Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Anaeza kuwa sahihii au sio sahihii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Katiba inamruhusu Kabila kugombea tena miaka ijayo ?...Anaeza kuwa sahihii au sio sahihii
Ndio maaana nikasema inaeza kuwa kweli au sio kweli inategemea na info alizonazo mtoa tuhumaKwani Katiba inamruhusu Kabila kugombea tena miaka ijayo ?...
M23 inamnufaishi vipi Kabila?
Nguvu ya watu ni nguvu ya Mungu sasa anavuna alichopandaFrancis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa.
Halafu Tshisekedi mwenyewe alisema hakushinda Uchaguzi.
Tshekedi kuonyesha udhaifu mno kuliko hata Kabila.Ndio maaana nikasema inaeza kuwa kweli au sio kweli inategemea na info alizonazo mtoa tuhuma
Hii hata Mimi limenishangaza , nadhani anamtuhumu Kabila Kwa kushindwa kwakeTshekedi kuonyesha udhaifu mno kuliko hata Kabila.
Tshekedi hana hata nguvu ya kidiplomasia Ili awashawishi wakubwa wa Dunia wambane PK aondoe majeshi huko Drc kama serikali ya Kabila ilivyofanya mwaka 2012/2013, pia Tshekedi kashindwa kushawishi wababe wa kikanda kama Angola ziisaidie Drc kiulinzi.
hv katiba yao inaruhusu hiyo movement ya m23 inayoendelea , usijitoe ufaham ? hv nan wakuhoji iwapo Kabila akirudishwa madarakani? ( ingawaje maslai ya Kabila yanaeza isiwe madaraka )Kwani Katiba inamruhusu Kabila kugombea tena miaka ijayo ?...
M23 inamnufaishi vipi Kabila?
ttzo la waswahili tunatumia akil ndogo kujibu akili kubwa , huyo Anajuwa kuliko wew , wew unatumia akil ndogo kujibu hoja zilizofanyiwa utafiti kabisa , huon hata Nanga amejiunga na M23 ambao walikuwa maadui siku za nyuma huez elewa anachosema jamaa ni kwelHii hata Mimi limenishangaza , nadhani anamtuhumu Kabila Kwa kushindwa kwake
Pichani, ni JKK na Cornell Nangaa,hapo JKK ni Rais wa DRC na Nangaa , Mwenyekiti wa CENI
hv unahisi Rwanda anauwezo wa kufanga hayo yote pekee yake ? kumbuka hilo jeshi la DRC limekuwa likipambana na vikosi zaid ya 100 kwa miaka yote hii 20 , iweje leo waje wapoteze kirahisi mno dhidi ya kikundi kimoja , waafrika akil zetu zimelala ,, tunajadili mambo kwa hisia na uhalisia , Jeshi la DRC linaweza kuwa bora kuliko letu , iwapo Tz tutapitia msoto huo wa Drc naamin ni miaka 5 inatosha kuanguka kwa serikali mazima na nchi kubakia chini ya waasi mazima maana tuna jeshi lenye njaa kuliko ukanda huu , polis ukimpa hata buku anakulamba miguuTshekedi kuonyesha udhaifu mno kuliko hata Kabila.
Tshekedi hana hata nguvu ya kidiplomasia Ili awashawishi wakubwa wa Dunia wambane PK aondoe majeshi huko Drc kama serikali ya Kabila ilivyofanya mwaka 2012/2013, pia Tshekedi kashindwa kushawishi wababe wa kikanda kama Angola ziisaidie Drc kiulinzi.
Hahahaha... ahsante km unaona sielewittzo la waswahili tunatumia akil ndogo kujibu akili kubwa , huyo Anajuwa kuliko wew , wew unatumia akil ndogo kujibu hoja zilizofanyiwa utafiti kabisa , huon hata Nanga amejiunga na M23 ambao walikuwa maadui siku za nyuma huez elewa anachosema jamaa ni kwel
wew upo sahihi , Kabika lzm anahusika japo , tuhuma za Tshiked zinaweza kuwa kwel au sio kwel mpk ushahidi ukiwekwa mezan ndo zitakuwa kwel ila vice versa is trueNdio maaana nikasema inaeza kuwa kweli au sio kweli inategemea na info alizonazo mtoa tuhuma
Mkuu niliwahi kumuuliza au kuuliza hili humu JF ,je ya FARDC .. naona nimepata sapotihv unahisi Rwanda anauwezo wa kufanga hayo yote pekee yake ? kumbuka hilo jeshi la DRC limekuwa likipambana na vikosi zaid ya 100 kwa miaka yote hii 20 , iweje leo waje wapoteze kirahisi mno dhidi ya kikundi kimoja , waafrika akil zetu zimelala ,, tunajadili mambo kwa hisia na uhalisia , Jeshi la DRC linaweza kuwa bora kuliko letu , iwapo Tz tutapitia msoto huo wa Drc naamin ni miaka 5 inatosha kuanguka kwa serikali mazima na nchi kubakia chini ya waasi mazima maana tuna jeshi lenye njaa kuliko ukanda huu , polis ukimpa hata buku anakulamba miguu
Sawa sawa ,na katika picha nimeweka JKK na Cornell Nangaa enzi hizowew upo sahihi , Kabika lzm anahusika japo , tuhuma za Tshiked zinaweza kuwa kwel au sio kwel mpk ushahidi ukiwekwa mezan ndo zitakuwa kwel ila vice versa is true
Huyu ni kulakula hata body language inaonyesha.Tshikedi mwenye akili alikuwa baba
Aongee nao kitu Gani?Na M ventrwaa.
Jinsi ya kusitisha Vita na kuleta Amani Mashariki mwa KongoAongee nao kitu Gani?