INAUZWA Tshirt printer inauzwa - Heat press machine heavy duty

INAUZWA Tshirt printer inauzwa - Heat press machine heavy duty

No powder dtf hiyo sijaijua kaka.. dtf hatari sana ila tatizo spares na white
DTF Technology mpya hiyo.
No powder DTF ni technology mpya McCloud technology kampuni ya kimarekani wamezindua week iliyopita.

Wenyewe wamekuja na special pre-treated DTF ink.

Changamoto kubwa ya DTF ni ink clogging hasa ile White ink. Inahitajika kutumika mara kwa mara au na kile kifaa cha kusafishia ambacho sasa itasababisha head isidumu.

Pia unaweza tumia Epson l1800 au 800 serious na Epson nyingine nyingi.

Ila hizo nilizotangulia kuzi mention kidogo speed sio nzuri sana, naweza recommend kutumia Epson xp15000 ambayo ipo vizuri.

Changamoto nyingine ni icc profile za hizi printer maana what you see on screen inaweza toka tofauti.

Ila hao FUNSUN WAPO VIZURI KWENYE MACHINE ZAO.

Kiujumla ni technology mpya hii.
 
Anaeanza akiwa na heat press tu anaweza fanya kazi yeyote.. maana anatumia mbinu kama za mwanachuo hasiye na laptop ama printer.. madesa anaenda yatolea copy stationary. Na computer anaweza tumia za internet cafe.

Ukiwa na laptop na heat press hapo umejisaidia sana. Maana hutakwama kazi yoyote. Maana laptop unatumia ku design kazi.. then unaenda kwa watu wenye mashine kama hizi unaprint logo zako.. then hizo logo unarudi home kwenda kuzihamishia kwenye tshirts plain kwa kutumia heat press
Nimekupata mkuu, na kama nikiwa na heatpress, laptop na printer hizi za epson zinazouzwa 200k to 1m haitafaa?? I mean badala ya kwenda kwa watu wenye mashine kama hizo.
 
Nimekupata mkuu, na kama nikiwa na heatpress, laptop na printer hizi za epson zinazouzwa 200k to 1m haitafaa?? I mean badala ya kwenda kwa watu wenye mashine kama hizo.

Zinafaa. Wengi ndio wanatumia epson ulizotaja. Hii mashine kubwa ni style ya kisasa ambayo inapendezesha dark tshirts zaidi.

Hii mashine kubwa ni modern technology ndio maana tunaitumia pia.. ila hata epson tunatumia sana miaka na miaka
 
inkjet ya kawaida moja unaweka kwa ajili ya sublimation( sublimation ink) nyingine kawaida kwaajili ya transfer paper (dye ink)
sijakuelewa mkuu sublimatiion ink/ dye ink ni wino wa kawaida kama wino hizi zingine za printa za kawaida au zikoje zenyewe?
 
sijakuelewa mkuu sublimatiion ink/ dye ink ni wino wa kawaida kama wino hizi zingine za printa za kawaida au zikoje zenyewe?
-Kwa inkjet kuna sublimation, dye na pigment ink. Ingawa siku hizi hadi wa solvent tunatumia lakini kuna issue chache za kudeal nazo unapo tumia solvent ink.

-Kwa large format kuna sublimation na solvent ink.

So sublimation ink ni wino unaojitegemea ambao ni special kwaajili ya kutransfer image to items kama t-shirt, vikombe, chupa, picha za frame n.k.
 
-Kwa inkjet kuna sublimation, dye na pigment ink. Ingawa siku hizi hadi wa solvent tunatumia lakini kuna issue chache za kudeal nazo unapo tumia solvent ink.

-Kwa large format kuna sublimation na solvent ink.

So sublimation ink ni wino unaojitegemea ambao ni special kwaajili ya kutransfer image to items kama t-shirt, vikombe, chupa, picha za frame n.k.
asante sana kunielezea kwa mapana mmaana nilikuwa sifahamu mm natengeneza batik na wino wa batik dye ink sasa imenichanganya kidogo asante kunifafanulia
 
asante sana kunielezea kwa mapana mmaana nilikuwa sifahamu mm natengeneza batik na wino wa batik dye ink sasa imenichanganya kidogo asante kunifafanulia
Tupo pamoja.
Hii sublimation ndio inatumika hata kwenye viwanda vya textile.
Unaprint artwork kwenye sublimation paper kwa kutumia sublimation printer then una transfer kwa heatpress au electric iron/pasi.
 
Tupo pamoja.
Hii sublimation ndio inatumika hata kwenye viwanda vya textile.
Unaprint artwork kwenye sublimation paper kwa kutumia sublimation printer then una transfer kwa heatpress au electric iron/pasi.
ukiwa na printer za kawaida kama za hp, laserjet au epson huwezi kutumia kwenye sublimation paper?
 
ok na je printa zake zinapatikana hapa au mpk uagize nje na zinaitwaje?
Epson hizi hizi ikiwa mpya hujaweka wino, nunua ule wa sublimation ndio utumie kisha itakuwa tayari kwa matumizi. Hapo itakubidi ununue sublimation transfer paper ambazo zipo za dark na light.

Kisha unaweza print. Unapo print lazima image uprint in mirrored mode.

Then uta transfer image kwa heatpress sehemu unayotaka uiweke kama ni t-shirt, au mugs nk
 
Epson hizi hizi ikiwa mpya hujaweka wino, nunua ule wa sublimation ndio utumie kisha itakuwa tayari kwa matumizi. Hapo itakubidi ununue sublimation transfer paper ambazo zipo za dark na light.

Kisha unaweza print. Unapo print lazima image uprint in mirrored mode.

Then uta transfer image kwa heatpress sehemu unayotaka uiweke kama ni t-shirt, au mugs nk
Kama ni used imetumika na wino mwingine inatakiwa ink tank system (head hadi nozzle zile) zisafishwe then ujaze wino wa sublimation.

Ukienda kwa wanao repair watasafisha. Kama haujui peleka huko.
 
Mimi nauza heat press pamoja na vifaa vyote vya kuprintia mug, kofia na sahani za size ndogo na kubwa pamoja na Epson L3111 vyote kwa Tshs laki saba (700,000/=). Nina hitaji muhimu sana nataka pesa.

Pamoja na hivyo, nakupatia baking paper maalum kwa ajili ya kufanyia transfer kwenye material unayoprint.

Nahitaji pesa by kesho.
 
1. Blank tshirt bei ina vary kutokana na kitu kinaitwa gsm pia material yaliyotumika ambapo polister ni cheap kuliko 100% cotton, gsm ( ni kama uzito wa tshirt kiswahili swahili) bei inarange kuanzia 3000 per pcs mpaka 10,000 per pcs kwa round tshirts.. na polo pia kuanzia 4000 per pcs mpaka 15,000 per pcs

2. Ukinunua hii mashine unahitaji printer ya kuprintia transfer paper.. inkjet ama laser jet ...zinaanzia laki 3 mpaka milioni kutokana na brand na ukubwa wa printer, pia unahitaji computer yeyote ya kutengenezea graphic ya unachoprint

3. Heat transfer paper kwa bongo bei zina vary kutokana na brand.. transfer paper rim yake bei inacheza kuanzia 130,000 mpala 160,000 kwa rim. Kwenye rim kunakiwa na 100 pcs
Mkuu kuna transfer paper za sh 130,000 Hadi 160,000 ,Sasa mhusika faida atapata vipi?, Maana t-shirt wanaprint kwa bei isiyozidi 5000,na karatasi zimo 100,bado wino,

Transfer paper Mimi najua ni sh 15,000 elfu zimo 100,au Ni fake
 
sylicone paper ni non stick paper kusaidia wino usibaki kwenye heat press ama tshirt isiungue na joto la heat press, ni karatasi isiyoungua..

karatasi zinazofanya kazi kama hizi zinauzwa super market kwa jina la baking paper.. karatasi za kuokea mikate, so hata ukinunue baking paper itafanya kazi..

ama unaweza agiza aliexpress special ya heat press haifiki hata elfu 30 mpaka ikufikie mkononi kila kitu.

kuhusu namba na majina ni unanunue herufi na namba za vinly kwa bei ya jumla.. kisha unakuwa unaprint tu.. zile namba huwezi kuzitengeneza wewe mwenyewe.. unless uwe na mtaji mkubwa sana ununue vinly plotter machine.. ila watu wote wanaoprint Tanzania namba na herufi uwa wanazinunua separate kwa bei ya jumla
Mkuu Namba na herufi zinauzwa wapi na kwa bei gani?
 
Back
Top Bottom