TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
- Thread starter
-
- #2,141
TTCL tumeenea Tanzania nzima, ni spidi kali ya 4G ukiwa na laini yako pendwa ya TTCL.Vip mtandao wenu uko vizuri kwa huku Moshi nataka nisajili laini ya TTCL
T - pesa ni changamoto unajikuta unatoa hela ukiweka namba ya siri inaandika time out ukipiga huduma kwa wateja unaambiwa muamala hujaenda unaambiwa toa tena napo inakua vile vile mwisho wasiku unaamua kuhailisha ndo unaona text zinakuja nyingi za miamala uliyo fanya unajikuta umetoa pesa zaidi ya mara tano ukiwapigia huduma kwa wateja wanajibu hovyo tu.Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali.....
Karibu sana.Nyumbani kushanoga[emoji23][emoji23][emoji23]
Line yenu network inapatikana mjini tuHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Kasulu Kigoma network ya laini zenu inasumbua sijui kwa nini, boresheni huduma ya speed ya iternet angalau isome 4GHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Inasumbua mkuu, "bando tam" lililokuwa linanunuliwa na Tpesa (sh. 1000 gb 1.2gb na dk 10 mitandao yote kwa siku 5 wamelifuta...hahaha kampuni ya umma inafanya kazi kwa kuwaiga kampuni binafsi! Aibu!Bado inasumbua au
Aisee leo nmenunua Luku mara tatu inakataa..... Eeh bhana eeh baada ya nusu saa zinakuja token tatu tofauti.T - pesa ni changamoto unajikuta unatoa hela ukiweka namba ya siri inaandika time out ukipiga huduma kwa wateja unaambiwa muamala hujaenda unaambiwa toa tena napo inakua vile vile mwisho wasiku unaamua kuhailisha ndo unaona....
TTCL mpo vzr sana ila jaribuni kusambaza huduma zenu kama vile vocha na minara mikoa yote na kuiboresha kama ilivyo kwa Dar es Saalam ili internet zenu na mawasiliano yasambae vzr zaid ktk mikoa yote TZ na kuteka soko vzr zaidi, tumewachoka Vodacom kwani wamekuwa viburi sana.Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1743058
Mbona limesharudishwa mkuuInasumbua mkuu, "bando tam" lililokuwa linanunuliwa na Tpesa (sh. 1000 gb 1.2gb na dk 10 mitandao yote kwa siku 5 wamelifuta...hahaha kampuni ya umma inafanya kazi kwa kuwaiga kampuni binafsi! Aibu!
Wametoa tena. Cheki menu ya T money. Kwanza t money upande wa vocha haifanyi kazi wala kununua vocha hakuna option ya kununua vochaMbona limesharudishwa mkuu
Mda mwingine hawapokei kabisaAisee leo nmenunua Luku mara tatu inakataa..... Eeh bhana eeh baada ya nusu saa zinakuja token tatu tofauti.
Hawa jamaa hawapo kibiashara kabisa.... Customer care yenyewe wanapokea baada ya lisaa
Mmenifurahisha T connect ya 10gb kwa wikiKaribu sana.
#RudiNyumbaniKumenoga
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣baada ya nusu saa zinakuja token tatu tofauti
Wamerudisha ila.mpaka sasa hiwezi kununua bando ukiwapigia wanajifanya bado wanafanyia kaziWametoa tena. Cheki menu ya T money. Kwanza t money upande wa vocha haifanyi kazi wala kununua vocha hakuna option ya kununua vocha