Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... CONGO IS A PHOENIX!
Out of ashes a savior of Congo shall rise!
Out of ashes a savior of Congo shall rise!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mtu aliye kuwa kilaza kwenye mambo ya nchi nyingine ni Magufuri.JPM angekuwepo hiyo vita ingesimama!
Kwa aliyeko,mmmhhh
Si ndio hizo kawalipa SA, 🇧🇮 na wale wazunguSi angekodi wanajeshi wengi wa kizungu?
Nini matumizi ya pesa za madini?
Vip Russia na China zilizotajwa na EU kwamba toka machafuko yaanze wameongezeka?Kamuachia kagame nchi kiulaini
Hana lolote huyu sema Shekedi akili hana. Njoo DSM nenda cape town fanya lobbing ya maana. Huko German Tuma balozi zako. Wenyewe huko wameoagawa na Putin we unapelekanshida zako huko. Hapo hapo DRC inampigia kura jmaa wa Dibouti badala ya Raila wa East African Community mwenzake naiona Congo haiwez uzandiki nanhaina intelligence ya maana.gen makenga kwenye ubora wake nyikani
Kakimbilia UjerumaniDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Anawakimbiaje raia wake,akomae tu kama mchekeshaji wa ukraineHakuna namna, ameshaupoteza uraisi; inabidi abebe pesa aende akaishi uhamishoni kama rais wa Syria alivyofanya.
Yuko bize kuiba hela za nchi tuDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Nafasi ya kushinda ni ndogo sana, vinginevyo kama mkutano uliofanyika ulikuwa na nguvu, ungezuia hili jambo.Anawakimbiaje raia wake,akomae tu kama mchekeshaji wa ukraine
🤣🤣🤣🤣cha Kitchen partyKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Ndicho wanachojua Marais wa Afrika wanafanana.Yuko bize kuiba hela za nchi tu
Ni sahahi kugawa madini ya nchi Yako ili uendelee kulindwa ubaki madarakani? Mi naona kama Hana mipango yoyote yenye maslahi na Kongo ni Bora achukue tu Hela akimbie nchi awaachie wenzake.Ukishindwa kabisaa nenda kwa Trump toa madini upate ulinzi. Full stop. Mpe cobalt Trump akubakishe madarakani yeye anaenda kumuita Mshtk wa ICC wakati USA ashaipinga nani ata enforce Sasa Shekedi hana maarifa mengi na wenye maarifa wamemuacha Hadi huruma wakati mwingine
Ili kujua alichopaswa kufanya Samia,, elewa Nyerere alichokifanya Uganda, Msumbiji, Angola,, SA mpaka Namibia. Lakini kama hukuwa umezaliwa wakati huo huwezi kujua lolote.ulitaka afanye nini?