unawaona wanavyopayuka
[emoji3]
Mpira wa bongo una vituko sijapata kuona yani mchezaji yuko radhi aende akakae tu benchi simba wakati timu za kucheza zipo
Kama ni wewe kukaa benchi simba mshahara million 2 na bonus na kucheza mwadui mshahara laki 2 kwa tabu ungechagua wapi
Wewe umeanza kutukana hapo juu, nyie Mbumbumbu Fc sijui kwanini matusi kwenu mnaona ndio ujanjaMbona mihemko we utopolo, we si ume mquote mshkaji pale juu mbona hajaleta mambo ya kike kama yako, punguza stress mkuu kwani lazima ushabikie yanga
Unaweza nambia nimetukana tusi gani ndugu yangu utopolo? Sie hatuna stress Hadi tutukane hovyo kama nyieWewe umeanza kutukana hapo juu, nyie Mbumbumbu Fc sijui kwanini matusi kwenu mnaona ndio ujanja
Kokote ulipo furahiaWana stress kubwa mkuu, huyo mmoja teyari kanitukana huko
Hajamdhalilisha wala kumvunjia heshima bali Mzozo kajivunjia heshima mwenyewe kwa kuongea vitu visivyo na uhalisia.Kitendo cha Tshabalala kuongeza mkataba wa kuitumikia Simba SC bila kumshirikisha meneja wake, Henry Mzozo, hakuna namna nyingine ya kukielezea zaidi ya kusema ni udhalilishaji wa hali ya juu wa mchezaji kwa meneja huyo.
Mzozo katika siku za hivi karibuni amekuwa akizungumza katika vyombo vya habari kwa ujasiri mkubwa kwamba safari hii hakuna chaguo la 'mchezaji wake' kusalia Simba, na kwamba uamuzi walioufikia ni kuondoka kabisa Simba hata kama ikibidi kwenda Gwambina, kwa kile alichoeleza kuwa ilikuwa mchezaji huyo asisaini Simba hata kipindi cha miaka miwili iliyopita ila waliivumilia tu, lakini safari hii hawatasaini kabisa.
Kabla hata masaa 24 hayajapita, taarifa ya maandishi, picha na video ikatolewa katika mitandao rasmi ya kijamii ya klabu ya Simba zikimuonyesha na kumnukuu Tshabalala akikiri kusaini mkataba mpya na klabu hiyo, tena bila ya uwepo wa 'meneja wake' ambaye amekuwa akimpamba mchezaji huyo katika vyombo vya habari
Jambo hilo mimi binafsi nimelitafsiri kama ni dharau na udhalilishaji wa mchezaji kwa meneja wake, na hivyo kuwafanya baadhi ya watu waliokuwa wakifuatilia sakata hili, kufanya dhihaka na kejeli kwa meneja huyo pamoja na waliokuwa wakimuunga mkono, hasa baadhi ya wachambuzi wa soka la Tanzania
Tshabalala asiishie hapo, amuombe radhi meneja wake, na pia asimsahau moja kwa moja hasa kwa mgao walau kidogo wa dau alilotengewa na Simba
Dauda ni Simba ndio Ila hajawahi kuitakia mema Simba, na saiz ana hasira Sana kutokana na deal la vunjabei na Simba kuhusu jezi, naww nyani Kwa akili zako za usiku unaamini kuwa kuna mchezaji ambae anapata namba Simba atatoka aende Yanga?
Hivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au? Mlianza kuambiwa Morrison mchezaji wenu, mkaambiwa shishimbi kasaini mkaamini,mkaja Kwa Chama mkashupaza shingo weee ikaisha kimya kimya, mkaambiwa zimbwe tena bado mnaamini Tu, akili za mashabiki wa Yanga zinashangaza sana
Nimecheka kufa dah hii comment imemaliza. Nafikiri kuna uhusiano flani kati ya rangi ya nguo ni kilichomo kichwani mwa mvaajiHivi nyie akili zenu zipo kwenye Hilo tundu huko Nyuma ambalo waga mmeweka Huo mwiko wenu au?
Mkuu hawa ndugu zangu akili zao wanazijuaga wenyeweNimecheka kufa dah hii comment imemaliza. Nafikiri kuna uhusiano flani kati ya rangi ya nguo ni kilichomo kichwani mwa mvaaji
Hahahah!!! Huu mchezo hauitaji hasira ndugu.Wewe ** angalia wa kuwaquote upumbavu,tafuta wafiraji ** wewe
Hahah!!! Mjomba ana hasira sana anaweza kunya boga.Mbona mihemko we utopolo, we si ume mquote mshkaji pale juu mbona hajaleta mambo ya kike kama yako, punguza stress mkuu kwani lazima ushabikie yanga