Tshisekedi amshutumu Joseph Kabila kwa kuwafadhili M23 ili kumpindua

Tshisekedi amshutumu Joseph Kabila kwa kuwafadhili M23 ili kumpindua

Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka sita iliyopita Tshisekedi hakushinda.
Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila.

Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa.
Halafu Tshisekedi mwenyewe alisema hakushinda Uchaguzi.
Lakini baada ya impasse (sintofahamu) ya siku chache,Tshisekedi akatangazwa kuwa president elect
 
Blame everyone for your failure,kwanini asiongee na M23.
Yani ilikuwa issue ndogo tu ya kuongea.
Kwamba bwana eeh nchi tumebarikiwa madini kibao tuungane tupige maokoto tujenge nchi na kulinda mipaka.
Ila kama kawaida yetu watu weusi yakaanza kubaguana kikabila. Mwenye pua pana anamuambia mwenye pua mchongoko wewe sio mcongo. Wajanja kina PK, Mu7 na Magharibi wakapitia kwenye mwanya huo huo.
 
Kama ni hivyo,tz hapo wanaangalia tu,maana kabila ni mtanzania wa ubatizo
 
Uchaguzi wa Congo DRC wa mwaka 2018 ulikuwa ni fursa ya dhahabu ya Congo kurekebisha mambo mengi sana na kuipa nchi hiyo muelekeo sahihi wa kitaifa kwa mara ya kwanza ila uroho wa madaraka wa Kabila kulinda maslahi yake na kutoheshimu matakwa ya raia ukaikosesha Congo fursa hiyo.

Katika uchaguzi wa DRC wa mwaka 2018 ni wazi kwamba Martin Fayulu alishinda uchaguzi huo kwa kura nyingi sana lakini Kabila akaingilia Tume ya Taifa ya uchaguzi(CENI) kumsimika Tshisekedi aliyemuahidi atakuwa kibaraka wake.

Martin Fayulu alikuwa ni mgombea aliyeweza kuunganisha makundi mengi tofauti ya Congo, alikuwa na ushawashi mkubwa, huenda angeweza kuipa Congo ahueni kwa mara ya kwanza tofauti na Tshisekedi aliyeingizwa kwa msaada wa Kabila kupora uchaguzi.
 
Uchaguzi wa Congo DRC wa mwaka 2018 ulikuwa ni fursa ya dhahabu ya Congo kurekebisha mambo mengi sana na kuipa nchi hiyo muelekeo sahihi wa kitaifa kwa mara ya kwanza ila uroho wa madaraka wa Kabila kulinda maslahi yake na kutoheshimu matakwa ya raia ukaikosesha Congo fursa hiyo.

Katika uchaguzi wa DRC wa mwaka 2018 ni wazi kwamba Martin Fayulu alishinda uchaguzi huo kwa kura nyingi sana lakini Kabila akaingilia Tume ya Taifa ya uchaguzi(CENI) kumsimika Tshisekedi aliyemuahidi atakuwa kibaraka wake.

Martin Fayulu alikuwa ni mgombea aliyeweza kuunganisha makundi mengi tofauti ya Congo, alikuwa na ushawashi mkubwa, huenda angeweza kuipa Congo ahueni kwa mara ya kwanza tofauti na Tshisekedi aliyeingizwa kwa msaada wa Kabila kupora uchaguzi.
Fayulu asingeweza zuwia ulafi wa kigali, kabila aliacha watu wake kwenye vyombo vya ulinzi na usalama,hapo bukavu jeshi halijapigana limeondoka tu
 
Kama ni hivyo,tz hapo wanaangalia tu,maana kabila ni mtanzania wa ubatizo
Yule mbongo tu. Siku mambo yakikaa wazi kabisa tutaona mengi.. hapo congo mafogo wengi kutoka nchi mbalimbali wananeemeka na hizo fujo.. usishangae hadi wabongo wapo.
 
Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka sita iliyopita Tshisekedi hakushinda.
Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila.

Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa.
Halafu Tshisekedi mwenyewe alisema hakushinda Uchaguzi.
Lakini baada ya impasse (sintofahamu) ya siku chache,Tshisekedi akatangazwa kuwa president elect
Badala apambane na M23/RDF ili aiokoe serikali yake, ameamua kuanzisha vita na Mstaafu.

Tresor Mandala
 
Fayulu asingeweza zuwia ulafi wa kigali, kabila aliacha watu wake kwenye vyombo vya ulinzi na usalama,hapo bukavu jeshi halijapigana limeondoka tu
Drc ipo uchi kabisa kwa intelijensia ya Rwanda...
 
Back
Top Bottom