Hawajabadilisha hawa wavietnam nami siweki bundle mpaka kielewekeeTalk to your neigbour HALOTELmwambie chenga mbili asijione top juu ya neymar
RudiNyumbaniKumenoga hautojuta.
Kesho naisaka kwa udi na uvumba aisee
Option ya kununua vifurushi kwenye T- Pesa mmeitoa halafu mnatuambia nini nyie watu
Naomba namba ya huyo dada kwenye bango hapo juu...Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Huyu ndugulile anapaswa ajiuzulu kwa taharuki aliyoiibua kwa taifa letu
Karibu sana.NI sahihi wa mimi kurenew line yangu ya TTCL sasa
Asante sana kwa ushauri wako.Ttcl punguzeni zaidi data hiyo ni biashara ili mkiweza mteke soko hilo baadae mnatoa na promotion za kumwaga siku mkiongeza kidogo wananchi hawatapiga kelele na siku za sikukuu mnakua na promotion yenu ni kama hapa Telcom SA wanakimbiza mno wana data za mwezi za bei nzuri kwa hiyo mzunguko upo juu hao MTN na Voda wameweka mpaka watu wa kuzunguka mtaani ila hiyo telkom ni kiboko...
Tumien fursa sio muwe wamwisho kila sikuHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058