Tshekedi, huenda akaingia mkataba wa kimadini na US, katika kulinda imaya ya Kongo!

Tshekedi, huenda akaingia mkataba wa kimadini na US, katika kulinda imaya ya Kongo!

Unadhani USA haipo hapo Congo sasa hivi ? Hivi unajua waliomuua Lumumba na kumfanya Mobuto kigaragosi wao pamoja na Belgium ni USA wakipitia CIA ?

Kweli afrika tunahitaji emancipation kutoka kwenye mental slavery kutambua kwamba USA and the likes hawawezi wakakusaidia, and its about time tukasolve matatizo yetu wenyewe..., Na hapo USA sio kwamba anamsaida raia wa Congo anayeendelea kuteseka bali vigaragosi wao watakaohakikisha maslahi yao....

Kimsingi akina USA ndio hao hao arcthectis wa vita hiyo
 
Kweli hili sisi linatushinda kufanya? Au hatujui nafasi yetu katika ukanda huu? Sisi tuna rasilimali vyombo vya usalama, tuna rasilimali kuaminiwa, tuna rasilimali ushawishi. Rasilimali zote hizo tunazo, lakini hali inaharibika DRC sisi utafikiri hatupo. Kwa hili tumeonesha mfano mbaya sana
Mnaaminiwa na nani mkuu!
 
Kweli hili sisi linatushinda kufanya? Au hatujui nafasi yetu katika ukanda huu? Sisi tuna rasilimali vyombo vya usalama, tuna rasilimali kuaminiwa, tuna rasilimali ushawishi. Rasilimali zote hizo tunazo, lakini hali inaharibika DRC sisi utafikiri hatupo. Kwa hili tumeonesha mfano mbaya sana
Kipropaganda za ccm tuko kama usemavyo, lakini uhalisia ni tofauti kabisa. Kama kweli rais wa DRC kasema hivyo, huo ni ushahidi kuwa jumuiya ya Africa Mashariki ni ya wapiga porojo.
 
Kipropaganda za ccm tuko kama usemavyo, lakini uhalisia ni tofauti kabisa. Kama kweli rais wa DRC kasema hivyo, huo ni ushahidi kuwa jumuiya ya Africa Mashariki ni ya wapiga porojo.

Historia inasema hivyo, si kwa mujibu wa ccm. SADC ina nguvu katika hili. Wamezembea tu kipindi hiki.
 
Historia inasema hivyo, si kwa mujibu wa ccm. SADC ina nguvu katika hili. Wamezembea tu kipindi hiki.
Wangalau jumuiya Ecowas kwa Afrika ina nguvu. Hizi nyingine ni za wapiga porojo tu kwenye migogoro ya maeneo yao ikiwemo AU yenyewe.
 
Wangalau jumuiya Ecowas kwa Afrika ina nguvu. Hizi nyingine ni za wapiga porojo tu kwenye migogoro ya maeneo yao ikiwemo AU yenyewe.

Miaka ya karibu imekuwa shida sana. Kule Msumbiji kaskazini kumekuwa na vita bila suluhu
 
Miaka ya karibu imekuwa shida sana. Kule Msumbiji kaskazini kumekuwa na vita bila suluhu
Mkuu ndio maana nimesema hizi jumuiya ni bure kabisa. Ww unaniambia habari za historia wakati uhalisia wa sasa unakataa. Hili jeshi letu unaloamini lina nguvu, nakuambia kwa sasa ni siasa tupu, ukiwapeleka hapo DRC kwenye vita utawaonea huruma, yaani litatia aibu. Wao wako vizuri kwenye kupambana na raia wasio na silaha, na sio vinginevyo.
 
Ilo dili ni baya kwa Tanzania. Ngoja nikwambie kwanini

Marekani baada ya kusikia sisi Tanzania tunajenga SGR itakayounganisha Kongo na bandari ya dar es salaam. Walichokiona wao ni kwamba reli hiyo itasaidia madini ya kongo yawe yanasafirishwa kwenda China.

Kwahiyo wakajadiliana wakasema tutengeneze reli ya kisasa kama ile waliojenga watanzania kwa fedha zao wenyewe lakini iunganishe madini ya Kongo na bahari ya atlantic. Kwa hiyo wakakubaliana tuzungumze na viongozi wa Angola lakini mmoja wao akawaambia, Angola wale wana historia ya ushirikiano na urusi. Wakafanya utafiti wao wakajua Angola kuna kizazi kipya cha viongozi amabacho hakina ushirikiano na Urusi. Basi wakamuita rais wa Angola Joao Laurenco wakamuambia tujenge hiyo reli wanaiita Lobito corridor. Itakayoanzia kwenye bandari ya Lobito nchini Angola mpaka kwenye eneo lenye utajiri wa madini nchini DRC.

Unakumbuka hadi rais Biden alienda Luanda hicho ndicho walichokuwa wanajadili
Kwa tanzania ni habari mbaya kwa uchumi wetu, watazoa watapitia lobito!
 
Mkuu ndio maana nimesema hizi jumuiya ni bure kabisa. Ww unaniambia habari za historia wakati uhalisia wa sasa unakataa. Hili jeshi letu unaloamini lina nguvu, nakuambia kwa sasa ni siasa tupu, ukiwapeleka hapo DRC kwenye vita utawaonea huruma, yaani litatia aibu. Wao wako vizuri kwenye kupambana na raia wasio na silaha, na sio vinginevyo.

Sina uhakika kama limefikia hatua hiyo
 
ili US Ifaidike na DRC Ifaidike, badala ya kuwa mali inaibiwa tu bure bure na wahuni,

TOKA MAKTAB:

04 December 2024
Benguela, Angola

Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Isdori Mpango kumuwakilisha rais Samia Hassan, uzinduzi Lobito Corridor Angola

1740352220256.jpeg

Dr. Philip Isidori Mpango amewasili Benguela nchini Angola kumuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa mradi wa Lobito Corridor ambao marais Joe Biden wa Marekani, rais wa Angola waheshimiwa João Manuel Gonçalves Lourenço , Rais Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DR Congo, Rais Hakainde Hichilemawa Zambia wote watakuwepo katika hafla hiyo inayofuatiliwa na ni gumzo ulimwenguni kote kuhusu uwekezaji mkubwa wa Marekani kuipiku China katika eneo hili la bara la Afrika.

Leo tarehe 04 December 2024 Rais Biden atakwenda Lobito, Angola kwa Mkutano wa Kilele kuhusu uwekezaji wa miundombinu katika eneo hilo la ukanda / ushoroba wa Lobito Corridor na viongozi kutoka Angola, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Tanzania na Zambia.


View: https://m.youtube.com/watch?v=SS1DCxUVW1g
Rais wa Marekani Joe Biden anahitimisha ziara yake ya mwisho katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambako alipigia debe mradi wa reli unaoungwa mkono na Washington ambao unaunganisha mji wa bandari wa Angola wa Lobito na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Zambia.

Mradi wa reli ya Lobito corridor utakavyokatiza, utakaofaidika na mapesa matrilioni ya shilingi za kitanzania ambazo zimetangazwa na kuhakikishiwa wakati wa a ziara ya rais Joe Biden nchi ya Angola, na pia mbali ya rais wa Angola pia watakuwepo viongozi wa DR Congo, Tanzania na Zambia wakati wa uzinduzi wa mradi huo leo .
1740352241725.jpeg

Mradi reli wa Lobito Corridor
 
Mkuu ndio maana nimesema hizi jumuiya ni bure kabisa. Ww unaniambia habari za historia wakati uhalisia wa sasa unakataa. Hili jeshi letu unaloamini lina nguvu, nakuambia kwa sasa ni siasa tupu, ukiwapeleka hapo DRC kwenye vita utawaonea huruma, yaani litatia aibu. Wao wako vizuri kwenye kupambana na raia wasio na silaha, na sio vinginevyo.
Bwana tindo, ulikuwepo kwenye mission ya DRC, Punguza mihemko jeshi letu ni imara sana zaidi ya sana, achana na stori za vijiwe vya kahawa
 
Jeshi imara la South Afrika tangu 2016 misheni zake Congo zimeshindwa pamoja na kuwa wana zana kali za kisasa :

View: https://m.youtube.com/watch?v=x6BYYyukjDI
Hii 𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 ilirushwa mara ya kwanza 𝟭𝟴 𝗦𝗲𝗽𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗿 𝟮𝟬𝟭𝟲.

Akisindikizwa na helikopta maarufu ya Rooivalk mfano wa ngome yenye ulinzi uliosheheni silaha kali , Carte Blanche anasafiri hadi kambi ya kijeshi iliyotekwa hivi majuzi ndani ya misitu ya tropiki kaskazini mwa Beni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

John Webb anapata ruhusa ya kipekee kuvifikia vituo vya mstari wa mbele vya jeshi la South Africa SANDF katika eneo maarufu la liliopachikwa jina la kuogofya la Pembe Tatu ya Mauti (Triangle of Death) katika Mkoa wa Kivu Kaskazini tunapowatembelea wanajeshi wetu walio mstari wa mbele katika vita dhidi ya waasi wa ADF.

Tunakutana na wanajeshi ambao uMauti umeshindwa kuchukua roho zao katika uwanja wa vita na vile vile katika majukumu muhimu ya usaidizi wa mapigano, na marubani wa SANDF wanaofanya kazi kama sehemu ya kitengo cha anga cha Umoja wa Mataifa ambao wamekuza sifa ya ustadi na ujasiri wa kufika maeneo haraka kupambana na adui.

Carte Blanche pia anakutana na Jenerali wa SANDF Derrick Mgwebi ambaye aliteuliwa kuongoza operesheni ya jumla ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini DRC - ambayo bado ni Misheni kubwa zaidi ya kulinda amani duniani.
 
Sasa Hao USA ndio watazoa kila kitu, ni sawa na kumpa fisi kulinda Bucher.

Hawa wenzetu mnawamudu, na hawana Technologia.

Mkimkabidhi Marekani, atabeba na udongo(Makinikia).
 
Mimi nadhani kama kuifanya Congo iwe na amani ni kuifanya iwe jimbo la Amerca ni bora iwe hivyo sasa kunafaida gani ya kujiita nchi huru wakati tangu wamepata uhuru raia hawajawahi kuwa na amani. Mimi ningekuwa Rais wa Congo ningeikabidhi nchi kwa Amerca na mimi niwe gavana kwa ajili ya kuwapa amani raia wangu kuliko kutawaliwa na vikundi vya watu na mamluki, yaani kutawaliwa na mbeligiji na muafrika mwenzako ni mbaya sana kuliko kuwa chini ya kiranja mkuu.
 
Historia inasema hivyo, si kwa mujibu wa ccm. SADC ina nguvu katika hili. Wamezembea tu kipindi hiki.
Mimi nadhani kama kuifanya Congo iwe na amani ni kuifanya iwe jimbo la Amerca ni bora iwe hivyo sasa kunafaida gani ya kujiita nchi huru wakati tangu wamepata uhuru raia hawajawahi kuwa na amani. Mimi ningekuwa Rais wa Congo ningeikabidhi nchi kwa Amerca na mimi niwe gavana kwa ajili ya kuwapa amani raia wangu kuliko kutawaliwa na vikundi vya watu na mamluki, yaani kutawaliwa na mbeligiji na muafrika mwenzako ni mbaya sana kuliko kuwa chini ya kiranja mkuu.
Marekani ni kiranja mkuu wa utapeli kwa sasa hasa chini ya rais Trump.😁
 
TOKA MAKTAB:

04 December 2024
Benguela, Angola

Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Isdori Mpango kumuwakilisha rais Samia Hassan, uzinduzi Lobito Corridor Angola

View attachment 3247293
Dr. Philip Isidori Mpango amewasili Benguela nchini Angola kumuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa mradi wa Lobito Corridor ambao marais Joe Biden wa Marekani, rais wa Angola waheshimiwa João Manuel Gonçalves Lourenço , Rais Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DR Congo, Rais Hakainde Hichilemawa Zambia wote watakuwepo katika hafla hiyo inayofuatiliwa na ni gumzo ulimwenguni kote kuhusu uwekezaji mkubwa wa Marekani kuipiku China katika eneo hili la bara la Afrika.

Leo tarehe 04 December 2024 Rais Biden atakwenda Lobito, Angola kwa Mkutano wa Kilele kuhusu uwekezaji wa miundombinu katika eneo hilo la ukanda / ushoroba wa Lobito Corridor na viongozi kutoka Angola, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Tanzania na Zambia.


View: https://m.youtube.com/watch?v=SS1DCxUVW1g


Mradi wa reli ya Lobito corridor utakavyokatiza, utakaofaidika na mapesa matrilioni ya shilingi za kitanzania ambazo zimetangazwa na kuhakikishiwa wakati wa a ziara ya rais Joe Biden nchi ya Angola, na pia mbali ya rais wa Angola pia watakuwepo viongozi wa DR Congo, Tanzania na Zambia wakati wa uzinduzi wa mradi huo leo .
View attachment 3247294
Mradi reli wa Lobito Corridor

Hiyo lobito corridor ina vipande viwili. Kimoja ndio hicho ulichoonesha hapo kitakachounganisha Zambia na Tanzania pia. Lakini kingine hakipiti zambia kinatoka lobito kwenda moja kwa moja mashariki ya Kongo eneo lenye utajiri wa madini. HIchi kipande cha pili sasa ndiyo kimepewa kipaumbele kikubwa zaidi kujengwa.
 
Back
Top Bottom